SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wewe inakuhusu nini kama wenyewe ndiyo pigo zao? Wacha unokoInaumiza sana mwanamke kufanya mapenzi kinyume na maumbile. Siyo jambo La Kufurahia hata Kidogo[emoji24][emoji24]. Huu ni udharirishaji sana unapaswa kupingwa kwa gharama yoyote Ile.
Umetumwa wewe
Hilo swali unalouliza ndio jibu mamitoMimi natamani nijue chanzo hadi haya mambo kuonekana ni ya kawaida na wanaume wengi kufanya ndio lifestyle na wanawake kuona ni kitu Cha kawaida?
[emoji23][emoji23] tatizo lipo hapo kwenye N:bInshort kama mwanaume au mwanamke alishawahi kupita/kupitishwa huko kuja kuacha ni ngumu sana huwa anatulia tu siku ya siku ataonja in anyway maana orgasm yake huwa ni very intense jumlisha na mawazo ya kwamba unapita njia illegal.
Ushauri wangu the struggle is real na tigo ni very addicting so kwa ambao hamjawahi msijaribu na kwa ambao mmeshawahi basi endeleen kujizuia hivyo hivyo .
N.b
Daktari kujua ugonjwa haimaanishi anao .
Ooh lifestyle mambo yawe kma hivoHilo swali unalouliza ndio jibu mamito
Kama hujawahi kutoa nakuomba usitoe mkei mamy kwa gharama yoyote hata kuachana na mpendaye sanaMimi natamani nijue chanzo hadi haya mambo kuonekana ni ya kawaida na wanaume wengi kufanya ndio lifestyle na wanawake kuona ni kitu Cha kawaida?
Dogo mchafu sana, Mungu akusaidie ubadilikeTope tamu jamani acha tuu hasa upate mwanamke tako skonsi.
Wee kuwa na heshima mie sio dogo nina miaka 42Dogo mchafu sana, Mungu akusaidie ubadilike
Unafurahi huo mchezo kunyume nyume lakini?Nipo hapa na [emoji897] zangu, kusoma unafiki wa Wanadamu. OP umegusa penyewe, subiri mapovu kutoka kwa commenters.
Woiiiiiiiiih, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aje kwa Rehema na sio hukumuEe mwenyezi naomba uje umalize hii dunia kama ulivyofanya enzi za nuhu
Kwanza nashukuru sijawahi kutana na wanaume wa hivo pili hata km walishawah huko sijui sijawahi tamkiwa et nipe hukoKama hujawahi kutoa nakuomba usitoe mkei mamy kwa gharama yoyote hata kuachana na mpendaye sana
Umfuate na wewe mshirika?Watu wa hivi wabaya.
Unaweza kuta anasifia lakini hata hajawahi fanya.
Sasa hapo ujidanganye umfuate kumbe hata hajawahi anatuchora tu.
Moja ya sababu Ni wadada wengi wakijipiga picha, wanaonyesha na Kutingisha makalio yao, Hivyo kuhamasisha Sisi wanaume tufikirie wanataka hio michezo ya tigo, Unaweza sema hao wadada wakitingisha na kuonyesha tako, hawamaanishi kuwa wanataka kuliwa tigo, nikuulize wewe kwa mfano ni mama, ukiona mwanao wa kiume anaanza kuonyesha na kutingisha makalio yake, wewe utawaza nini? sophy27Ooh lifestyle mambo yawe kma hivo
Duuh inaonyesha unashiriki hii tabiaNakata mkuu
Nitawaza huenda mwanaume nusu lakini chanzo ni nyie kumbe sidhani wanatingisha Ili kuhamasisha hivo huenda ni kutak waonekane Wana picha nzuriMoja ya sababu Ni wadada wengi wakijipiga picha, wanaonyesha na Kutingisha makalio yao, Hivyo kuhamasisha Sisi wanaume tufikirie wanataka hio michezo ya tigo, Unaweza sema hao wadada wakitingisha na kuonyesha tako, hawamaanishi kuwa wanataka kuliwa tigo, nikuulize wewe kwa mfano ni mama, ukiona mwanao wa kiume anaanza kuonyesha na kutingisha makalio yake, wewe utawaza nini? sophy27
Mwanamke maumbile yake ndy yanaleta ushawishi wa kufanywa nyuma..Mtu yeyote anayefanywa nyuma anavunja sheria za asili na za Kimungu.
Mwanaume shoga/anayefanywa kinyume na mwanamke anayefanywa kinyume wote ni walewale.
Kama mwanaume na akili zako timamu unaweza kumfanya mwanamke kinyume na maumbile usiwadharau mashoga wa kiume, hao pia ni wake zako.
Jamii inapokemea mashoga isibebe picha za wafanyaji kinyume na maumbile wanaume tu, wapo wanawake pia tena ni maelfu kwa maelfu nao wakemewe ikiwezekana watengwe.
Sheria za Tanzania mapenzi kinyume na maumbile ni mwiko kwa jinsia zote.
Na ndoa yoyote inakuwa batili pindi tu wanandoa wanafanya kinyume na maumbile.
Kimaumbile hizo sehemu kwa mwanaume na mwanamke ni sawa na ndio maana hata Mungu alikataza katika jicho la kiumbaji na la kiroho hamna tofauti anaye muingilia kinyume kimaumbile mwanamke na mwanaume.Mwanamke maumbile yake ndy yanaleta ushawishi wa kufanywa nyuma..
Kufanywa nyuma kwa mwanamke ni Kama kachumbari ktk chakula.,ili kilete ladha tamu kinapoliwa.
Sasa dume zima linaliwa kwa ushawishi upi?
Dume zima Lina madevu na mkia kiunoni lina ushawishi upi?
Usijipe faraja kwa kufananisha mwanaume shoga na mwanamke anayefanywa nyuma.,
Dume zima na mka wake kiunoni lipakuliwe halafu ufananishe na mwanamke?
Wale wanaopakuwa wanaume wenzao na wanaopakuliwa wote laana kum.
Hawawezi kuwa sawa na mwanamke hata kidogo..
Wanaume wanaochukuwa wanaume wenzao,
wanakwambiya matako ya mwanamke hayana ladha nzr Kama matako ya mwanaume mwenzao.
Kama sio laana ni kitu gani?
Hakuna shoga mwanamke duniani.
Shoga ni dume linalopakuliwa..
Dismiss case.