Wanawake wanaonyanyaswa kisiasa na wanaume

Wanawake wanaonyanyaswa kisiasa na wanaume

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
16,054
Reaction score
11,568
Halima mdee na wenzie 18, ni wanawake wanao nyanyaswa na wanaume kisiasa, hawa wanawake kuna genge la wanaume limekomaa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha kisiasa.

Hawa wanaume wanaofungua mikesi kila siku na kupeleka malalamiko isiyokuwa na maana bungeni sio waathirika na hatakama halima na wenzie wakiondoka bungeni hawata teuliwa wao kwani ni wanaume.

Hawa wanaume waligombea 2020 wakashindwa na hawakufungua kesi za kupiga matokeo sasa kukomaa kuwashitaki wanawake wakiwaacha wanaume wenzao waliowapokonya kura ni jambo la kufedhehesha sana. Hivi ni kweli ndani ya Chadema hakuna wazee wakulimaliza jambo hili kiungwana?
 
Katiba ya Chadema inakataza kupeleka mambo ya chama mahakamani, hili la akina mdee kwanini lisimalizwe kichaka kama katiba yao inavyo sema?
 
Halima mdee na wenzie 18, ni wanawake wanao nyanyaswa na wanaume kisiasa, hawa wanawake kuna genge la wanaume limekomaa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha kisiasa.

Hawa wanaume wanaofungua mikesi kila siku na kupeleka malalamiko isiyokuwa na maana bungeni sio waathirika na hatakama halima na wenzie wakiondoka bungeni hawata teuliwa wao kwani ni wanaume.

Hawa wanaume waligombea 2020 wakashindwa na hawakufungua kesi za kupiga matokeo sasa kukomaa kuwashitaki wanawake wakiwaacha wanaume wenzao waliowapokonya kura ni jambo la kufedhehesha sana. Hivi ni kweli ndani ya Chadema hakuna wazee wakulimaliza jambo hili kiungwana?
Kama hauna cha kuandika

Ni bora utulie utaonekana una busara zaidi mwa Kukaa kimya.

And inaonekana hujui kwanini Mh Samia Suluhu anatafuta maridhiano na wapinzani.

Na katiba ya nchi huijui kabisa
 
Halima mdee na wenzie 18, ni wanawake wanao nyanyaswa na wanaume kisiasa, hawa wanawake kuna genge la wanaume limekomaa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha kisiasa.

Hawa wanaume wanaofungua mikesi kila siku na kupeleka malalamiko isiyokuwa na maana bungeni sio waathirika na hatakama halima na wenzie wakiondoka bungeni hawata teuliwa wao kwani ni wanaume.

Hawa wanaume waligombea 2020 wakashindwa na hawakufungua kesi za kupiga matokeo sasa kukomaa kuwashitaki wanawake wakiwaacha wanaume wenzao waliowapokonya kura ni jambo la kufedhehesha sana. Hivi ni kweli ndani ya Chadema hakuna wazee wakulimaliza jambo hili kiungwana?
Chama cha siasa tena chama kubwa kama CDM haiwezi kuwa kama henge la wahuni inayojiendesha bila utaratibu. Chama lazima kiwe na kanuni na kila Kiongozi wa chama na wanachama lazima wafuate kanuni hiizo. Hao wanawake 19 walikiuka utaratibu na kanuni za chama, wakatiwa adabu iweje wao waendelee kuwa wakaidi?
Huwezi kugomea hatua za kinidhamu za chama. Haiwezekani. Wacha wahangaishwe.
 
Halima mdee na wenzie 18, ni wanawake wanao nyanyaswa na wanaume kisiasa, hawa wanawake kuna genge la wanaume limekomaa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha kisiasa.

Hawa wanaume wanaofungua mikesi kila siku na kupeleka malalamiko isiyokuwa na maana bungeni sio waathirika na hatakama halima na wenzie wakiondoka bungeni hawata teuliwa wao kwani ni wanaume.

Hawa wanaume waligombea 2020 wakashindwa na hawakufungua kesi za kupiga matokeo sasa kukomaa kuwashitaki wanawake wakiwaacha wanaume wenzao waliowapokonya kura ni jambo la kufedhehesha sana. Hivi ni kweli ndani ya Chadema hakuna wazee wakulimaliza jambo hili kiungwana?

Kwa sababu unaendekeza mfumo dume ndio maana unawaona akina Halima ni wanawake. Watu wastaarabu wanawaona kuwa ni wabunge tu. Hayo mambo ya uanamke na uanaume unaundekeza ww mpenda ngono.
 
Kwa sababu unaendekeza mfumo dume ndio maana unawaona akina Halima ni wanawake. Watu wastaarabu wanawaona kuwa ni wabunge tu. Hayo mambo ya uanamke na uanaume unaundekeza ww mpenda ngono.
Ni wa bunge wa viti maalum mahususi kwa wanawake, ndio maana nawatizama kama wanawake, hili la kingono ndio udhalilishaji tunao upiga vita
 
Hoja yako ni ipi hapa, kutetea katiba au jinsia? Au ndio yale yale ya akili ndogo kurukia mambo yaliyo nje ya uwezo wako?
Natetea katiba ya cdm sio ngano zao
 
Chama cha siasa tena chama kubwa kama CDM haiwezi kuwa kama henge la wahuni inayojiendesha bila utaratibu. Chama lazima kiwe na kanuni na kila Kiongozi wa chama na wanachama lazima wafuate kanuni hiizo. Hao wanawake 19 walikiuka utaratibu na kanuni za chama, wakatiwa adabu iweje wao waendelee kuwa wakaidi?
Huwezi kugomea hatua za kinidhamu za chama. Haiwezekani. Wacha wahangaishwe.
Katiba si inakataza mambo ya chama kwenda mahakamani?
 
Halima mdee na wenzie 18, ni wanawake wanao nyanyaswa na wanaume kisiasa, hawa wanawake kuna genge la wanaume limekomaa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha kisiasa.
Naunga mkono hoja, Wanawake mashujaa hawa walio ipigania Chadema kwa machozi jasho na damu, hawawezi kunyanyaswa hivi, huku watetezi huru wa haki za binadamu tupo.

Na kwa vile hawa ni binadamu na sio malaika, wanaweza kukosea kwa kufanya makosa yoyote ya kibinaadamu kama binadamu wengine wote na hivyo kustahili kuadhibiwa na chama chao kwa adhabu yoyote stahiki kutokana na makosa yao, ikiwemo kuvuliwa uanachama, ila hili likifanyika, lifanyike kwa haki kwa mujibu wa katiba sheria taratibu na kanuni za nidhamu za chama chao, na lifanywe na vikao halali vya mamlaka ya nidhamu na sio zile Kangaroo Court zao!.
P
 
Halima mdee na wenzie 18, ni wanawake wanao nyanyaswa na wanaume kisiasa, hawa wanawake kuna genge la wanaume limekomaa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha kisiasa.

Hawa wanaume wanaofungua mikesi kila siku na kupeleka malalamiko isiyokuwa na maana bungeni sio waathirika na hatakama halima na wenzie wakiondoka bungeni hawata teuliwa wao kwani ni wanaume.

Hawa wanaume waligombea 2020 wakashindwa na hawakufungua kesi za kupiga matokeo sasa kukomaa kuwashitaki wanawake wakiwaacha wanaume wenzao waliowapokonya kura ni jambo la kufedhehesha sana. Hivi ni kweli ndani ya Chadema hakuna wazee wakulimaliza jambo hili kiungwana?
Hizo nafasi ni za wanawake hawawezi kuteua wanaume kama unavyodhani, Chadema haijawahi kuwafungulia kesi yoyote ni hao unaowatetea ndio wanaofungua kesi, hapa kunatatizo la memba kutokuwa na uelewa wa mambo anayotaka kuyazungumzia, Chadema huenda mahakamani kujibu hoja za hao 19 kibandaumiza cha CCM. JF kuna shida ya baadhi ya wanasheria kujitia utaahira na kujenga chuki za kipuuzi huku wakijiita ni wasomi!
 
Halima mdee na wenzie 18, ni wanawake wanao nyanyaswa na wanaume kisiasa, hawa wanawake kuna genge la wanaume limekomaa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha kisiasa.

Hawa wanaume wanaofungua mikesi kila siku na kupeleka malalamiko isiyokuwa na maana bungeni sio waathirika na hatakama halima na wenzie wakiondoka bungeni hawata teuliwa wao kwani ni wanaume.

Hawa wanaume waligombea 2020 wakashindwa na hawakufungua kesi za kupiga matokeo sasa kukomaa kuwashitaki wanawake wakiwaacha wanaume wenzao waliowapokonya kura ni jambo la kufedhehesha sana. Hivi ni kweli ndani ya Chadema hakuna wazee wakulimaliza jambo hili kiungwana?
Una akili Mgando. Nenda kawaoe ikae nao. Wamekutuma??
 
Katiba ya Chadema inakataza kupeleka mambo ya chama mahakamani, hili la akina mdee kwanini lisimalizwe kichaka
kama katiba yao inavyo sema?
Unamaanisha limalizwe kichakani au sijakuelewa vizuri
 
Mkuu umesahau kuweka profile picha ya mwendazake
Maana kwa akili kama hizi lazima utakuwa mfuasi kindakindaki wa mwendazake
 
Back
Top Bottom