Wanawake wanaotoka Nyanda za Juu Kusini (Mbeya, Njombe & Iringa regions)

Wanawake wanaotoka Nyanda za Juu Kusini (Mbeya, Njombe & Iringa regions)

Hata hao nao ni wachache wengi wao ninaowajua mimi maumbo ni ya kuyatafuta sura kawaida tu, labda rangi, nyuma ndio mbaaaaaaaaaaa, kama wamepigwa pasi.
Iyo kweli wa2 wa kaskazn a wana vyura rangi inawabeba Kusini bwn utapenda japo face normal tyu japo. Metal na non metal zote zipo
 
Nyie mwasemea miili! Tabia zao mbovu! Ukoiwaoa hasa mbeya umeumia

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Acha uongo mweu weh tabia ni m2 mmoja mmoja na wachaga wa machame wanao ua wamezao mbona usemi
 
Mi sina uhakika, ni maneno niliyoyasikia kwa watu nilivyokuwa chuoni! Eti wanawake (mademu) wengi waliopo vyuoni wanaotoka mikoa niliyotaja hapo juu (Mbeya, Njombe and Iringa) ndiyo wabaya kwa sura na figure (Body structure) mbaya kuliko wa mikoa mingine! Je, hili lina ukweli?
Duuuuuuuuuuh
 
Mi nimeowa huko ila nkili sio wazuri kwa sura Yaani Yeye tu mzuri ukoo mzima yaani wengine Sura duuuu ,,,Mpaka huwa namtania nasema duu hao waliobaki hawaoewiii Basi na yeye anatania kwetu ila ukweli wengi wao Wabaya Kama IRINGA ninao hapa watatu kazin wafupi kujidai kugusa tu wamejinyonga,,Sasa mda wote wamejifungia kwanini Usijinyonge mi nakaa nao kwa wangalifu maana wenzetu hawaogopi kifoo
 
Mm naona mkichanganya kabila inatoka mbegu nzur kidogo
 
Hahaha Juzi Kati nimemforce nikambandue.. akasema Nakuja ila hunibandui... Nikadhani masihara sikumbandua Kweli.... Chezea iringa Kwa miguvu... Kila nikijaribu kuvua pichu narushwa kuleeeeeee
 
Hahaha Juzi Kati nimemforce nikambandue.. akasema Nakuja ila hunibandui... Nikadhani masihara sikumbandua Kweli.... Chezea iringa Kwa miguvu... Kila nikijaribu kuvua pichu narushwa kuleeeeeee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
"Wa mbili havai moja"...in short wanawake au wanaume waliokulia mazingira magumu na ya kijijini, huwa hawana mvuto kama wale wa mjini kutokana na shurba na dhahma wanazokutana nazo....
Sasa kutokana na utangulizi huo, utagundua kuwa si mikoa hiyo ya Nyanda za Juu tu kuna aina hiyo ya kina mama, ni sehemu zote za Tanzania na afrika kwa ujumla.
Hivi ushawahi kuishi Umaasaini wewe ukawaona wale kina mama wa Kimaasai...au nenda kule kwa Wasukuma ukawaona jinsi walivyo...
Tunda kakulia kwenye mabanda ya manjangu hapo Morogoro lakini ana mvuto mbona?
 
kuna ukweli kidogo. walio wengi si wazuri sana wa sura, labda awe alikulia mjini ndo kidogo utakuta amenawiri walau. ila walio wengi huwa mnato sana kwasababu si wahuni, ukiondoa wanyakyusa wote wa Rungwe na kyela, hao matobo tu.
adi wa rungwe mh
 
ULIEANZISHA UZI endelea tu na tafuta tetesi nyingine at wanawake wa kaskazini like wachaga wana miguu kama tooth pick nayo tupe tetesi mkuu
 
Shida iliopo apa naona hii mada imekaa kinyanda zaidi ila all in all kama ni wabaya sawa kama wa kaskazini n wazuri haya MIMI KAMA MTU WA PALE MBEYA MEKUBALI MAANA TAFITI UMEFANYA SAWA ingawa hauna statistics zozote za tafiti au tetesi zako na kama ni tetesi ungefanya tafiti ulete mada uku maana kuleta tetesi huku haina maana watu wa kusini watajitetea na wa kaskazini wataponda
 
Back
Top Bottom