Wanawake wanaotoka Nyanda za Juu Kusini (Mbeya, Njombe & Iringa regions)

He he he he, mie nikiweka yangu

Server inaungua

akikuona atataka uhamie kwake mke mweee!
hawatujui vizuri hawa!
mi nafkir ifike wakati kila member awe verified user na picha zetu!
hii habari hii ZEREU zinazidi humu!
 
mi navyo juwa ni wazuri, wanajuwa kupenda na pia wanapenda sana Dudu.
 
akikuona atataka uhamie kwake mke mweee!
hawatujui vizuri hawa!
mi nafkir ifike wakati kila member awe verified user na picha zetu!
hii habari hii ZEREU zinazidi humu!
nitaandamana kwa hili........
naunga mkono hoja
 
Acheni kunywa viroba...hata Tanga,arusha,Moro, nk wapo wanawake wabaya..sema tu hawana Akili za kufika chuo ndio maana hamuwaoni
 
sio wabaya tuh.. una asilimia nyingi za kuondoka na lile gonjwa letu..
 
Ni kweli kabisa kwanza wamejazia mwili mzima weusi kama west african wana miguvu kuliko wanaume ukileta zako za kuleta unachezea kichapo. Ila wanajua kutafuta hela sana

Daah...haya bwana
 
Then wanakula kama wanamashine ndani ya miili yao.ukikuta mfupi akinenepa anakuwa kama kibanda na akiwa mrefu akinenepa anakuwa kama nyumba.kwao unene ni ki2 muhimu wananenepa hadi vichwa

hahahaaaaaaaaaaaaaaaa!! aiseee ao ni watu au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…