Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Dj waleteeee 🤸♂️🤸♂️Shanga kwa mwanamke ni lazima sio ombi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dj waleteeee 🤸♂️🤸♂️Shanga kwa mwanamke ni lazima sio ombi!
Binafsi hapa hata saidi kichwa hatosimama huu ni uchafu sasa.Huyu kafunga electric fence kiunoniView attachment 2709896
Kikukuu hiriziHicho kikuku ndio kinamtuliza sasa kama ulikua haujui
Huyu ana mshono wa uzazi so anazugia na zigo la shanga...tembea uone mkuu.Huyu kafunga electric fence kiunoniView attachment 2709896
Tamaduni zingine zinaruhusu hilo, no problemBinafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.
Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio inalkuwa ya mwisho kati ya mimi na yeye.
Na wanaovaa haya mashangaa asilimia kubwa ni wa dini fulani na zaidi ni wale wa uswahilini ingawa wako wengine wanaishi uzunguni na maushangaa ya viuononi.
Ujinga kabisa huu.
Unataka mwanamke mwenye kiuno tupu Kama mwanaume!!.. biashara ya shanga ilimea Sana Karne ya 19,pakiwa na biashara ya masafa marefu,utakua mjita tu,mshamba na madem zenu weusi Kama vyungu,sisi pwani unakuta mtoto mweupe na shanga zake nyeupe na dhahabu kiunoni,tunapewa task ya kuzihesabu kwa dhakariBinafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.
Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio inalkuwa ya mwisho kati ya mimi na yeye.
Na wanaovaa haya mashangaa asilimia kubwa ni wa dini fulani na zaidi ni wale wa uswahilini ingawa wako wengine wanaishi uzunguni na maushangaa ya viuononi.
Ujinga kabisa huu.
Umelionaje utamu wake?Nimetoka kupasua limoja lilikua na shanga
Hizo ni shanga zilizoboreshwa so hamna utofautiNa sisi tunaovaa cheni je?