Wanawake wanaovaa shanga kiunoni nawaona sawa na wavaa hirizi

Wewe ndo hujanielewa!! Nimemaanisha kamba mguuni ni mshamba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi kikuku mpk kibata vyote namvalia Kantri [emoji2222][emoji2222][emoji2222]

Mpka kinyau yan vyote vyote [emoji81][emoji81][emoji81]
 

Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi watu wa pwani huo ndio utamaduni wetu nakumbuka nilipokuja dar nikapata binti mmoja wa kimeru alikuwa na shanga nne kiunoni hakika nilienjoy mno full kuunganisha juu kwa juu
 
Zamani zilikuwa urembo mzuri tuu siku hizi wanawake wanaziusisha Sana na ushirikina kuwapata wanaume binasfi na rafiki yangu zake alitengeneza halafu mganga akamuwekea vidawa basi anawapata mabwana wenye pesa tuu.
 
Zamani zilikuwa urembo mzuri tuu siku hizi wanawake wanaziusisha Sana na ushirikina kuwapata wanaume binasfi na rafiki yangu zake alitengeneza halafu mganga akamuwekea vidawa basi anawapata mabwana wenye pesa tuu.



[emoji2297][emoji2297]

Mwanaume asomaye hapa na apate kuwa aware.

Unashangaa mwanamke hata hamuendani chemistry zero lakini uwezo wa kumuacha huna [emoji108][emoji108]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…