Wanawake wanaovaa shanga kiunoni nawaona sawa na wavaa hirizi

Wanawake wanaovaa shanga kiunoni nawaona sawa na wavaa hirizi

Binafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.

Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio inalkuwa ya mwisho kati ya mimi na yeye.

Na wanaovaa haya mashangaa asilimia kubwa ni wa dini fulani na zaidi ni wale wa uswahilini ingawa wako wengine wanaishi uzunguni na maushangaa ya viuononi.

Ujinga kabisa huu.
Haya ndy madhara ya kutahiriwa hospital,,
 
Binafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.

Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio inalkuwa ya mwisho kati ya mimi na yeye.

Na wanaovaa haya mashangaa asilimia kubwa ni wa dini fulani na zaidi ni wale wa uswahilini ingawa wako wengine wanaishi uzunguni na maushangaa ya viuononi.

Ujinga kabisa huu.

Dini inahusiana nini na kuvaa shanga?
 
Binafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.

Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio inalkuwa ya mwisho kati ya mimi na yeye.

Na wanaovaa haya mashangaa asilimia kubwa ni wa dini fulani na zaidi ni wale wa uswahilini ingawa wako wengine wanaishi uzunguni na maushangaa ya viuononi.

Ujinga kabisa huu.
Picha plz
 
Binafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.

Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio inalkuwa ya mwisho kati ya mimi na yeye.

Na wanaovaa haya mashangaa asilimia kubwa ni wa dini fulani na zaidi ni wale wa uswahilini ingawa wako wengine wanaishi uzunguni na maushangaa ya viuononi.

Ujinga kabisa huu.

Punguza ushamba mkuu na ujinga mwing suala la dini na shanga wapi na wapi
 
Twende turudi, utaziona za ajabu kama hujawahi kukutana nazo au hujui kuzitumia.
Mimi mwenyewe nkipewa nyapu mbili nichague, ntachagua mwenye ako na shanga..
Kama kuna kabinti hivi ka morogoro... duh... aishi maisha marefu.
 
Binafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.

Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio inalkuwa ya mwisho kati ya mimi na yeye.

Na wanaovaa haya mashangaa asilimia kubwa ni wa dini fulani na zaidi ni wale wa uswahilini ingawa wako wengine wanaishi uzunguni na maushangaa ya viuononi.

Ujinga kabisa huu.
We jamaa bana,yani Unajipa stress Kwa mambo ambayo hayakuhusu?hivi unataka kitu ukikipenda wewe basi dunia nzima ikipende na ukichukia kitu iwe hivyo hivyo?una uhakika vitu vyote unavyopenda wewe na dunia nzima inapenda?wapo wanaopenda shanga
 
Ugonjwa wangu huu shanga, cheni plus bracelets kitu sikipendi kwa mwanamke ni wigs yaani mimi sivutiwi na wigs na misuko ya ajabu ajabu...
Lingine sipendi harufu mbaya kwa KE shombo sifagilii.
 
Salary Slip sema ulikutana na demu analala ka gogo. Muulize Depal akwambie raha yake ukikutana na anayejua kukizungusha halafu ziwe 6 mpaka 12 hivi utasikia sauti kama KAYAMBA ya kwaya za kikatoliki wallah

Au nasema uwongo ndugu yangu Cute Wife Evelyn Salt .

Achana na washamba kama Mr the dragon aliyedinya fisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanza msukuma na shanga wapi na wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom