Wanawake wanaotoka Nyanda za Juu Kusini (Mbeya, Njombe & Iringa regions)

Wanawake wanaotoka Nyanda za Juu Kusini (Mbeya, Njombe & Iringa regions)

Mi sina uhakika, ni maneno niliyoyasikia kwa watu nilivyokuwa chuoni! eti wanawake(mademu) wengi waliopo vyuoni wanaotoka mikoa niliyotaja hapo juu ndiyo wabaya kwa sura na figure(Body structure)mbaya kuliko wa mikoa mingine! je, hili lina ukweli?

Loh mfungo wangu wa kwaresma umeharibiwa kbs...
 
Na tabia zao sasa kwa wapenzi wao kati ya wanawake kumi utakuta wenye utulivu ni wawili tu,na ndo mana kuna misemo huwa wanawake wanaitwa Maharagwe ya mbeya,wakimaanisha ni dk chache tu unampata hupati shida

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Na tabia zao sasa kwa wapenzi wao kati ya wanawake kumi utakuta wenye utulivu ni wawili tu,na ndo mana kuna misemo huwa wanawake wanaitwa Maharagwe ya mbeya,wakimaanisha ni dk chache tu unampata hupati shidaSent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Aisee kumbe ndiyo source?
 
"Wa mbili havai moja"...in short wanawake au wanaume waliokulia mazingira magumu na ya kijijini, huwa hawana mvuto kama wale wa mjini kutokana na shurba na dhahma wanazokutana nazo....
Sasa kutokana na utangulizi huo, utagundua kuwa si mikoa hiyo ya Nyanda za Juu tu kuna aina hiyo ya kina mama, ni sehemu zote za Tanzania na afrika kwa ujumla.
Hivi ushawahi kuishi Umaasaini wewe ukawaona wale kina mama wa Kimaasai...au nenda kule kwa Wasukuma ukawaona jinsi walivyo...

Naunga mkono hoja!
 
Wengi wa wanawake wa mbeya wanasifa zifuatazo..,sura hazifutii,mgongo na makalio vina lingana,wengi huwez gundua kiuno kilipoanzia,wambeya kweli,vicheche kupita kiasi,

Pia wanamazuri wanajua sana kuimba kwaya.sauti zao ni nzur kiuimbaji

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Na tabia zao sasa kwa wapenzi wao kati ya wanawake kumi utakuta wenye utulivu ni wawili tu,na ndo mana kuna misemo huwa wanawake wanaitwa Maharagwe ya mbeya,wakimaanisha ni dk chache tu unampata hupati shida

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

uongo huo inategemea na tabia ya mtu.
 
Wengi wa wanawake wa mbeya wanasifa zifuatazo..,sura hazifutii,mgongo na makalio vina lingana,wengi huwez gundua kiuno kilipoanzia,wambeya kweli,vicheche kupita kiasi,

Pia wanamazuri wanajua sana kuimba kwaya.sauti zao ni nzur kiuimbaji

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

ha ha ha! mkuu umetisha...
 
Mi sina uhakika, ni maneno niliyoyasikia kwa watu nilivyokuwa chuoni! eti wanawake(mademu) wengi waliopo vyuoni wanaotoka mikoa niliyotaja hapo juu ndiyo wabaya kwa sura na figure(Body structure)mbaya kuliko wa mikoa mingine! je, hili lina ukweli?


Yes, 98% na kibaya zaidi wana huruma sana ya ugawaji.
 
Back
Top Bottom