Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sina uhakika, ni maneno niliyoyasikia kwa watu nilivyokuwa chuoni! eti wanawake(mademu) wengi waliopo vyuoni wanaotoka mikoa niliyotaja hapo juu (Mbeya, Njombe and Iringa) ndiyo wabaya kwa sura na figure(Body structure)mbaya kuliko wa mikoa mingine! je, hili lina ukweli?
tuelezee uzuri wake..kwetu shape kama ile huwa tunawaita short chases...
Kwenu na akina nani ni?????????????
labda mmetoka sehemu moja!!!!!!!!
Teh,teh,teh,teh,teh!!!!!!!!!!
Nimekumiss ile mbaya upo?Wewe ukiwa pale chuoni, what was your experience? Labda tuanzie hapo.
Nimekumiss ile mbaya upo?
karibu tena na samaki je, nao wako busy? Au umekuja nao?wow asante sana lisa. Mimi nipo, nilitingwa na kazi mwanza, last week nilirejea salidalama kwenye foleni lukuki! Mzima?
Mi sina uhakika, ni maneno niliyoyasikia kwa watu nilivyokuwa chuoni! eti wanawake(mademu) wengi waliopo vyuoni wanaotoka mikoa niliyotaja hapo juu (Mbeya, Njombe and Iringa) ndiyo wabaya kwa sura na figure(Body structure)mbaya kuliko wa mikoa mingine! je, hili lina ukweli?
Aaaasanteeeeeeeeeeeeeeeee. Wewe Lindu Lindu kaa chini, nimesema kaaa chiniiii.Sijui masikio yangu mabovu au mazima, mmoja wao nimesikia anafaa kuwa rais wetu kuanzia 2015, hapo ndio tutajua kama wabaya wa sura au tabia. Teheeeeeeee
Chuo gani mkuu, maana siku hizi viko vingi, lakini kama ni hapo Mlimani ambapo hata sisi walala hoi wengi tulipitia sio kweli labda intake yenu mna bahati mbaya.nilizungumza nikimaanisha katika ngazi ya chuo mkuu