Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Umeongea hoja yenye mantiki ila Kuna watu watapinga sasa
 
Mafirauni naona mmekutana, wote mnapenda kulana jicho, tatizo nalaona hapa, kuna watu wako wazi kusema wanapenda na wengine hawapendi, ila sio wakweli, sbb utaona tu jinsi uzi unakimbia, utajua tu jicho ni sensitive issue
Bango lako linakemea. Waache watu na starehe zao😀
Jicho ni senstive ishu
 
Inatakiwa kuwafunza kutoka ngazi ya familia ,never ever
 
Mkinunua maana yake bidhaa imekubalika. Nani alaumiwe?
Wauzaji na wanunuaji

Ukisoma Biblia 2 Corinthians 6:9 na kuendelea imelezea vizuri

Walevi, Watukanaji, Wazinzi,Walawiti,Wafiraji hawataenda mbinguni
 
Umeongea hoja yenye mantiki ila Kuna watu watapinga sasa
Niyakweli haya ninayo kuambia ila watz wamekuwa wajinga na wanafiki awataki kusikia ukweli hata yule shaka zulu ...mambo yalikuwa kama hayo ...nakumbuka jamaa aliolewa mombasa bwanaeee makomredi yalichachamaaa ilikuwa noma hadi walimrudisha nyumbani mtu wao na magari walimpa nyumba nk
 
Wauzaji na wanunuaji

Ukisoma Biblia 2 Corinthians 6:9 na kuendelea imelezea vizuri

Walevi, Watukanaji, Wazinzi,Walawiti,Wafiraji hawataenda mbinguni
Unadhani hawalijui hilo? Biblia sio kitabu cha sheria cha watu wote duniani. Inayowahusu ndo mfate hizo sheria.
 
Mbona hamuwafungulii mashtaka? Ukikutana nae mbebe mpeleke polisi. Mnakwama wapi?
Yaani mtu ananipa utamu nikamfungulie mashtaka?
Kama aliamua mwenye kuanza toa hilo ni jukumu lake.
Tatizo mwadanganyana wenyewe
Kwanza haina radha kama kyumer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…