Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Kama unabisha wewe nenda sisiemu anza kuita watu makomredi huone kama ujaulizwa dogo umekula , vipi pesa ya vocha unayo , utashangaa unaanza kupapaswa makario ...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

akina YEHODAYA na Stuxnet
 
Yaani mtu ananipa utamu nikamfungulie mashtaka?
Kama aliamua mwenye kuanza toa hilo ni jukumu lake.
Tatizo mwadanganyana wenyewe
Kwanza haina radha kama kyumer
Basi mkae kimya hayo ni mambo ya sirini.
Ingekuwa haina raha watu wasingefanya. Kupanga ni kuchagua...kama haikupi raha unaenda kwa inayokupa raha maisha yanasonga.
 
Hakuna watu waongo na wanafiki wakubwa kama wabongo! Hivi kweli mnajifanya hampendi tigo lkn Uzi unakimbia kama mbio za mwenge?

Wanaojifanya hawapendi hiyo kitu lkn Toka mwanzo mpaka sasa wapo tu wanaufatilia Uzi na kukoment juu!! Hivi mnajua maana ya kutokipenda kitu? Kitu hukipendi unakifatilia Cha Nini????


Ebohhh!!!
 
Warumi 1:26
Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
Warumi 1:27
wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.
Warumi 1:28
Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.
 
Rafiki mkeo anaweza kujamba? Au sasahiv akitaka kujamba inabidi aende toi moja kwa moja?
Vipi labour alijifungua kawaida au kwa Op
Na wewe na mke ni wahidhuriaji wazuri wa Ibada ? Kwa dini yenu either Islam or Christian .
Vipi usafi wake pia maana tangu 2010 hadi leo 🙂.
Nisaidie kujibu hayo nipo curious tu kufahamu sijauliza kwa ubaya.
 
Nimesoma kichwa cha habari na nime comment
Mpatie talaka haraka sana
Naomba namba zake
 
Sasa siushatuambia Wana if woooote hahahahaha uiii
 
[emoji3064][emoji3064]
 
Huyu dada tulioana naye kwa ndoa ya kidini. Ana tabia zote nzuri ila ni mtundu sana kitandani.

Mkiwa katikati ya show unakuta gegedo limeingizwa kusiko na ladha imebadilika kabisa. Nikishtuka nachomoa hapohapo.

Nimekuwa nikimweleza kuwa huo mchezo siutaki, kipindi cha uchumba cha mwaka mmoja na miezi mitatu alikuwa hana kabisa huo mchezo, ila miezi hii minne kiu yake ya huko uwani imekuwa kubwa na kunisababishia kero.

Nimemwonya kwamba sitokuja kufanya dhambi hiyo, naye anasisitiza kama sitaki basi nimwache huru atafute atakayewezana naye.

Huyu mwanamke tayari nina mtoto mmoja nimezaa naye, ana akili sana ya maisha. Ni mbunifu sana wa biashara na anajua kuzisimamia.

Anaupendo sana kwa ndugu zangu na ndugubzake na majirani pia. Ana kila tabia nzuri isipokuwa hiyo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…