Wanawake wanaonyanyaswa kisiasa na wanaume

Wanawake wanaonyanyaswa kisiasa na wanaume

Naunga mkono hoja, Wanawake mashujaa hawa walio ipigania Chadema kwa machozi jasho na damu, hawawezi kunyanyaswa hivi, huku watetezi huru wa haki za binadamu tupo.

Na kwa vile hawa ni binadamu na sio malaika, wanaweza kukosea kwa kufanya makosa yoyote ya kibinaadamu kama binadamu wengine wote na hivyo kustahili kuadhibiwa na chama chao kwa adhabu yoyote stahiki kutokana na makosa yao, ikiwemo kuvuliwa uanachama, ila hili likifanyika, lifanyike kwa haki kwa mujibu wa katiba sheria taratibu na kanuni za nidhamu za chama chao, na lifanywe na vikao halali vya mamlaka ya nidhamu na sio zile Kangaroo Court zao!.
P
Unapata nini kwa kujidhalilisha namna hii,
Una ugomvi binafsi na Chadema?

Walipofukuzwa Sofia Simba, Jesca CCM

Walipofukuzwa wabunge wa viti maalum cuf, wakaenda mahakamani na bado wakapoteza ubunge wao hukuandika chochote,
Kwa unafiki mkubwa unajiita mtetezi wa haki za binadamu,
 
Halima mdee na wenzie 18, ni wanawake wanao nyanyaswa na wanaume kisiasa, hawa wanawake kuna genge la wanaume limekomaa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha kisiasa.

Hawa wanaume wanaofungua mikesi kila siku na kupeleka malalamiko isiyokuwa na maana bungeni sio waathirika na hatakama halima na wenzie wakiondoka bungeni hawata teuliwa wao kwani ni wanaume.

Hawa wanaume waligombea 2020 wakashindwa na hawakufungua kesi za kupiga matokeo sasa kukomaa kuwashitaki wanawake wakiwaacha wanaume wenzao waliowapokonya kura ni jambo la kufedhehesha sana. Hivi ni kweli ndani ya Chadema hakuna wazee wakulimaliza jambo hili kiungwana?

CCM hicho chuo chenu cha kuzalisha wapumbavu kinapiga kazi sana, naona idadi ya wapumbavu huko inaongezeka kwa kasi ya mwanga.
 
Unapata nini kwa kujidhalilisha namna hii,
Una ugomvi binafsi na Chadema?

Walipofukuzwa Sofia Simba, Jesca CCM

Walipofukuzwa wabunge wa viti maalum cuf, wakaenda mahakamani na bado wakapoteza ubunge wao hukuandika chochote,
Kwa unafiki mkubwa unajiita mtetezi wa haki za binadamu,
Huyo toka alivyotangaza rasmi kuwa ni mwanaccm ndiyo kawa hamnazo mazima
 

Attachments

  • FB_IMG_1604027510826.jpg
    FB_IMG_1604027510826.jpg
    31.6 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1589682992908.jpg
    FB_IMG_1589682992908.jpg
    41.8 KB · Views: 4
Halima mdee na wenzie 18, ni wanawake wanao nyanyaswa na wanaume kisiasa, hawa wanawake kuna genge la wanaume limekomaa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha kisiasa.

Hawa wanaume wanaofungua mikesi kila siku na kupeleka malalamiko isiyokuwa na maana bungeni sio waathirika na hatakama halima na wenzie wakiondoka bungeni hawata teuliwa wao kwani ni wanaume.

Hawa wanaume waligombea 2020 wakashindwa na hawakufungua kesi za kupiga matokeo sasa kukomaa kuwashitaki wanawake wakiwaacha wanaume wenzao waliowapokonya kura ni jambo la kufedhehesha sana. Hivi ni kweli ndani ya Chadema hakuna wazee wakulimaliza jambo hili kiungwana?
Ahaahaaaha
 
Halima mdee na wenzie 18, ni wanawake wanao nyanyaswa na wanaume kisiasa, hawa wanawake kuna genge la wanaume limekomaa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha kisiasa.

Hawa wanaume wanaofungua mikesi kila siku na kupeleka malalamiko isiyokuwa na maana bungeni sio waathirika na hatakama halima na wenzie wakiondoka bungeni hawata teuliwa wao kwani ni wanaume.

Hawa wanaume waligombea 2020 wakashindwa na hawakufungua kesi za kupiga matokeo sasa kukomaa kuwashitaki wanawake wakiwaacha wanaume wenzao waliowapokonya kura ni jambo la kufedhehesha sana. Hivi ni kweli ndani ya Chadema hakuna wazee wakulimaliza jambo hili kiungwana?
Hii hoja dhaifu alikuja nayo yule hafifu toka Kongwa ikampiga chini. Unapoianzisha tafuta Wenye akili wakusaidie, vinginevyo utaonekana Zuzu kama hivi.
 
Halima mdee na wenzie 18, ni wanawake wanao nyanyaswa na wanaume kisiasa, hawa wanawake kuna genge la wanaume limekomaa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha kisiasa.

Hawa wanaume wanaofungua mikesi kila siku na kupeleka malalamiko isiyokuwa na maana bungeni sio waathirika na hatakama halima na wenzie wakiondoka bungeni hawata teuliwa wao kwani ni wanaume.

Hawa wanaume waligombea 2020 wakashindwa na hawakufungua kesi za kupiga matokeo sasa kukomaa kuwashitaki wanawake wakiwaacha wanaume wenzao waliowapokonya kura ni jambo la kufedhehesha sana. Hivi ni kweli ndani ya Chadema hakuna wazee wakulimaliza jambo hili kiungwana?
walimalize vipi kiungwana???
 
Halima mdee na wenzie 18, ni wanawake wanao nyanyaswa na wanaume kisiasa, hawa wanawake kuna genge la wanaume limekomaa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha kisiasa.

Hawa wanaume wanaofungua mikesi kila siku na kupeleka malalamiko isiyokuwa na maana bungeni sio waathirika na hatakama halima na wenzie wakiondoka bungeni hawata teuliwa wao kwani ni wanaume.

Hawa wanaume waligombea 2020 wakashindwa na hawakufungua kesi za kupiga matokeo sasa kukomaa kuwashitaki wanawake wakiwaacha wanaume wenzao waliowapokonya kura ni jambo la kufedhehesha sana. Hivi ni kweli ndani ya Chadema hakuna wazee wakulimaliza jambo hili kiungwana?
Una umri gani?
Ulisoma hadi level gani?
Unafanya kazi ama upo nyumbani?
Unajua lolote kuhusu katiba mkuu?
Katiba ya Tz inasemaje kuhusu wagombea nafasi za kuchaguliwa?
Kwann kuna nafasi za viti maalumu?
Unalijua chama cha CUF?
Lilipo wafukuza wabunge wake kina NGWALI/TISS ilikuwaje?
 
Halima mdee na wenzie 18, ni wanawake wanao nyanyaswa na wanaume kisiasa, hawa wanawake kuna genge la wanaume limekomaa kuwanyanyasa na kuwadhalilisha kisiasa.

Hawa wanaume wanaofungua mikesi kila siku na kupeleka malalamiko isiyokuwa na maana bungeni sio waathirika na hatakama halima na wenzie wakiondoka bungeni hawata teuliwa wao kwani ni wanaume.

Hawa wanaume waligombea 2020 wakashindwa na hawakufungua kesi za kupiga matokeo sasa kukomaa kuwashitaki wanawake wakiwaacha wanaume wenzao waliowapokonya kura ni jambo la kufedhehesha sana. Hivi ni kweli ndani ya Chadema hakuna wazee wakulimaliza jambo hili kiungwana?
Acha ujinga, wanadhalilishwa wapi? Unapaswa kujua 19 wale ni ‘wanaume’ kuliko mumeo!
 
CCM hicho chuo chenu cha kuzalisha wapumbavu kinapiga kazi sana, naona idadi ya wapumbavu huko inaongezeka kwa kasi ya mwanga.
Ungejikita kwenye hoja sio kutukana
 
Back
Top Bottom