Wanawake wanaofika miaka 30 na hawajaolewa wanajishusha sana kiasi cha kushangaza, zile nyodo na kujiona matawi zinayeyuka

Hadithi za kusadikika.
 
Ndio maana mie napenda wazee wenzangu, mambo yanakuwa sio mengi.
Hivi vibinti mshakubariana muonane saa 2 usiku, utasikia oohh, baba kaja,sasakwani mie namkaza baba yako, nakutakq wewe shubamiti mie ya baba yako hayanihusu, mbona nikikuletea abaya huniambii baba yupo.😂🤣
 
Shida ni kwamba umri huo sawa anafikia peak lakini nyama ya chini ishakuwa tambara bovu lambo, umbo lishapeperuka, na kama alikuwa anatumia mkorogo unakutana na rangi zaidi ya moja usoni bado michirizi minyama uzembe aargh wapambane na vibenten wanaobalehe maana wanakuwaga moto hata mgomba wanapita nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…