Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
hapo kwel,,ss n wazuri banaaaa
Kuna ukweli kiasi kwani Kiimanjaro si wengi ni wazuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo kwel,,ss n wazuri banaaaa
kwani wewe ni mzuri,...mmmmmmmmmmmmmh?
kuna mambo hapo mnaniacha
1. kuna uzuri kuwa SEX
2. kuna UREMBO Kujipamba wawe wazuri
3. Kuwa wazuri wa maumbo fulani fulani
ninavyowajua wanawake wa kule ni wazuri sana, ila hawana muda na uzuri wao, wapo kikazi zaidi.
kama huamini hebu anagalia.. wafanyakazi weengi wa ndani (House Girls) hutoka huko, huja wakiwa mmhh baada ya muda wanaanza ku concentrate na uzuri wao.. hapo huwafunika mama wenye nyumba wengi tu. na huo ndio huwa mwanzo wa matatizo ya nyumba nyingi.. ni uzuri wa watoto wa nyanda za juu
ana uzuri gani huyo kazi ni kubofoa wenziwe omba ukutane naye live utaomba ardhi ipasuke uingie humo shmoni jinsi alivyo
vp wachagga na shepu la simba!
https://www.jamiiforums.com/image/png;base64,iVBORw0KGgoAAAANSUhEUgAAAGQAAABkCAIAAAD/gAIDAAAgAElEQVR4nJTbR4wj+50neL5yWZWVVZW2qrKy0hsmk957m/TeBhl0EWTQkxH03qf3Wd69Ms/p6Umtbj1J3WpJre6emcXMNrDAYIG5zp53D3vbywAL7OyBr1PVkp6kBr4HMiJOH3x/v/gDBHHFjr/UhTJVUG3lTi/duTlx5e706L374xuEVQ6dLOOwVDyGUcxxq4SgSgRIuQG1DNKrolZD0mPLBt2FaKCWRhq5eK+C7jTyR83SYaN4UM7uFdHDPHpcSD+ppHeTvn7ce1CIHDczu/XkditzsFuqVeKBoNnh0vgClgBkDyFAKgVjKSgT9pRivkYm1C8mjurZ807prJM/bmInDeyslXvcLjzpFJ+2C09a+aftwpNO8axVOKxhO8V0B43WoqGs3xNzWGCTLmTWu5USn1qedJlTgCnu0Dbj/rf7ldO8rxvSlVyy55XIl7uNk2y8Hw2XAwHivenxy9eu465cv3bj0tVh3LUbuOvDuGtDn4yMXwRXaPvqO5HGbjwQNxNZixPTNyfu3pqYvL2OX2ZRiVIO/QLLr5X6VeKgRh7Wq2M2Y9pjzwbdxch3WFtldKea3a/lD6q5vSK6l88c5DJH+dQhGj4rxI6K0e1ceL+aOOrkWuVoNOxw2jc3lRy1VgD6zE
[/QUOTE]
Mkuu naona giza tu hapo
Kwa maoni yangu Mbulu, singida, Kondoa, Tanga na Mkoa wa kilimanjaro ndio mikoa/wilaya zenye warembo TZ (Sura, nywele, rangi).
Aisee kumbe na wewe ni wa kilimanjaro mkuu..