Wanawake wanaofika miaka 30 na hawajaolewa wanajishusha sana kiasi cha kushangaza, zile nyodo na kujiona matawi zinayeyuka

Wanawake wanaofika miaka 30 na hawajaolewa wanajishusha sana kiasi cha kushangaza, zile nyodo na kujiona matawi zinayeyuka

Wanaume wa 30-40 nao wana ringa ringaa hawajui wakivuka 45 nao hawana market
Mwanaume.........? Value ya wanaume haijawahi shuka na kama akiwa mchakalikaji ndio kabisa,mimi kuna wazee na wajua 60+ still wanagonga ngozi laini na mbichi.

Mdaa huu kama upo karibu ya TV kuna kipindi Nat - Geo,mabibi 50+ wenye hela zao jinsi wanavyopigwa na kudanganywa kupitia hizi dating applications ,wote wanalalamika upweke.
 
Hususani weupe au wenye matako makubwa huwa wanadhani kwamba wao ndiyo kila kitu katika hii dunia.

Wakifikisha 30+ Wanaishia kuwa bar maids. Wakifikisha 40+ wanageuka wauza mahindi ya kuchoma kando ya barabara. Walifikia 50+ wanakuwa wamepigika to the fucking extent, wanageuka mashemasi na wafanya usafi kwenye haya makanisa ya manabii wa uongo
Aiseeee
 
Ndio maana mie napenda wazee wenzangu, mambo yanakuwa sio mengi.
Hivi vibinti mshakubariana muonane saa 2 usiku, utasikia oohh, baba kaja,sasakwani mie namkaza baba yako, nakutakq wewe shubamiti mie ya baba yako hayanihusu, mbona nikikuletea abaya huniambii baba yupo.😂🤣
Kama vipi babaye amlete! Ebooo, usumbufu tu 😂
 
Jomba ukikataliwa na demu usikasirike. Ni wajibu wake kukataa hadi ndoa. Akisema akubali kila mtu si ndo tutamwita malaya? Halafu unawezaje kuwa na kisasi kwa miaka mingi kisa papuchi? Wewe utakuwa maskini kifikra hadi mali.

Wanawake na nyie ukimpata mtu mnapendana usimwache aende kizembe. Utakuta kujuta baadae. Hakuna ligi ya mwanamke na mwanaume halafu mshindi akawa mwanamke. Sisi hatuzeeki. Hata tukiwa na 47years bado ni vijana. Kwa mfano mimi ni kijana mdogo wa miaka 37 na mwanachama wa CCM. Ndo ninatarajia kuoa binti wa miaka 25 yaani kitu laini.
 
Nina class mate wangu wa form 5 hadi tunamaliza wote degree alinipa nyodo sana maana kwakweli alikuwa mzuri na alijua hilo
Ila mkuu na wewe unafeli sana. Sasa wewe umeshasema demu alikua mzuri. Kipindi icho mko form 5 mpaka degree wewe mia huna, future huna, ukute ata muonekano nao huna!.Wakati huo mwenzio alikua anatongozwa na malekchara, maprofesa, wakurugenzi, wakuu wa wilaya, wabunge, madiwani, makatibu wakuu nk... kweli ulitegemea akukubali wewe kapuku kajamba nani unanuka jasho? Hata ungekua wewe ndio yeye ungekubali?
Cha maana na wewe sasa unatakiwa kama umeshapata hela unarudi kutafuna vitoto vya degree kule ambako ulikataliwa hawa wazee usihangaike nao tena.
 
Nimeshajionea mara kadhaa hasa hizi pisi za chini ya miaka 26 huwa wanajiona dunia ni yao na wa kupanga vigezo ni wao.

Kuwa approach mabinti wa umri huu wengi mkizinguana kidogo tu hawaoni shida ku break up, usipokuwa na gari ama vimali ni ngumu kumpata, n.k.

wafika 30 sasa ndio utaanza kuona vimbweka, ni muda ambao hata chai ya kwenye friji inalainisha andazi.

wao ndio huanza kujilengesha hapa na sio siri kwa wanaume wanaowajua wanachopitia huwageuza sehemu ya kuahidi ndoa, wakichapa wanasepa wanaenda kwa wengine.

Nina class mate wangu wa form 5 hadi tunamaliza wote degree alinipa nyodo sana maana kwakweli alikuwa mzuri na alijua hilo akaona sina nafasi kwake kwa hali yangu kiuchumi kwa enzi zile, niliwahi kutupa ndoano ila niliishia kula nyundo za mbavu. Ajabu ni kwamba baada ya miaka kadhaa kuna siku nipo whatsapp nakutana na mesej yake kunijulia hali ilinishangaza, nilishajua namna ya kuucheza mchezo nilijifanya mjinga nicheze kama alivyodhania, kimasihara kabisa kwa gharama ndogo sana nilimla na nikampiga nikampa makavu kwamba mimi nilikuwa namtamani tu, nyodo zake za zamani ndio zilinipa moto wa kumsasambua, ndoa niliyomwambia nilimpiga a,e,i,o,u nikatokomea.


Kiufupi nilipata habari baada yangu ndani ya miaka miwili hivi kuna wadau wengine wawili nawajua waliweza kupata joto na kusepa, ila jitihada zake hazikwenda bure kuna askari alimuelewa akaoana nae na sasa wana mtoto moja.
It's life circle, nothing unique,
Binti kwenye 20s, lazima aringe maaana, hiyo ni prime age! Asiporinga umri huo ataringia kaburini?
Hata kwenye nyanja zingine ni hivyo hivyo, nilipokuwa bado shababy at 26,sikuona hatari kuacha kazi kampuni moja na kwenda nyingine, boss akizingua, Sina girl friend, Sina mtoto, Sina mtegemezi, kuchomoka kampuni moja kwenda nyingine sikuona hatari.,
 
Kwa hiyo ulitaka akukubali bila kuchuja vigezo vyake,hii sio sawa wanaume wenzangu hawa wanawake nao ni binadamu wenye utashi kama tulivyo wanaume wana uhuru wa kuchagua jema na baya(wana uhuru wa kupanga future yao iweje),pia kuoa na kuolewa sio amri ya lazima.
 
Kuna vibibi vimeona serikali zote za Tanzania, unakuta ibibi Cha 1995 kurudi nyuma nacho kinaringa wakati ni bonge la skrepa na matetenasi juu.


Wanaume Kwa Sasa tunang'oa toleo la JK. Mlizaliwa enzi la ruksa ni Wala mafao nyie na uzeeeeeeeee. Papuschu tepetepe kama tope la mgodini
 
Ila mkuu na wewe unafeli sana. Sasa wewe umeshasema demu alikua mzuri. Kipindi icho mko form 5 mpaka degree wewe mia huna, future huna, ukute ata muonekano nao huna!.Wakati huo mwenzio alikua anatongozwa na malekchara, maprofesa, wakurugenzi, wakuu wa wilaya, wabunge, madiwani, makatibu wakuu nk... kweli ulitegemea akukubali wewe kapuku kajamba nani unanuka jasho? Hata ungekua wewe ndio yeye ungekubali?
Cha maana na wewe sasa unatakiwa kama umeshapata hela unarudi kutafuna vitoto vya degree kule ambako ulikataliwa hawa wazee usihangaike nao tena.
Uko Sahihi sana Mkuu shida ya hawa viumbe ni Comeback ya Kinyonge sana baada ya Kutumika sana Sasa huwa wanalejea ili waweze kuolewa Mana hao ma DC, Wakurugenzi ma lectures hawawezi kuwapa ndoa, Sasa akirudi mimi jambo ni Moja tu, Revenge ili arudi kuendelea Kusafa kama ana mentality za ndoa ndio kila kitu basi huwa wanaumia sana
 
Shida ni kwamba umri huo sawa anafikia peak lakini nyama ya chini ishakuwa tambara bovu lambo, umbo lishapeperuka, na kama alikuwa anatumia mkorogo unakutana na rangi zaidi ya moja usoni bado michirizi minyama uzembe aargh wapambane na vibenten wanaobalehe maana wanakuwaga moto hata mgomba wanapita nao
[emoji38]
 
Back
Top Bottom