Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
I seeAnayenisugua mgongoni nikioga ndiye anayenisugua na kucha pia
Hio imekaa sawa 😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I seeAnayenisugua mgongoni nikioga ndiye anayenisugua na kucha pia
Swali yule jamaa uliwahi kumweleza kama ukisuguliwa hapo unapata nyege? ni swali tuBinafsi nilacha hiyo tabia baada ya kupata shida nisuguliwapo nyayo...yaani nyege zinapanda kiasi nilitaka kupiga kelele ..nikaone si vyema nikaacha kbsa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] jino kwa jinoni sawa na sisi wanaume tunavyowagegeda wale wafanya scrub kule saluni,akishamaliza kukushikashika unaondoka na namba ya simu tu.
KwakweliNi mambo ya ajabu kabisa. Haya mambo ya kusingwa,kusafishwa kucha scrub etc
na opposite gender ni miongoni mwa vichocheo vya uzinifu.
Hawa viumbe wa kike hawakosagi sababu utasikia kupaka rangi na kusugua miguu kwenyewe hujui,utaishia kugombana nae tu.......amini iloTatizo wanaume tupo nyuma sana ,, Baadhi yamambo nilazima umfanyie mwenzako ,,, mfano ,, badala ya yeye kwenda kupaka rangi salun ,, mwambie anunue rangi naumpake wewe ,, ndio umpake ...
Mwambie wife njoo nikusugue miguu ,,mwambie ndio ,,, Mwambie akanunue mahitaji kisha umfanyie wewe ,, wakat mwingine msione haya kwenda kuulizia wenyewe ,,Rang zakucha wanazozipenda wanawake ,, mafuta gan mazuri yafaa kwa massage ,, nunua mpaka wanavyotumia wao kusugua mkeo miguu alafu sasa iyo huduma uifanye wewe !! Daaahhh utamwona mwanamke atakavyokua mwanamke kwako ,,, nje nahapo utagongewa na mpaka rangi kucha,, Noway out.
Huu mda unatoa wapi?Tatizo wanaume tupo nyuma sana ,, Baadhi yamambo nilazima umfanyie mwenzako ,,, mfano ,, badala ya yeye kwenda kupaka rangi salun ,, mwambie anunue rangi naumpake wewe ,, ndio umpake ...
Mwambie wife njoo nikusugue miguu ,,mwambie ndio ,,, Mwambie akanunue mahitaji kisha umfanyie wewe ,, wakat mwingine msione haya kwenda kuulizia wenyewe ,,Rang zakucha wanazozipenda wanawake ,, mafuta gan mazuri yafaa kwa massage ,, nunua mpaka wanavyotumia wao kusugua mkeo miguu alafu sasa iyo huduma uifanye wewe !! Daaahhh utamwona mwanamke atakavyokua mwanamke kwako ,,, nje nahapo utagongewa na mpaka rangi kucha,, Noway out.
Hata Mo Dewji anapata muda mwingi wa kupeana mahaba na mtu wake.Huu mda unatoa wapi?
Acha kujiendekeza we kijana uzungu wa kusuguana kucha na mkeo unautoa wapi?Hata Mo Dewji anapata muda mwingi wa kupeana mahaba na mtu wake.
Labda km ni mlala hoi ambaye masaa 24 siku saba ,wewe nikujifanya upo bize .
Upate muda wa Kukaa BAR unywe pombe na kuvuta sigara .... Ukoswe muda wa kumfanyia Massage mwanamke wako???
Huo ni UPUMBAVU
Kila mmoja afanye yake.A
Acha kujiendekeza we kijana uzungu wa kusuguana kucha na mkeo unautoa wapi?
Ewaaaaaa [emoji7][emoji7], mambo Mdada Mzuri na mrembooo , uloumbwa na kuumbikaTena akuwache
Umeanza fujo, mambo yangu yako poa natafuta msugua kucha😅Ewaaaaaa [emoji7][emoji7], mambo Mdada Mzuri na mrembooo , uloumbwa na kuumbika
Mrembo kiasi kwamba huhitaji make up
Bora kutokuoa ili waendelee kulalamika kwamba waoaji hawapoTatizo wanaume tupo nyuma sana ,, Baadhi yamambo nilazima umfanyie mwenzako ,,, mfano ,, badala ya yeye kwenda kupaka rangi salun ,, mwambie anunue rangi naumpake wewe ,, ndio umpake ...
Mwambie wife njoo nikusugue miguu ,,mwambie ndio ,,, Mwambie akanunue mahitaji kisha umfanyie wewe ,, wakat mwingine msione haya kwenda kuulizia wenyewe ,,Rang zakucha wanazozipenda wanawake ,, mafuta gan mazuri yafaa kwa massage ,, nunua mpaka wanavyotumia wao kusugua mkeo miguu alafu sasa iyo huduma uifanye wewe !! Daaahhh utamwona mwanamke atakavyokua mwanamke kwako ,,, nje nahapo utagongewa na mpaka rangi kucha,, Noway out.
Naaam naaaam, Msugua kucha, unyayo na aliyebobeaaaa ....umenipataUmeanza fujo, mambo yangu yako poa natafuta msugua kucha[emoji28]
Haya fanya ukuje pande hii ufanye kazi yako,, ila Ni kusugua kucha tu,Naaam naaaam, Msugua kucha, unyayo na aliyebobeaaaa ....umenipata
Niko hapa kwaajili yako Mama.
Hata usijaliii nitakusugua kucha tuu ..labda nikupe na ka ofa ka kuosha yako miguuu mpaka magotinHaya fanya ukuje pande hii ufanye kazi yako,, ila Ni kusugua kucha tu,