Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akasema na tumuumbe mtu kwa sura na mfano wetu. unakosoaje alichokiumba Mungu kwa sura na mfano wake? hujafa hujaumbika! acha hizooooo!
Koma, ninae wa mbeya black beuty na figure matata. Acha kucrame kwa huyo uliyempata ukadhan wote wapo hvyo. Lol
Hata mimi ni wa huko huko, wish ungebahatika kuniona, sijisifii ila sisi si wabaya kama udhaniavyo, coppy snowhite, Asprin, Jiwe Linaloishi, snowhite, mwaJ, Fixed Point. Looooool, mutuwacheeeeee wa hiyo mikoa!
Me tofauti nao ingawa natoka mkoa mmojawapo kati ya hiyo
Hata mimi ni wa huko huko, wish ungebahatika kuniona, sijisifii ila sisi si wabaya kama udhaniavyo, coppy snowhite, Asprin, Jiwe Linaloishi, snowhite, mwaJ, Fixed Point. Looooool, mutuwacheeeeee wa hiyo mikoa!
Miguu ya wachaga unaijua ww?!
Tunzie hapo uzuri wa nn? Mfano mi kila mwanamke mwenye kalio kubwa binafsi namwona mzuri kuliko yule asiye na kalio.
Aaaasanteeeeeeeeeeeeeeeee. Wewe Lindu Lindu kaa chini, nimesema kaaa chiniiii.
Mi sina uhakika, ni maneno niliyoyasikia kwa watu nilivyokuwa chuoni! eti wanawake(mademu) wengi waliopo vyuoni wanaotoka mikoa niliyotaja hapo juu (Mbeya, Njombe and Iringa) ndiyo wabaya kwa sura na figure(Body structure)mbaya kuliko wa mikoa mingine! je, hili lina ukweli?
Sura haziwagi nzuri sanaa....ila mi napenda rangi yao na figure zao.....hawanaga nyama zilizolegea.....ni wazuri na watamu kwa kweli.
Mi sina uhakika, ni maneno niliyoyasikia kwa watu nilivyokuwa chuoni! eti wanawake(mademu) wengi waliopo vyuoni wanaotoka mikoa niliyotaja hapo juu (Mbeya, Njombe and Iringa) ndiyo wabaya kwa sura na figure(Body structure)mbaya kuliko wa mikoa mingine! je, hili lina ukweli?