Wanawake wanaouza maduka ie...k/koo wanazidisha bei(over pricing) kwa wateja wanaume

Wanawake wanaouza maduka ie...k/koo wanazidisha bei(over pricing) kwa wateja wanaume

Jorge WIP

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2018
Posts
3,567
Reaction score
5,323
Habari zenu my virtual family(JF)

Mara kadhaa huwa nikienda kununua vifaa vya electronics huwa nawakuta wauzaji wanawake...(probably nawafuataga sijui ila iko hivyo) ila sasa wana katabia ka kunitajia bei za ajabu ambazo ziko juu ya kawaida, Lakini...

Nikienda duka lingine labda nkamkuta jamaa utakuta anataja bei tofauti na ile (price difference inakuwa kubwa sana) Unabaki unawaza kwanini mwanamke yule kaamua kuzidisha sana ile bei,

Majibu niliopata ni kwamba:

•wanawake wanataja bei ambayo imejumlisha na pesa yao ya make up na kucha... (wanamuharibia boss au yeye mwenyewe)

•Wanajua wanaume tuna udhaifu kwao kwahiyo wanageuza kitega uchumi...

Fikiria utakuta umekutana na hii changamoto sehemu moja au nyingine...ila labda haukuwa curious kufuatilia... kumbuka last purchase yako ilikuwaje🤔?... Then tuelezee kama ulikutana na hii tatizo

”Nimewaza kwa sauti tu”
 
Pisi kali nyingi skuiz zimeajiriwa mwenye kampuni za uzaji wa viwanja. Mwanangu ukiingia kuulizia kiwanja hauchomoki. Mwanangu alinunua sqm 400 kwa milioni 8 kikombo dodoma ili tu alipige pini la kampuni na hajaambulia kitu
 
Pisi kali nyingi skuiz zimeajiriwa mwenye kampuni za uzaji wa viwanja. Mwanangu ukiingia kuulizia kiwanja hauchomoki. Mwanangu alinunua sqm 400 kwa milioni 8 kikombo dodoma ili tu alipige pini la kampuni na hajaambulia kitu
Hahaha akala hasara 😂
 
Mimi huwa naenda kumuungisha muhindi au mwarabu kwa sana. Wabongo walio wengi ni nuksi tena wanawake ndo kabisaaaaa nawapitia mbali.
Wahindi/waarabu huwa wanauza vitu og sema kwenye bei hapo ndio kasheshe sasa
 
Usiendekeze mazoea kati ya hela zako na wadangaji. Uzuri ni wake akae nao wewe haukuhusu. Ulizia kilichokupeleka dukani ukiona amekuchezea upuuzi mkatae nenda duka jingine.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nimefanya hivyo kuwakataa sasa ukienda duka jingine ukamkutq labda jamaa au mzee...utakuta anauza bei inaoeleweka

watu weupe wanauza bei inaoeleweka sometimes ila sio hao wadangaji
 
Habari zenu my virtual family(JF)

Mara kadhaa huwa nikienda kununua vifaa vya electronics huwa nawakuta wauzaji wanawake...(probably nawafuataga sijui ila iko hivyo) ila sasa wana katabia ka kunitajia bei za ajabu ambazo ziko juu ya kawaida, Lakini...

Nikienda duka lingine labda nkamkuta jamaa utakuta anataja bei tofauti na ile (price difference inakuwa kubwa sana) Unabaki unawaza kwanini mwanamke yule kaamua kuzidisha sana ile bei,

Majibu niliopata ni kwamba:

•wanawake wanataja bei ambayo imejumlisha na pesa yao ya make up na kucha... (wanamuharibia boss au yeye mwenyewe)

•Wanajua wanaume tuna udhaifu kwao kwahiyo wanageuza kitega uchumi...

Fikiria utakuta umekutana na hii changamoto sehemu moja au nyingine...ila labda haukuwa curious kufuatilia... kumbuka last purchase yako ilikuwaje🤔?... Then tuelezee kama ulikutana na hii tatizo

”Nimewaza kwa sauti tu”
Mkuu kufupi kwenye maduka ya simu wale utawakuta duka moja mademu kibao then wote wanakugombania ni hivi......

Wapo kwenye fremu moja then kila MTU anapewa mzigo wake kama simu ni laki kwa bosi then hiyo nyingine anayotaja ni amejiongeza
 
Wanakera sana hizo bei huwa wanaropoka tu ukijaa ndio inakula kwako au hata ukipunguza kidogo unakuta bado umepigwa tu.

Cha ajabu ni unakuta wenye duka wapo na wanawaangalia tu.
 
Habari zenu my virtual family(JF)

Mara kadhaa huwa nikienda kununua vifaa vya electronics huwa nawakuta wauzaji wanawake...(probably nawafuataga sijui ila iko hivyo) ila sasa wana katabia ka kunitajia bei za ajabu ambazo ziko juu ya kawaida, Lakini...

Nikienda duka lingine labda nkamkuta jamaa utakuta anataja bei tofauti na ile (price difference inakuwa kubwa sana) Unabaki unawaza kwanini mwanamke yule kaamua kuzidisha sana ile bei,

Majibu niliopata ni kwamba:

•wanawake wanataja bei ambayo imejumlisha na pesa yao ya make up na kucha... (wanamuharibia boss au yeye mwenyewe)

•Wanajua wanaume tuna udhaifu kwao kwahiyo wanageuza kitega uchumi...

Fikiria utakuta umekutana na hii changamoto sehemu moja au nyingine...ila labda haukuwa curious kufuatilia... kumbuka last purchase yako ilikuwaje🤔?... Then tuelezee kama ulikutana na hii tatizo

”Nimewaza kwa sauti tu”
Hakuna msemo kama ''kuwaza kwa sauti'' kwenye lugha ya kiswahili, huu ni ushamba na ulimbukeni mkubwa kutafsiri neno kwa neno kutoka kiingereza kwenda kiswahili!
Narudi kwenye mada. Utafiti wako una ukweli ndani yake. Maduka mengi ya Dar, hasa yale yanayovutia na kuuza bidhaa na nguo nzuri, ukikutana na wahudumu wanawake wengi wanakuwa na visirani, viburi na wanapenda kupandisha bei. Wanawake wenye huduma nzuri ni wale wanaouza matunda na mama Ntilie.
 
Wanakera sana hizo bei huwa wanaropoka tu ukijaa ndio inakula kwako au hata ukipunguza kidogo unakuta bado umepigwa tu.

Cha ajabu ni unakuta wenye duka wapo na wanawaangalia tu.
Ukikuta duka ''kali'' na lina wanawake, basi uwe makini sana. Wana huduma mbovu kweli kweli na wamejaa viburi. Hii ni tofauti kabisa na nchi nyingine nilizowahi kutembelea ambako wanawake ndio wenye huduma nzuri. Halafu wengine baadhi ya sehemu huwa ni wake, mahawara na dada wa wenye maduka.
 
Hakuna msemo kama ''kuwaza kwa sauti'' kwenye lugha ya kiswahili, huu ni ushamba na ulimbukeni mkubwa kutafsiri neno kwa neno kutoka kiingereza kwenda kiswahili!
Narudi kwenye mada. Utafiti wako una ukweli ndani yake. Maduka mengi ya Dar, hasa yale yanayovutia na kuuza bidhaa na nguo nzuri, ukikutana na wahudumu wanawake wengi wanakuwa na visirani, viburi na wanapenda kupandisha bei. Wanawake wenye huduma nzuri ni wale wanaouza matunda na mama Ntilie.
Kwa kiswahili ndio tunasemaje sasa ? Nielezee nisiwe mshamba(kwa madai yako)
 
Back
Top Bottom