YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
😅😅😅😅. Aiseeevibenten wanaobalehe maana wanakuwaga moto hata mgomba wanapita nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅. Aiseeevibenten wanaobalehe maana wanakuwaga moto hata mgomba wanapita nao
Heee kwani kula bata maana yake nini?Acha uongo hakuna Kula bata at the same time kumcha Mungu.
We ni mtetezi wa shetani tu.
Mwanaume.........? Value ya wanaume haijawahi shuka na kama akiwa mchakalikaji ndio kabisa,mimi kuna wazee na wajua 60+ still wanagonga ngozi laini na mbichi.Wanaume wa 30-40 nao wana ringa ringaa hawajui wakivuka 45 nao hawana market
Ni mawazo ya mtandaoni tu na sio uhalisia 😅Oy mshamba_hachekwi tuifanye nini hii kigoda🤔🤣😂😂😂.
👉 Ms eyes I will love you alone🤗, .
👉 Naona Manyanza ana mpenda Sana Aaliyyah 🤒
AiseeeeHususani weupe au wenye matako makubwa huwa wanadhani kwamba wao ndiyo kila kitu katika hii dunia.
Wakifikisha 30+ Wanaishia kuwa bar maids. Wakifikisha 40+ wanageuka wauza mahindi ya kuchoma kando ya barabara. Walifikia 50+ wanakuwa wamepigika to the fucking extent, wanageuka mashemasi na wafanya usafi kwenye haya makanisa ya manabii wa uongo
Kama vipi babaye amlete! Ebooo, usumbufu tu 😂Ndio maana mie napenda wazee wenzangu, mambo yanakuwa sio mengi.
Hivi vibinti mshakubariana muonane saa 2 usiku, utasikia oohh, baba kaja,sasakwani mie namkaza baba yako, nakutakq wewe shubamiti mie ya baba yako hayanihusu, mbona nikikuletea abaya huniambii baba yupo.😂🤣
Ila mkuu na wewe unafeli sana. Sasa wewe umeshasema demu alikua mzuri. Kipindi icho mko form 5 mpaka degree wewe mia huna, future huna, ukute ata muonekano nao huna!.Wakati huo mwenzio alikua anatongozwa na malekchara, maprofesa, wakurugenzi, wakuu wa wilaya, wabunge, madiwani, makatibu wakuu nk... kweli ulitegemea akukubali wewe kapuku kajamba nani unanuka jasho? Hata ungekua wewe ndio yeye ungekubali?Nina class mate wangu wa form 5 hadi tunamaliza wote degree alinipa nyodo sana maana kwakweli alikuwa mzuri na alijua hilo
It's life circle, nothing unique,Nimeshajionea mara kadhaa hasa hizi pisi za chini ya miaka 26 huwa wanajiona dunia ni yao na wa kupanga vigezo ni wao.
Kuwa approach mabinti wa umri huu wengi mkizinguana kidogo tu hawaoni shida ku break up, usipokuwa na gari ama vimali ni ngumu kumpata, n.k.
wafika 30 sasa ndio utaanza kuona vimbweka, ni muda ambao hata chai ya kwenye friji inalainisha andazi.
wao ndio huanza kujilengesha hapa na sio siri kwa wanaume wanaowajua wanachopitia huwageuza sehemu ya kuahidi ndoa, wakichapa wanasepa wanaenda kwa wengine.
Nina class mate wangu wa form 5 hadi tunamaliza wote degree alinipa nyodo sana maana kwakweli alikuwa mzuri na alijua hilo akaona sina nafasi kwake kwa hali yangu kiuchumi kwa enzi zile, niliwahi kutupa ndoano ila niliishia kula nyundo za mbavu. Ajabu ni kwamba baada ya miaka kadhaa kuna siku nipo whatsapp nakutana na mesej yake kunijulia hali ilinishangaza, nilishajua namna ya kuucheza mchezo nilijifanya mjinga nicheze kama alivyodhania, kimasihara kabisa kwa gharama ndogo sana nilimla na nikampiga nikampa makavu kwamba mimi nilikuwa namtamani tu, nyodo zake za zamani ndio zilinipa moto wa kumsasambua, ndoa niliyomwambia nilimpiga a,e,i,o,u nikatokomea.
Kiufupi nilipata habari baada yangu ndani ya miaka miwili hivi kuna wadau wengine wawili nawajua waliweza kupata joto na kusepa, ila jitihada zake hazikwenda bure kuna askari alimuelewa akaoana nae na sasa wana mtoto moja.
Sawa ila akifanya ivo aende mazima, Akijirudisha Baadae namimi ntamuumiza tuUjinga sana.
Mwanamke ana haki ya kukukubali au kukukataa
[emoji38]Unakuta kama hao wanakwambia nipo single mother lakin na enjoy life kumbe unakuta shida sana
📌Mimi dada yao nawashauri wakatae ndoa!!!
We only live once kula bata,kuwa mcha Mungu!
Wasikimbilie ndoa watanishukuru baadae!!!
Uko Sahihi sana Mkuu shida ya hawa viumbe ni Comeback ya Kinyonge sana baada ya Kutumika sana Sasa huwa wanalejea ili waweze kuolewa Mana hao ma DC, Wakurugenzi ma lectures hawawezi kuwapa ndoa, Sasa akirudi mimi jambo ni Moja tu, Revenge ili arudi kuendelea Kusafa kama ana mentality za ndoa ndio kila kitu basi huwa wanaumia sanaIla mkuu na wewe unafeli sana. Sasa wewe umeshasema demu alikua mzuri. Kipindi icho mko form 5 mpaka degree wewe mia huna, future huna, ukute ata muonekano nao huna!.Wakati huo mwenzio alikua anatongozwa na malekchara, maprofesa, wakurugenzi, wakuu wa wilaya, wabunge, madiwani, makatibu wakuu nk... kweli ulitegemea akukubali wewe kapuku kajamba nani unanuka jasho? Hata ungekua wewe ndio yeye ungekubali?
Cha maana na wewe sasa unatakiwa kama umeshapata hela unarudi kutafuna vitoto vya degree kule ambako ulikataliwa hawa wazee usihangaike nao tena.
[emoji38]Shida ni kwamba umri huo sawa anafikia peak lakini nyama ya chini ishakuwa tambara bovu lambo, umbo lishapeperuka, na kama alikuwa anatumia mkorogo unakutana na rangi zaidi ya moja usoni bado michirizi minyama uzembe aargh wapambane na vibenten wanaobalehe maana wanakuwaga moto hata mgomba wanapita nao