Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

nimesema vile kwa kuwa amevuka mipaka mungu kamuumba binadamu akiwa na free will cha kufanya chochote anachojisikia akitaka kukufuru sawa akitaka kufanya wema ni sawa na tambua kuwa kiumbe ata kifanye dhambi kwa ukubwa na wingi gani bado icho kiumbe akiwezi kupunguza uhungu na utukufu wake anachoamua yeye ndio utokea
 
dhambi inayofanywa adharani ni kubwa tofauti na ile inayofanywa kwa kificho
 
Dohhh.. tupu ya nyuma ya mwanamke ni ile ile aliyonayo mwanaume imewekwa apo kwa kazi moja nayo ni kutolea taka ndani ya mwili kazi aliekuambia kazi yake ni kuingiliwa ni nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…