Wanawake Wanaobadili Jinsia katika Magereza ya Marekani waamriwa kuhamishiwa Magereza ya Wanaume

Hujaelewa Hao ni wanaume ambao wamejidunga sindano za homoni kupata muonekano wa kike ( shemales)
Unaona madhara ya shule za serikali?
Muandishi na wachangiaji wengi hawajaelewa kiingereza.
Wanadhani transgender women ni wanawake waliobadili jinsia kuwa wanaume kumbe Ni wanaume waliobadili jinsia kuwa wanawake.
 
Unaona madhara ya shule za serikali?
Muandishi na wachangiaji wengi hawajaelewa kiingereza.
Wanadhani transgender women ni wanawake walijibadili kuwa wanaume kumbe Ni wanaume walijibadili jinsia kuwa wanawake.
Mashoga ndio wanajua kutofautisha wasio mashoga hawawezi kutofautisha. Umenitisha mkuu
 
Wengine wanayo bandia ila wengine hawana shimo lipo pale pale kma una mfahamu chokuu yule kafanya upasuaji wa maziwa ila yeye mwanaume now ana maziwa ila sio kama ya mwanamke yake katikati kuna uwazi mkubwa
Kutoka Mwanaume kuwa Mwanamke ni rahisi sana, ila kutoka Mwanamke kuwa mwanaume ni kipengere
 
Duuh, watu wana uchu gerezani then wanaletewa kijimwanume kilichoamua kuwa kidada, guess what?
 
Aiseee watapelekewa moto sema dah huyu mwamba n htr watu wapelekewe utelezi uko jela wasahau ukumu yao
 
Ah huyu jamaa mwamba kweli kweli hataki kupepesa macho. Tunaweka fwakti kama fwakti
 
Mashoga ndio wanajua kutofautisha wasio mashoga hawawezi kutofautisha. Umenitisha mkuu
Kwa maana hiyo wewe pia ni shoga? Nilikuwa sijui aisee.
Sababu umejua kutofautisha hapo chini πŸ‘‡πŸ‘‡
Hujaelewa Hao ni wanaume ambao wamejidunga sindano za homoni kupata muonekano wa kike ( shemales)
 
Trump Kila siku anakuja na mapya .

Ameamuru waliokuwa wanaume Kisha kubadili Jinsia zao ili wawe wanawake Warudishwe kwenye jela za Kiume kwani hao sio wanawake.

Trump anadai hata pesa za Matibabu Yao zisitishwe mara Moja.

Swali: Hivi haya maagizo ya Trump yanatekelezwa au ni vichekesho tuu 🀣🀣🀣🀣πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DFU5AxcNDIX/?igsh=MTcwazJha29mcXNoZQ==
 
Hii nchi Bora tu Trump kashinda
Wanetaka wenyewe watulie humo ss
 
H

HIi hatari sana watabakwa sana magereza ya kiume trump ana akili fupi sana, huwezi kuwaadhobu watu namna hii ,huu ni uuwaji pamoja na makosa yao
Amewaadhibu vipi wakati ni jinsia yao ila wapuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…