Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hapana wanafanya surgery na kunywa dawaNi upasuaji ama anakunywa dawa za homoni za kujaza matiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana wanafanya surgery na kunywa dawaNi upasuaji ama anakunywa dawa za homoni za kujaza matiti
Unaona madhara ya shule za serikali?Hujaelewa Hao ni wanaume ambao wamejidunga sindano za homoni kupata muonekano wa kike ( shemales)
Mashoga ndio wanajua kutofautisha wasio mashoga hawawezi kutofautisha. Umenitisha mkuuUnaona madhara ya shule za serikali?
Muandishi na wachangiaji wengi hawajaelewa kiingereza.
Wanadhani transgender women ni wanawake walijibadili kuwa wanaume kumbe Ni wanaume walijibadili jinsia kuwa wanawake.
Kutoka Mwanaume kuwa Mwanamke ni rahisi sana, ila kutoka Mwanamke kuwa mwanaume ni kipengereWengine wanayo bandia ila wengine hawana shimo lipo pale pale kma una mfahamu chokuu yule kafanya upasuaji wa maziwa ila yeye mwanaume now ana maziwa ila sio kama ya mwanamke yake katikati kuna uwazi mkubwa
Yah ndio maana wanaume wanapunguaKutoka Mwanaume kuwa Mwanamke ni rahisi sana, ila kutoka Mwanamke kuwa mwanaume ni kipengere
Aiseee watapelekewa moto sema dah huyu mwamba n htr watu wapelekewe utelezi uko jela wasahau ukumu yaoKatika mabadiliko makubwa ya sera, utawala wa Trump umeamuru kwamba wanawake wanaobadili jinsia (transgender women) walioko katika magereza ya Marekani wahamishiwe kwenye magereza ya wanaume. Uamuzi huu tata umeibua mijadala mikali kuhusu haki za watu wanaobadili jinsia, mageuzi ya mfumo wa magereza, na usalama wa wafungwa.
Hatua hii inawaathiri maelfu ya wanawake wanaobadili jinsia kote nchini, na kusababisha wasiwasi mkubwa juu ya usalama wao katika magereza ya wanaume. Watetezi wengi wa haki za binadamu wanasema sera hii inahatarisha ustawi wa wafungwa wanaobadili jinsia, huku wengine wakidai kuwa ni muhimu kudumisha mgawanyo wa kijinsia katika magereza.
Uamuzi huu unatarajiwa kuathiri kesi za kisheria zinazoendelea kuhusu jinsi watu wanaobadili jinsia wanavyotendewa katika mfumo wa magereza ya Marekani. Wabunge na mashirika ya utetezi wa haki za binadamu wanatarajiwa kushinikiza sheria mpya zitakazolenga usalama na haki za kibinadamu za watu wanaobadili jinsia walioko magerezani.
View attachment 3215238
Hao wapo magereza ya wanawake siku nyingiNa wale wanaume waliojibadilisha jinsia na kuwa wanawake nao watahamishiwa kwenye gereza la wanawake?
Hujaelewa hao ni wanawake waliowekewa mkuyengeHao ni wanaume waliowekewa papuchi wanapelekwa gereza za wanaume halisi kazi ipo nadhani itakua sherehe huko jela..
Ah huyu jamaa mwamba kweli kweli hataki kupepesa macho. Tunaweka fwakti kama fwaktiKatika mabadiliko makubwa ya sera, utawala wa Trump umeamuru kwamba wanawake wanaobadili jinsia (transgender women) walioko katika magereza ya Marekani wahamishiwe kwenye magereza ya wanaume. Uamuzi huu tata umeibua mijadala mikali kuhusu haki za watu wanaobadili jinsia, mageuzi ya mfumo wa magereza, na usalama wa wafungwa.
Hatua hii inawaathiri maelfu ya wanawake wanaobadili jinsia kote nchini, na kusababisha wasiwasi mkubwa juu ya usalama wao katika magereza ya wanaume. Watetezi wengi wa haki za binadamu wanasema sera hii inahatarisha ustawi wa wafungwa wanaobadili jinsia, huku wengine wakidai kuwa ni muhimu kudumisha mgawanyo wa kijinsia katika magereza.
Uamuzi huu unatarajiwa kuathiri kesi za kisheria zinazoendelea kuhusu jinsi watu wanaobadili jinsia wanavyotendewa katika mfumo wa magereza ya Marekani. Wabunge na mashirika ya utetezi wa haki za binadamu wanatarajiwa kushinikiza sheria mpya zitakazolenga usalama na haki za kibinadamu za watu wanaobadili jinsia walioko magerezani.
View attachment 3215238
Wenyewe wanasemaje?????Hao ni wanaume waliowekewa papuchi wanapelekwa gereza za wanaume halisi kazi ipo nadhani itakua sherehe huko jela..
Kwa maana hiyo wewe pia ni shoga? Nilikuwa sijui aisee.Mashoga ndio wanajua kutofautisha wasio mashoga hawawezi kutofautisha. Umenitisha mkuu
Hujaelewa Hao ni wanaume ambao wamejidunga sindano za homoni kupata muonekano wa kike ( shemales)
Nope Mimi ni Genius... akili za watanzania ninazijua utafikiri ndio nimewaumbaKwa maana hiyo wewe pia ni shoga? Nilikuwa sijui aisee.
Sababu umejua kutofautisha hapo chini 👇👇
Sawa mkuu.Nope Mimi ni Genius... akili za watanzania ninazijua utafikiri ndio nimewaumba
Gigy money mbinua makalio nakuonaSawa kabisa,
Si wametaka wenyewe uananume,basi wakae kwenye gereza la wanaume.
Nyie mliojibadilisha jinsia mnaenda kutafunwa na wanaume sasa,hasa wewe choko uliyeshindikana,Gigy money mbinua makalio nakuona
Hii nchi Bora tu Trump kashindaKatika mabadiliko makubwa ya sera, utawala wa Trump umeamuru kwamba wanawake wanaobadili jinsia (transgender women) walioko katika magereza ya Marekani wahamishiwe kwenye magereza ya wanaume. Uamuzi huu tata umeibua mijadala mikali kuhusu haki za watu wanaobadili jinsia, mageuzi ya mfumo wa magereza, na usalama wa wafungwa.
Hatua hii inawaathiri maelfu ya wanawake wanaobadili jinsia kote nchini, na kusababisha wasiwasi mkubwa juu ya usalama wao katika magereza ya wanaume. Watetezi wengi wa haki za binadamu wanasema sera hii inahatarisha ustawi wa wafungwa wanaobadili jinsia, huku wengine wakidai kuwa ni muhimu kudumisha mgawanyo wa kijinsia katika magereza.
Uamuzi huu unatarajiwa kuathiri kesi za kisheria zinazoendelea kuhusu jinsi watu wanaobadili jinsia wanavyotendewa katika mfumo wa magereza ya Marekani. Wabunge na mashirika ya utetezi wa haki za binadamu wanatarajiwa kushinikiza sheria mpya zitakazolenga usalama na haki za kibinadamu za watu wanaobadili jinsia walioko magerezani.
View attachment 3215238
Kwahiyo hapo ulipo umekalia muwaNyie mliojibadilisha jinsia mnaenda kutafunwa na wanaume sasa,hasa wewe choko uliyeshindikana,
Utakua umefurahi sana kwenda kukalia miwa ya wanaume.
Amewaadhibu vipi wakati ni jinsia yao ila wapuuziH
HIi hatari sana watabakwa sana magereza ya kiume trump ana akili fupi sana, huwezi kuwaadhobu watu namna hii ,huu ni uuwaji pamoja na makosa yao