Wanawake wanaouza maduka ie...k/koo wanazidisha bei(over pricing) kwa wateja wanaume

Kwahiyo undugu kwenye biashara unatudhuru
 
Kwahiyo undugu kwenye biashara unatudhuru
Inategemea! Mbwa umleavyo ndiyo anavyozoea. Hatuwezi kusema undugu unadhuru kwa sababu kuna watu kama wahindi, wamefanikiwa kwa kutumia ndugu. Nadhani ni sisi watu weusi ndiyo tuna matatizo na siyo wote.
 
Sitarudia tena kwenda kwenye yale maduka makubwa yenye wahudumu wengi hasa wakike,niliwah kwenda kununua vifaa vya umeme,anaeandika orodha ya vitu mwingine anaenikusanyia mwingine.

Nilijikuta nanunua vitu kwa bei ya gharama,kwasasa nataka duka linalouzwa na mtu mmoja tujadiliane vizur,maana pale niliuziwa main switch ya 70,000 wakati hata main switch ya 45 000 ilikuwa inafaa kwenye matumizi yangu
 
Duh, sema ushajifunza ndg yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…