Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,951
- 9,878
Duuhhivi unakuta mmama ana mzigo wa maana alafu kaja na kimini naona kabisa bikini..nikimwomba atabanaje ajati namwona macho yanabadilika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuhhivi unakuta mmama ana mzigo wa maana alafu kaja na kimini naona kabisa bikini..nikimwomba atabanaje ajati namwona macho yanabadilika
[emoji23] [emoji23] Papiii you`re too fun to handleYaani mimi alinisumbua sana! Na nilisafisha mara moja tu!!! Alivyokua anaosha, anaspray vimaji vya bariidi basi mwili wote unasisimka!!! Alafu anakuangalia machoni hukua anafanya shughuli yake... Unajihisi uko mbinguni!
Alivyomaliza akaomba namba, nikajikuta nampa zote mbili![]()
baadae ndo nikashtuka! Akaanza kusumbua kuniita ofa za lunch nikampotezea!!!![]()
Wanacheza na saikolojia hawa jamaaa[emoji23] [emoji23] Papiii you`re too fun to handle
Acha uzinzi mkuungoja na mimi nitafute vifaa vya kusugulia kucha ili kila weekend nikiwa siendi job nipate mama ya kugonga kiulaini.
Na wamekubuhu ktk hilo,Maana ndio kazi yao,Wanajua kabisa kwa hatua hii,huyu hajiwezi [ emoji23] unatoa namba bila kujijuaWanacheza na saikolojia hawa jamaaa
Mkuu ktk masuala ya mahusiano au ndoa nikazima mwanamme uwe mbunifu sana ,,otherwise utagongewa tuuu ,,mwanamke nikiumbe ambaye kitu kidogo atakachofanyiwa na mwingine kinaweza kumvuta haraka sana na akakusahau !!!.... Lkn km utakua mbunifu ,kila siku anakuona mpya kwake hapo mtadumu sana ,, ,,kwan wao wlizaliwa wanajua kupaka ???? Wengine maisha mpaka yamewagonga wakaamua kujitosa uko,,, kwaiyo ilo nisuala LA utayar namaamuzi kwamba ,, " Mimi Putin sitaki kugongewa ,kwaiyo nitajitahidi anione mpya kila siku " basi.Utanunua rangi sawa na utasugua je kuchora utaweza ?
Anayenisugua mgongoni nikioga ndiye anayenisugua na kucha pia
Tupo wengi.. cna muda wa kupoteza..Binafsi sipendi huo ujinga kabisa
Duuh! Mpaka nimetamani nikuone aisei..!Binafsi nilacha hiyo tabia baada ya kupata shida nisuguliwapo nyayo...yaani nyege zinapanda kiasi nilitaka kupiga kelele ..nikaone si vyema nikaacha kbsa
sawa mkuu, ungesema mapema, sasa nishanunua vifaa vya kusugulia miguu na kuoshea kucha. Ngoja nikavitupe basi.Acha uzinzi mkuu
ni kweli mkuu,siku hizi watoto wakali wote wapo kwenye masaloon,kwa sisi tusiokunywa pombe saluni ndio chimbo letu,mtoto anakutekenyatekenya pale ukimaliza unachukua namba na wala hawana hiyanaUmenikumbusha Arusha kuna jomba alivuruga kabisa familia yake kisa dada moja linalofanya hii shughuli.