Wanawake wanaotoka Nyanda za Juu Kusini (Mbeya, Njombe & Iringa regions)

Wanawake wanaotoka Nyanda za Juu Kusini (Mbeya, Njombe & Iringa regions)

Koma, ninae wa mbeya black beuty na figure matata. Acha kucrame kwa huyo uliyempata ukadhan wote wapo hvyo. Lol
 
Mi sina uhakika, ni maneno niliyoyasikia kwa watu nilivyokuwa chuoni! eti wanawake(mademu) wengi waliopo vyuoni wanaotoka mikoa niliyotaja hapo juu (Mbeya, Njombe and Iringa) ndiyo wabaya kwa sura na figure(Body structure)mbaya kuliko wa mikoa mingine! je, hili lina ukweli?

Sura haziwagi nzuri sanaa....ila mi napenda rangi yao na figure zao.....hawanaga nyama zilizolegea.....ni wazuri na watamu kwa kweli.
 
hoja yako haina mashiko,wabaya kwa scale gan?umetumia nn kutest ubaya na uzuri.hzo ni historia 2 nt proved scientificaly
 
wewe unaangalia sura tabia? hao wazuri nao wana karaha zake, nyodo nyingi, na anaweza kuwa si wa kwako peke yako! Wengi waliokaa Kaskazini wanalijua hilo wameghafirika sana na mapenzi ya hao wenye sura nzuri na za mnato. Ninachoamini kama utapata mpenzi angalia tabia ya mhusika.
 
aisee wengi niwabaya kiukweli.....nimeona wengi wafupi,wanene,weusi,wako kaam viroba aiseee,bora wakyela mbeya..ila wale wambeya kama sehemu zningine aah balaa...
 
wewe unaangalia sura tabia? hao wazuri nao wana karaha zake, nyodo nyingi, na anaweza kuwa si wa kwako peke yako! Wengi waliokaa Kaskazini wanalijua hilo wameghafirika sana na mapenzi ya hao wenye sura nzuri na za mnato. Ninachoamini kama utapata mpenzi angalia tabia ya mhusika.
 
Mi sina uhakika, ni maneno niliyoyasikia kwa watu nilivyokuwa chuoni! eti wanawake(mademu) wengi waliopo vyuoni wanaotoka mikoa niliyotaja hapo juu (Mbeya, Njombe and Iringa) ndiyo wabaya kwa sura na figure(Body structure)mbaya kuliko wa mikoa mingine! je, hili lina ukweli?

Sijui masikio yangu mabovu au mazima, mmoja wao nimesikia anafaa kuwa rais wetu kuanzia 2015, hapo ndio tutajua kama wabaya wa sura au tabia. Teheeeeeeee
 
Una maana mikoa mingine hujaona wabaya? Kama ungesema kwenye nyanja ya ubabe, wanawake wanaotoka mkoa wa Mbeya wanaweza kuwa vinara aisee.
 
Sijui masikio yangu mabovu au mazima, mmoja wao nimesikia anafaa kuwa rais wetu kuanzia 2015, hapo ndio tutajua kama wabaya wa sura au tabia. Teheeeeeeee
Aaaasanteeeeeeeeeeeeeeeee. Wewe Lindu Lindu kaa chini, nimesema kaaa chiniiii.
 
Una maana mikoa mingine hujaona wabaya? Kama ungesema kwenye nyanja ya ubabe, wanawake wanaotoka mkoa wa Mbeya wanaweza kuwa vinara aisee.

nilizungumza nikimaanisha katika ngazi ya chuo mkuu
 
nilizungumza nikimaanisha katika ngazi ya chuo mkuu
Chuo gani mkuu, maana siku hizi viko vingi, lakini kama ni hapo Mlimani ambapo hata sisi walala hoi wengi tulipitia sio kweli labda intake yenu mna bahati mbaya.
 
Back
Top Bottom