Mi sina uhakika, ni maneno niliyoyasikia kwa watu nilivyokuwa chuoni! eti wanawake(mademu) wengi waliopo vyuoni wanaotoka mikoa niliyotaja hapo juu ndiyo wabaya kwa sura na figure(Body structure)mbaya kuliko wa mikoa mingine! je, hili lina ukweli?
Huyo mmoja tu? kama ungewafahamu zaidi ya watano au sita nitaungana na wewe, kusema si kweli!!
Ah! jamani JF kuna mambo, hivi huwa mnafikiria nn?
Ha ha ha!! cc, Mamndenyi..+ Mkirua
Aisee kumbe ndiyo source?Na tabia zao sasa kwa wapenzi wao kati ya wanawake kumi utakuta wenye utulivu ni wawili tu,na ndo mana kuna misemo huwa wanawake wanaitwa Maharagwe ya mbeya,wakimaanisha ni dk chache tu unampata hupati shidaSent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
"Wa mbili havai moja"...in short wanawake au wanaume waliokulia mazingira magumu na ya kijijini, huwa hawana mvuto kama wale wa mjini kutokana na shurba na dhahma wanazokutana nazo....
Sasa kutokana na utangulizi huo, utagundua kuwa si mikoa hiyo ya Nyanda za Juu tu kuna aina hiyo ya kina mama, ni sehemu zote za Tanzania na afrika kwa ujumla.
Hivi ushawahi kuishi Umaasaini wewe ukawaona wale kina mama wa Kimaasai...au nenda kule kwa Wasukuma ukawaona jinsi walivyo...
Ah! jamani JF kuna mambo, hivi huwa mnafikiria nn?
Na tabia zao sasa kwa wapenzi wao kati ya wanawake kumi utakuta wenye utulivu ni wawili tu,na ndo mana kuna misemo huwa wanawake wanaitwa Maharagwe ya mbeya,wakimaanisha ni dk chache tu unampata hupati shida
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kwa maoni yangu Mbulu, singida, Kondoa, Tanga na Mkoa wa kilimanjaro ndio mikoa/wilaya zenye warembo TZ (Sura, nywele, rangi).
Wengi wa wanawake wa mbeya wanasifa zifuatazo..,sura hazifutii,mgongo na makalio vina lingana,wengi huwez gundua kiuno kilipoanzia,wambeya kweli,vicheche kupita kiasi,
Pia wanamazuri wanajua sana kuimba kwaya.sauti zao ni nzur kiuimbaji
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mi sina uhakika, ni maneno niliyoyasikia kwa watu nilivyokuwa chuoni! eti wanawake(mademu) wengi waliopo vyuoni wanaotoka mikoa niliyotaja hapo juu ndiyo wabaya kwa sura na figure(Body structure)mbaya kuliko wa mikoa mingine! je, hili lina ukweli?