Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Basi mkae kimya hayo ni mambo ya sirini.
Ingekuwa haina raha watu wasingefanya. Kupanga ni kuchagua...kama haikupi raha unaenda kwa inayokupa raha maisha yanasonga.
 
Basi mkae kimya hayo ni mambo ya sirini.
Ingekuwa haina raha watu wasingefanya. Kupanga ni kuchagua...kama haikupi raha unaenda kwa inayokupa raha maisha yanasonga.
Kabisa,
 
Kinachotesa Ni roho za mafatilizi na malipizi. Mfano baba yako alipokuwa secondary alifira mtoto wa mtu ile roho itamuandama yy na kizazi chake ambapo labda Ni watoto wako leo. Je Nan ajuaye hayo ili ayaepuke, ukizingatia dini iloshindwa kumsaidia Baba yako asifanye hayo ndiyo umewalidhisha na wewe watoto wako

Hata Yesu alichagua wanafunzi wake akawatoa kwenye dini. Hivo unapoongelea habari ya Mungu uwe na hakika watu wamezibwa masikio mpaka yafunuliwe kwa wewe Kwanza kutafuta Neno lilipo na sio kukaa unasema dini yangu ,imani yangu wakati huo umeridhi.

Kama unavyotafuta kazi ili Tumbo lipate kitu ndivyo tafuta Neno la Mungu ili roho ipate chakula kwa ajir ya kizaz chako
 

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Serikal ifanye mpango umeme uwe wa uhakika , kamwe hatuwezi endelea kwa umeme wa kusua sua hivi , dakika 1 ukiipoteza nchi inarudi miaka miwili nyuma .

Just imagine umeme unakitika 12hrs[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Umeme unavyokata hivi vijana wa hovyo wanakuwa idle wanaanza kuwaza mambo ya kimende mende kukaa kwenye chemba muda wote
 

Professional shitter kwenye moja na mbili [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…