Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Akiweka picha nitag.Weka picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiweka picha nitag.Weka picha
😅😅Pole sana
Dini yenu si ndivyo inavyofundishakibaya kwako,ila huo ndo ugonjwa wangu
huo ni urembo kwa mwanamke.ila kuna watu washambaDini yenu si ndivyo inavyofundisha
Wewe ndo hujanielewa!! Nimemaanisha kamba mguuni ni mshamba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi kikuku mpk kibata vyote namvalia Kantri [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Mpka kinyau yan vyote vyote [emoji81][emoji81][emoji81]
Binafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.
Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio inalkuwa ya mwisho kati ya mimi na yeye.
Na wanaovaa haya mashangaa asilimia kubwa ni wa dini fulani na zaidi ni wale wa uswahilini ingawa wako wengine wanaishi uzunguni na maushangaa ya viuononi.
Ujinga kabisa huu.
Vipi kipini cha pua kina kazi gani?Sisi watu wa pwani huo ndio utamaduni wetu nakumbuka nilipokuja dar nikapata binti mmoja wa kimeru alikuwa na shanga nne kiunoni hakika nilienjoy mno full kuunganisha juu kwa juu
Zamani zilikuwa urembo mzuri tuu siku hizi wanawake wanaziusisha Sana na ushirikina kuwapata wanaume binasfi na rafiki yangu zake alitengeneza halafu mganga akamuwekea vidawa basi anawapata mabwana wenye pesa tuu.
Mkuu kweli kabisa Yani inasikitisha[emoji2297][emoji2297]
Mwanaume asomaye hapa na apate kuwa aware.
Unashangaa mwanamke hata hamuendani chemistry zero lakini uwezo wa kumuacha huna [emoji108][emoji108]