Wanawake wanaovaa shanga kiunoni nawaona sawa na wavaa hirizi

Wanawake wanaovaa shanga kiunoni nawaona sawa na wavaa hirizi

Shanga kwa mwanamke ni lazima sio ombi!
Dj waleteeee 🤸‍♂️🤸‍♂️
IMG_8915.jpeg
 
Zinaongeza ladha ya mapenzi. Naona kama hujui kuzichezea shanga viunoni mwao. Sawa, asilimia kubwa ni wa dini ile hasa wa uswahilini, hata wa dini ile nyingine wapo pia wanaovaa hujakutana nao uone. Ila shanga viononi mwao lengo kubwa ni kunogesha mapenzi
 
Binafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.

Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio inalkuwa ya mwisho kati ya mimi na yeye.

Na wanaovaa haya mashangaa asilimia kubwa ni wa dini fulani na zaidi ni wale wa uswahilini ingawa wako wengine wanaishi uzunguni na maushangaa ya viuononi.

Ujinga kabisa huu.
Tamaduni zingine zinaruhusu hilo, no problem
 
Binafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.

Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio inalkuwa ya mwisho kati ya mimi na yeye.

Na wanaovaa haya mashangaa asilimia kubwa ni wa dini fulani na zaidi ni wale wa uswahilini ingawa wako wengine wanaishi uzunguni na maushangaa ya viuononi.

Ujinga kabisa huu.
Unataka mwanamke mwenye kiuno tupu Kama mwanaume!!.. biashara ya shanga ilimea Sana Karne ya 19,pakiwa na biashara ya masafa marefu,utakua mjita tu,mshamba na madem zenu weusi Kama vyungu,sisi pwani unakuta mtoto mweupe na shanga zake nyeupe na dhahabu kiunoni,tunapewa task ya kuzihesabu kwa dhakari
 
Back
Top Bottom