Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndy madhara ya kutahiriwa hospital,,Binafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.
Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio inalkuwa ya mwisho kati ya mimi na yeye.
Na wanaovaa haya mashangaa asilimia kubwa ni wa dini fulani na zaidi ni wale wa uswahilini ingawa wako wengine wanaishi uzunguni na maushangaa ya viuononi.
Ujinga kabisa huu.
Binafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.
Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio inalkuwa ya mwisho kati ya mimi na yeye.
Na wanaovaa haya mashangaa asilimia kubwa ni wa dini fulani na zaidi ni wale wa uswahilini ingawa wako wengine wanaishi uzunguni na maushangaa ya viuononi.
Ujinga kabisa huu.
Dini inahusiana nini na kuvaa shanga?
Picha plzBinafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.
Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio inalkuwa ya mwisho kati ya mimi na yeye.
Na wanaovaa haya mashangaa asilimia kubwa ni wa dini fulani na zaidi ni wale wa uswahilini ingawa wako wengine wanaishi uzunguni na maushangaa ya viuononi.
Ujinga kabisa huu.
Huyu kafunga electric fence kiunoniView attachment 2709896
Binafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.
Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio inalkuwa ya mwisho kati ya mimi na yeye.
Na wanaovaa haya mashangaa asilimia kubwa ni wa dini fulani na zaidi ni wale wa uswahilini ingawa wako wengine wanaishi uzunguni na maushangaa ya viuononi.
Ujinga kabisa huu.
Dj waleteeee [emoji2223][emoji2223]View attachment 2709899
We ppamoja na kuvaa nikabu bado uunava shang?
Ni kweli! Wengine bila hizo "waya", umeme unasumbua sana kuwaka. Ukikutana nazo, TAKO MOJA tu, kikapu unacho!Wengine huo ndo ugonjwa wetu. Kwahiyo naomba mtuache tulale
Hizo mambo zinaleta vibe sana
We jamaa bana,yani Unajipa stress Kwa mambo ambayo hayakuhusu?hivi unataka kitu ukikipenda wewe basi dunia nzima ikipende na ukichukia kitu iwe hivyo hivyo?una uhakika vitu vyote unavyopenda wewe na dunia nzima inapenda?wapo wanaopenda shangaBinafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.
Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio inalkuwa ya mwisho kati ya mimi na yeye.
Na wanaovaa haya mashangaa asilimia kubwa ni wa dini fulani na zaidi ni wale wa uswahilini ingawa wako wengine wanaishi uzunguni na maushangaa ya viuononi.
Ujinga kabisa huu.