Wanawake wanapenda kuabudiwa

Wanawake wanapenda kuabudiwa

Kwa malalamiko haya, minaona huu ni uzi wa mvulana ambae hajajifaham akimlalamikia msichana ambae hajajifaham.
Mwanamke anae jifaham kamwe hawezi akawa juu na hawezi akanyenyua sauti yake mbele ya mume wake.
Mwanamke anaejifaham siku zote atakua mtii na mume wake atampenda kwa dhati.
Umetisha classmate
 
Hata uwafanyie nini hawaridhiki, ishi nao kwa kuangalia unafaidika nini kwake si kwa lingine.

na chochote unachomfanyia mfanyie sababu umetaka sio yeye kataka "ili umridhishe" maana hata ukimpa bado hatoridhika

Hivyo hakikisha unamtimizia anayotaka kama utajiskia kumfanyia hivyo tu, si vinginevyo.

Usihesabu uwepo wake kama una mtu maishani mwako, wakati wote simama kama upo peke ako,usithubutu kumuonyesha yeye ndie nguzo/kimbilio lako nyakat za matatzo/mapito/furaha.

Muweke katika nafasi asiyoijua Ndani ya maisha yako , umuhimu wake,msaada wake,faida yake maishan mwako hakikisha ni "SIRI YAKO" usije mwambia hata siku 1.

Yawezekana una mwanamke hana sifa mbaya,ana kuheshimu,anakupenda,nk sifa zote nzuri ni zake (usije thubutu mwambia akajua unamchukuliaje) wakati wote mwache aone kama unamsoma na uko nae mguu nnje mguu ndani ila wewe ndie unaejua thamani yake kwako.

Mwanamke ni Mwanamke ishi nae kwa akili nyingi si Mtu hakikisha unatengeneza watu sahihi wakuambatana nao maishani mwako MKE/MWANAMKE wako awe no. 2 or else "usiseme hukuambiwa"
 
Wanawake walio wengi wanapenda kuabudiwa , na kama wewe ni mwanaume ambae umeshaamua kuto abudu mwanamke yoyote, jua wewe ni mwanaume makini sana.

Wanawake wengi wanahisi kwakua ni wanawake basi kila mwanaume inabidi amjali kama kiumbe cha kipekee , kumnyenyekea na kama huyo binti amejaliwa urembo kidogo hali ndio inakua mbaya Zaidi.

Hio ndio mindset iliopo kichwani hasa hasa kwa hawa watoto wa buku mbili (2000) wakifuatiwa na hawa mashangazi ya 95 to 80.

Wanawake walio wengi humu hasa hawa akina Jadda mindset zao ni kwamba mwanaume inabidi ateseke na kuhangaika sana ili kumfurahisha mwanamke .

wtf! kwamba mwanaume inatakiwa apigike kisawasawa ili wao waishi maisha bora ya anasa.

Na matumaini yao makubwa ni kuona wanaume wana waabudu wao, nahata kuwa nyenyekea pale inapo bidi. Jambo la kusikitisha ni kwamba hata ikitokea mwanaume akawa mwema kwa kiasi hicho wanacho taka bado wata muona fala na malipo yake ni dharau, cheating na kejeli za hapa na pale.

Na hapo ndio unakuja ukweli kwamba usiwe mwema kwa mwanamke kiasi hicho mana unamfanya kujuona kua yeye ni mungu mtu ambapo mwisho wake utakua wewe mtumwa na atakutumikisha kisawasawa.

Hakuna mwanaume anaeteseka kwenye mikono ya mwanamke kama mwanaume ambae ameamua kumuabudu mwanamke , kumtimizia kwa kila atakacho hitaji.

NEVER EVER BE A NICE GUY TO A WOMAN, IT ALWAYS DOESN’T END WELL FOR YOU.
BE WISE.

EARTH IS HARD
Bandiko zuri sana na ni eye opening kwa wanaume wenye akili timamu na kujua vyema aina ya jamii tuliyonayo Sasa.

Nasikitika tu ni kwamba wataoongoza kukupinga hii mada yako humu ni wanaume kumbuka hii forum Ina maSimps and whitekinghts Kibao na huwa wanachukizwa sana na mada kama hizi kuliko hata wanawake yaani utafikiri na wenyewe huwa wanaingia period.

Umeongea jambo la kweli kabisa, jamii yetu hii ya kiafrika tayari imeshamezwa na gynocentric culture ambayo Inampa mwanamke thamani kubwa kuliko uhalisia, na kumtaka mwanaume aishi kwa kumfurahisha mwanamke huyo.... Sasa matokeo yake imewafanya wanawake hasa wa kisasa kuona ni haki yao ya msingi kuabudiwa na wanaume licha ya kwamba hawana chochote Cha maana Cha ku offer zaidi ya huo uzuri wao.
 
Hivi kwanza kati ya mwanamke na mwanaume ni nani ambaye anateseka na anaumia kumuabudu na kumfurahisha mwenzie, ni nani ambaye toka enzi na enzi jamii imemlazimisha kukubali kutawaliwa na kuwa chini ya mwenzake kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu, yani ninyi mambo yote mnayotaka mfanyiwe na wanawake hamuoni kama ni mateso na maumivu kwao ila mambo wanayoyataka wanawake ndio mnaona kama wanataka mwaabudu
 
Wanawake walio wengi wanapenda kuabudiwa , na kama wewe ni mwanaume ambae umeshaamua kuto abudu mwanamke yoyote, jua wewe ni mwanaume makini sana.

Wanawake wengi wanahisi kwakua ni wanawake basi kila mwanaume inabidi amjali kama kiumbe cha kipekee , kumnyenyekea na kama huyo binti amejaliwa urembo kidogo hali ndio inakua mbaya Zaidi.

Hio ndio mindset iliopo kichwani hasa hasa kwa hawa watoto wa buku mbili (2000) wakifuatiwa na hawa mashangazi ya 95 to 80.

Wanawake walio wengi humu hasa hawa akina Jadda mindset zao ni kwamba mwanaume inabidi ateseke na kuhangaika sana ili kumfurahisha mwanamke .

wtf! kwamba mwanaume inatakiwa apigike kisawasawa ili wao waishi maisha bora ya anasa.

Na matumaini yao makubwa ni kuona wanaume wana waabudu wao, nahata kuwa nyenyekea pale inapo bidi. Jambo la kusikitisha ni kwamba hata ikitokea mwanaume akawa mwema kwa kiasi hicho wanacho taka bado wata muona fala na malipo yake ni dharau, cheating na kejeli za hapa na pale.

Na hapo ndio unakuja ukweli kwamba usiwe mwema kwa mwanamke kiasi hicho mana unamfanya kujuona kua yeye ni mungu mtu ambapo mwisho wake utakua wewe mtumwa na atakutumikisha kisawasawa.

Hakuna mwanaume anaeteseka kwenye mikono ya mwanamke kama mwanaume ambae ameamua kumuabudu mwanamke , kumtimizia kwa kila atakacho hitaji.

NEVER EVER BE A NICE GUY TO A WOMAN, IT ALWAYS DOESN’T END WELL FOR YOU.
BE WISE.

EARTH IS HARD
Hii ni kwa wanaume ambao hawapendwi lakini tukipenda sisi tunanyenyekea na kuvumilia Mengi.
 
Kuna wanaume hawasikiagi, unakuta hapendwi na anajua hilo lakini bado yumo tu sasa kwa nini asiwe mtumwa.

Mwingine yuko radhi awe mtumwa ila tu watu wamsifie yuko na demu mkali 😅😅😅😅
Swali kwa nini wewe ukubali kuolewa na mwanaume usiye mpenda ? Kwani anapokua king'ang'anizi anakuteka bila wewe kujijua?
 
Back
Top Bottom