Wanawake wanaopenda kusuguliwa kucha wengi wao hufanya mapenzi na wasugua kucha

Wanawake wanaopenda kusuguliwa kucha wengi wao hufanya mapenzi na wasugua kucha

Washawahi ku attempt kutaka kukuzoa mkuu?

Wewe umewahi safishwa kucha Kama jibu ni ndio je hukunyegeshwa wakati zoezi linaendelea?
Yaani mimi alinisumbua sana! Na nilisafisha mara moja tu!!! Alivyokua anaosha, anaspray vimaji vya bariidi basi mwili wote unasisimka!!! Alafu anakuangalia machoni hukua anafanya shughuli yake... Unajihisi uko mbinguni!
Alivyomaliza akaomba namba, nikajikuta nampa zote mbili [emoji23][emoji23][emoji23] baadae ndo nikashtuka! Akaanza kusumbua kuniita ofa za lunch nikampotezea!!!
 
Acha wasuguliwe tu. basi nyie wengiwenu kama hamuwezi kuwasugua vizuri? anakwenda zake kwamsugua kucha? kumbuka msugua kucha hali chipsi yayi sijui Baga... hapo lazima kisuguliwe sawa sawa.
 
Yaani mimi alinisumbua sana! Na nilisafisha mara moja tu!!! Alivyokua anaosha, anaspray vimaji vya bariidi basi mwili wote unasisimka!!! Alafu anakuangalia machoni hukua anafanya shughuli yake... Unajihisi uko mbinguni!
Alivyomaliza akaomba namba, nikajikuta nampa zote mbili [emoji23][emoji23][emoji23] baadae ndo nikashtuka! Akaanza kusumbua kuniita ofa za lunch nikampotezea!!!
Bora wewe umekuwa mkweli
 
Mpenzi wangu alikuwa akisuguliwa kucha nampeleka mwenyewe,na yeye mwenyewe aliniambia nikisuguliwa kucha kidole cha mguu wa kulia cha karibu na cha mwisho napata genye kabisa,na nikifika naye nyumbani amelowa napitisha dushelele tu,na ile kuloweshwa nami ikawa inanitia hamu saana,ikawa ndio mchezo wetu nkimtoa out lazima nimpeleke kwa mtengeza kucha yeyote.Pia sio mmoja,mtengeneza kucha yeyote,Najuta aliniacha,alinipenda sana yule mpare nikaharibu!Msugua kucha marufuku ilikuwa kuja nyumbani.Tunawafuata huko huko mitaani!
 
Acha wasuguliwe tu. basi nyie wengiwenu kama hamuwezi kuwasugua vizuri? anakwenda zake kwamsugua kucha? kumbuka msugua kucha hali chipsi yayi sijui Baga... hapo lazima kisuguliwe sawa sawa.
Nani kakudanganya msugua kucha hali chipsi,huo ndio mlo hawataki vyakula vigumu wanataka vitu lainilaini tuu
 
Wakuu habrn za kazi

Nimegundua wanawake wanaopenda kusuguliwa kucha na wasugua kucha huishia kusex nao.

Huu ndiyo ukweli wasugua kucha wanagegeda sana wake za watu tena ndani ya nyumba zao.

Nilikuwa naenda kumtembea rafiki yangu nyumbani kwake , jamaa akawa hayupo niliyemkuta alikuwa mkewe lkn hakuwa peke yake alikuwa na msugua kucha.

Nikaaga na kwenda zangu,siku mbili baadae nilikutana na yule msugua kucha kwakuwa tulikuwa tumeshafahamiana tukasalimiana na kuongea kidogo.

Ktk maongezi yetu alijikuta akinieleza jinsi wanavyogegeda wake za watu.

Anasema si rahisi umsugue miguu na kucha bila kuamsha hisia zake nahujikuta wakipewa tunda bureeee kbsa.

Msugua kucha alisema wengi wanaosex nao ni wake za watu.

Kazi kwenu wenye wake wanaopenda kusuguliwa kucha.
Ni kweli maana wengi wa wake zetu wanaishi kwa matumaini hivyo hawa watu wanatusaidia maana siye tunaishi nao kama kaka na dada! Maskini Ukimwi utawaumbua hao wasugua kucha kwa k za dezo
 
Yaani mimi alinisumbua sana! Na nilisafisha mara moja tu!!! Alivyokua anaosha, anaspray vimaji vya bariidi basi mwili wote unasisimka!!! Alafu anakuangalia machoni hukua anafanya shughuli yake... Unajihisi uko mbinguni!
Alivyomaliza akaomba namba, nikajikuta nampa zote mbili [emoji23][emoji23][emoji23] baadae ndo nikashtuka! Akaanza kusumbua kuniita ofa za lunch nikampotezea!!!
Duh Hatari Msugua kucha anamuitia boss wake ofa ya lunch? hivi huwa ni shingapi kusugua kucha?
 
Hao watakuwa wanawake wasiojishughulisha.. kutwa nzima amaeshinda nyumbani bila kazi lazima watu wajinome tuuuu....!!

"If a farmer fills his barn with grain, he gets mice. If he leaves it empty, he gets actors."
Wamama nyumban wachache sana wana huo muda
 
Yaani mimi alinisumbua sana! Na nilisafisha mara moja tu!!! Alivyokua anaosha, anaspray vimaji vya bariidi basi mwili wote unasisimka!!! Alafu anakuangalia machoni hukua anafanya shughuli yake... Unajihisi uko mbinguni!
Alivyomaliza akaomba namba, nikajikuta nampa zote mbili [emoji23][emoji23][emoji23] baadae ndo nikashtuka! Akaanza kusumbua kuniita ofa za lunch nikampotezea!!!
Venue zoezi lilipofanyikia Kama ingeruhusu alafu angekuta na wewe una ukame wa genyee basi ungelika kirahisi Sana, biashara ingeisha same day.


Kumbe ndivyo wanavyowala wake zetu, manina nampiga marufuku wife kusafisha kucha na mwanaume.
 
Back
Top Bottom