Wanawake wanapenda kuabudiwa

Wanawake wanapenda kuabudiwa

Kama kweli uko na msimamo huo na unaishi nao basi nakupa salute,ila kama unatutia tu ujasiri sisi halafu wewe ni muabudu wanawake basi nauamuru moto wa jehanamu ukufuate huko uliko na ukulambe
Huyu kashapigw ana kitu kizito ndio kajifunza sasa.
 
Ilikuwa ni Kuwazubaisha Wanaume wajinga(simps) waliotufikisha Hapa. Eti Mwanamke Ni kiumbe cha kukionea Huruma Na Tumuwezeshe. Baada ya kuwezeshwa now wanatutukana kuwa Wanaume Hawana Kitu kwanza Hawana Ufanisi kama Mwanamke Mara Eti Adui wa Mwanamke ni Mwanaume Wakati Waliomba Wawezeshwe na hao hao wanaume.

WANAUME WAPUMBAVU (SIMPS) NDIO WAMETUFIKISHA HAPA.
Ndio maana Mimi huwa nawachukia sana Simps kuliko hata hao feminists wenyewe
 
Ndio maana Mimi huwa nawachukia sana Simps kuliko hata hao feminists wenyewe
Umesema kweli. Feminists wanadhani Wamefika hapo kwa Uwezo wao wenyewe.

Ila sisi tunajua Wamefika hatua Hii kwa Sababu ya WANAUME WACHACHE WAPUMBAVU (SIMPS).

NA SIKU HAO SIMPS AKILI ZIKIWAINGIA BASI NDIO MWISHO WA FEMINISM NA NDIO MWANZO WA KURUDISHA TENA USTAWI WA FAMILIA,, MAELEWANO,, HESHIMA NA MISINGI YA MAADILI.
 
Umesema kweli. Feminists wanadhani Wamefika hapo kwa Uwezo wao wenyewe.

Ila sisi tunajua Wamefika hatua Hii kwa Sababu ya WANAUME WACHACHE WAPUMBAVU (SIMPS).

NA SIKU HAO SIMPS AKILI ZIKIWAINGIA BASI NDIO MWISHO WA FEMINISM NA NDIO MWANZO WA KURUDISHA TENA USTAWI WA FAMILIA,, MAELEWANO,, HESHIMA NA MISINGI YA MAADILI.
A simp is the most dangerous human being in the society. Simps are the main reason why the whole modern society is chaotically collapsing.

Today our families are disintegrated because of rebellious and nagging women empowered by simps.

Feminists a.k.a feminazis hawawezi kutoboa Wala kufanya kitu chochote bila uwepo wa simps..... Na ndio maana mataifa ambayo hayana Simping culture kama vile China,Russia,Korea n.k hauskiii kabisa upumbavuu wa feminism.

Simp anaamini kumpa nguvu mwanamke ndio kutengeneza jamii Bora, na chochote anachokifanya mwanamke kwake ni sahihi na ndio maana huwa wako mstari wa mbele kutetea na kujustify upuuzi wowote wa mwanamke.
 
NA SIKU HAO SIMPS AKILI ZIKIWAINGIA BASI NDIO MWISHO WA FEMINISM NA NDIO MWANZO WA KURUDISHA TENA USTAWI WA FAMILIA,, MAELEWANO,, HESHIMA NA MISINGI YA MAADILI.
Australia ni Moja ya nchi ambayo imetafunwa sana na feminism.... Kule wanaume ni kama binadamu wa daraja la pili,

Naskia Sasa hivi wameshaanza kuandamana kupinga baadhi ya Sheria ambazo zimekaa kionevu. Na wanaume wengi wamesema hawatawapigia kura viongozi wanawake maana hakuna wanachokifanya zaidi ya kuunda sheria za ajabu ajabu zinazoigawa jamii.

Kwa hiyo nakuona kabisa hili likitokea siku za usoni.
 
Hivi kwanza kati ya mwanamke na mwanaume ni nani ambaye anateseka na anaumia kumuabudu na kumfurahisha mwenzie, ni nani ambaye toka enzi na enzi jamii imemlazimisha kukubali kutawaliwa na kuwa chini ya mwenzake kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu, yani ninyi mambo yote mnayotaka mfanyiwe na wanawake hamuoni kama ni mateso na maumivu kwao ila mambo wanayoyataka wanawake ndio mnaona kama wanataka mwaabudu
Na ni nani ambae anatakiwa kumhudumia, kumtunza mwenzake, usalama wa familia upo mikonon mwa nani, Kichwa cha familia ni nani,? shida yenu mkiambiwa muheshimu waume zenu mnasema hamuwezi kuabudu Mwanaume, wasimbe wamewaharibu.
 
Na kwanini tumzungumzie mungu wa wakristo tu
Taja wewe ni Mungu wa dini ipi aliyesema mwanamke awe juu, kiongozi juu ya Mwanaume usitake kubananisha mada kama unajua hiyo dini iliyompa mwanamke mamlaka ya kumuongoza Mwanaume itaje hapa📌
 
Na ni nani ambae anatakiwa kumhudumia, kumtunza mwenzake, usalama wa familia upo mikonon mwa nani, Kichwa cha familia ni nani,? shida yenu mkiambiwa muheshimu waume zenu mnasema hamuwezi kuabudu Mwanaume, wasimbe wamewaharibu.
Wewe umemuelewa kweli mtoa mada, suala la kumtunza na kumhudumia mwanamke si ndio mnaona kama wanawake wanataka muwaabudu, kama hamtaki kuwahudumia na kuwatunza wanawake basi nanyi msiwalazimishe wawatii na kuwaheshimu simple as that
Taja wewe ni Mungu wa dini ipi aliyesema mwanamke awe juu, kiongozi juu ya Mwanaume usitake kubananisha mada kama unajua hiyo dini iliyompa mwanamke mamlaka ya kumuongoza Mwanaume itaje hapa📌
Na wewe taja ni dini ipi inayosema kwamba, mwanaume kumhudumia na kumtunza mwanamke ni kumuabudu, au si ajabu huelewi hata unachojadili hapa
 
Wewe umemuelewa kweli mtoa mada, suala la kumtunza na kumhudumia mwanamke si ndio mnaona kama wanawake wanataka muwaabudu, kama hamtaki kuwahudumia na kuwatunza wanawake basi nanyi msiwalazimishe wawatii na kuwaheshimu simple as that

Na wewe taja ni dini ipi inayosema kwamba, mwanaume kumhudumia na kumtunza mwanamke ni kumuabudu, au si ajabu huelewi hata unachojadili hapa
Hakuna dini inayosema mwanamke amuabudu mwanaume ila kila dini inamtaka mwananmke amuheshimu mwanaume na mwanaume ampende mwanamke, nyie mmeshindwa kuheshimu mwanaume kwa kisingizio cha kwamba kumheshimu mwanaume ni kumuabudu UFEMINIST umewatawala, mmeshindwa kutofautisha kati ya heshima na kuabudu, mmeingilia nafasi ya Mwanaume kwenye jamii now mnataka haki sawa ila hamtaki majukumu sawa, MUNGU mwenyewe alishamuweka Mwanaume juu ya mwanamke amuongoze amtawale na amlinde na jukumu la mwanamke ni kumsikiliza,kumtii, kumheshimu mwanaume that's NATURE ukikataa ni umeenda kinyume na Mungu na dini yako, TOFAUTISHA HESHIMA na Kuabudu wanawake wa sasa hamna heshima kwa Waume zenu kwa kisingizio kwamba mnaabudu wanaume UFEMINIST umewaharibu Agree to disagree 📌
 
Hakuna dini inayosema mwanamke amuabudu mwanaume ila kila dini inamtaka mwananmke amuheshimu mwanaume na mwanaume ampende mwanamke, nyie mmeshindwa kuheshimu mwanaume kwa kisingizio cha kwamba kumheshimu mwanaume ni kumuabudu UFEMINIST umewatawala, mmeshindwa kutofautisha kati ya heshima na kuabudu, mmeingilia nafasi ya Mwanaume kwenye jamii now mnataka haki sawa ila hamtaki majukumu sawa, MUNGU mwenyewe alishamuweka Mwanaume juu ya mwanamke amuongoze amtawale na amlinde na jukumu la mwanamke ni kumsikiliza,kumtii, kumheshimu mwanaume that's NATURE ukikataa ni umeenda kinyume na Mungu na dini yako, TOFAUTISHA HESHIMA na Kuabudu wanawake wa sasa hamna heshima kwa Waume zenu kwa kisingizio kwamba mnaabudu wanaume UFEMINIST umewaharibu Agree to disagree 📌
Mkuu hebu tafuta mtu wa kummalizia hizi hasira zako maana naona unabwabwaja tu hata ambayo mimi sijayaandika, mimi nimesema hivi ninyi wanaume siku hizi hamtaki kutimiza majukumu yenu mnasingizia kwamba kuwahudumia wanawake ni kuwaabudu, halafu hapo hapo bado mnataka hao wanawake wawatii ilihali hamna jukumu lolote kwao yani kwa kifupi mnataka mamlaka bila wajibu kitu ambacho wanawake hawako tayari
 
Mkuu hebu tafuta mtu wa kummalizia hizi hasira zako maana naona unabwabwaja tu hata ambayo mimi sijayaandika, mimi nimesema hivi ninyi wanaume siku hizi hamtaki kutimiza majukumu yenu mnasingizia kwamba kuwahudumia wanawake ni kuwaabudu, halafu hapo hapo bado mnataka hao wanawake wawatii ilihali hamna jukumu lolote kwao yani kwa kifupi mnataka mamlaka bila wajibu kitu ambacho wanawake hawako tayari
Hiweza
Mkuu hebu tafuta mtu wa kummalizia hizi hasira zako maana naona unabwabwaja tu hata ambayo mimi sijayaandika, mimi nimesema hivi ninyi wanaume siku hizi hamtaki kutimiza majukumu yenu mnasingizia kwamba kuwahudumia wanawake ni kuwaabudu, halafu hapo hapo bado mnataka hao wanawake wawatii ilihali hamna jukumu lolote kwao yani kwa kifupi mnataka mamlaka bila wajibu kitu ambacho wanawake hawako tayari
Huwezagi kujadili jambo bila kumdisrespect mtu hiyo ndo silaha yako kubwa Tumia akili acha kuropoka kama Mbwa, kuna sign yoyote ya hasira katika hoja zangu au wewe ndo mwenye Bipolar unahisi kila mtu akitetea hoja yake ni ana hasira na wewe.

Nitajie mwanaume mmoja tu aliyewahi kusema kua kumhudumia mwanamke ni kumuabudu, me nitakuletea mifano ya wanawake 10,
Wanawake wangapi tunaona wanajazana ujinga (UKIWEMO WEWE) kwamba kumtii mwanaume ni kumnyenyekea, embu nipe viashiria vitatu vinavyoonesha kwamba kumtii mwanaume wako ni kumnyenyekea, kumuabudu..
Then why unakimbilia kusema kuwa Wanaume hawahudumii wanataka kunyenyekewa Why husemi pia kua kuna wanaume wanawapa wanawake zao kila kitu and still hakuna heshima ndani ya nyumba, mke kisirani, anapewa hela nyingi na Mumewe still anacheat na watu wasiokua na chochote cha maana cha kumpa, why husemi kwamba Wanawake wa siku hizi wanaongoza kwa kubambikia wanaume watoto wasiokua wa kwao,? Why husemi kwamba sheria nyingi za ndoa zinambana mwanaume na kumpa upendeleo mwanamke, Why husemi kua sababu za wanawake wengi kutohudumiwa ni tabia zao mbaya, visirani then unexpect mtu atoe hela yake mahali ambapo haeshimiki,? (NEVER)

Kwa nini mabaya yenu huyasemi umekaa kukomalia kwamba wanaume hawahudumii wanaume hawahudumii, unajua takwimu kiasi gani zinaonesha kua wanaume wengi hawana furaha kwenye ndoa zao mbaya zaidi jamii haimpi nafasi ya kusema kwa kua tu ataonekana sio mwanaume, mnajua madhira wanayopitia wanaume mpaka wanakufa mapema kulko wewe, Mkipewa majukumu ya wanaume hamuwezi kuyafanya hata robo yake na huo ndo uhalisia then suala la kuhudumiwa sio guarantee Tofauti na mzazi wako hakuna aliyekuja kumtunza mtu Duniani hapa lazima mtunzane The world change fanya kazi weka kitu mumeo aweke kitu then ndo ulalamike kua hauhudumiwi kama unataka uhudumiwe ukiwa umekaa ndani tu lazima utaona unanyanyasika📌
 
Hiweza

Huwezagi kujadili jambo bila kumdisrespect mtu hiyo ndo silaha yako kubwa Tumia akili acha kuropoka kama Mbwa, kuna sign yoyote ya hasira katika hoja zangu au wewe ndo mwenye Bipolar unahisi kila mtu akitetea hoja yake ni ana hasira na wewe.

Nitajie mwanaume mmoja tu aliyewahi kusema kua kumhudumia mwanamke ni kumuabudu, me nitakuletea mifano ya wanawake 10,
Wanawake wangapi tunaona wanajazana ujinga (UKIWEMO WEWE) kwamba kumtii mwanaume ni kumnyenyekea, embu nipe viashiria vitatu vinavyoonesha kwamba kumtii mwanaume wako ni kumnyenyekea, kumuabudu..
Then why unakimbilia kusema kuwa Wanaume hawahudumii wanataka kunyenyekewa Why husemi pia kua kuna wanaume wanawapa wanawake zao kila kitu and still hakuna heshima ndani ya nyumba, mke kisirani, anapewa hela nyingi na Mumewe still anacheat na watu wasiokua na chochote cha maana cha kumpa, why husemi kwamba Wanawake wa siku hizi wanaongoza kwa kubambikia wanaume watoto wasiokua wa kwao,? Why husemi kwamba sheria nyingi za ndoa zinambana mwanaume na kumpa upendeleo mwanamke, Why husemi kua sababu za wanawake wengi kutohudumiwa ni tabia zao mbaya, visirani then unexpect mtu atoe hela yake mahali ambapo haeshimiki,? (NEVER)

Kwa nini mabaya yenu huyasemi umekaa kukomalia kwamba wanaume hawahudumii wanaume hawahudumii, unajua takwimu kiasi gani zinaonesha kua wanaume wengi hawana furaha kwenye ndoa zao mbaya zaidi jamii haimpi nafasi ya kusema kwa kua tu ataonekana sio mwanaume, mnajua madhira wanayopitia wanaume mpaka wanakufa mapema kulko wewe, Mkipewa majukumu ya wanaume hamuwezi kuyafanya hata robo yake na huo ndo uhalisia then suala la kuhudumiwa sio guarantee Tofauti na mzazi wako hakuna aliyekuja kumtunza mtu Duniani hapa lazima mtunzane The world change fanya kazi weka kitu mumeo aweke kitu then ndo ulalamike kua hauhudumiwi kama unataka uhudumiwe ukiwa umekaa ndani tu lazima utaona unanyanyasika📌
Kwanza kabisa hebu nioneshe ni posts zipi hizo ambazo huwa nawadisrespect watu mbona kama umechanganyikiwa wewe, kati ya mimi na ninyi wavulana wa humu jf ni kina nani ambao wanaongoza kwa kuwadisrespect wengine badala ya kujenga hoja, nakushauri kabla hujabwabwaja tena jaribu kupitia baadhi ya posts zangu ninazojadiliana na wanaume kuhusu hizi mada ndio utajua jinsi gani wewe na wenzio wengi humu hamjui kujenga hoja

Kuhusu wanaume wanaolalamikia suala la kuhudumia wanawake sina haja ya kukuonesha bali pitia mwenyewe posts nyingi za humu zinazohusu wanawake, halafu kwani hata hii mada hujaielewa au mbona kama unajitoa ufahamu kwani mtoa mada aliposema wanawake wanataka muwaabudu unadhani alimaanisha nini, na mfano mwingine ni wewe mwenyewe kwenye hii comment yako unasema hakuna aliyekuja kumtunza mwingine lazima mtunzane kwakuwa dunia imebadilika siyo

Hadi hapo kwa kauli yako hiyo umeshathibitisha hoja yangu kwamba wanaume mnalalamika kuhudumia wanawake sasa sijui hata ulikuwa unabisha nini, unaposema tunatakiwa kutunzana mbona pia husemi tunatakiwa kuheshimiana unataka mwanamke ndio amheshimu mwanaume hivi ninyi mnajua hata kwanini mlipewa hiyo mamlaka kweli, halafu kuhusu majukumu hebu kwa akili ya kawaida tu ukiangalia kwenye jamii nyingi ni wanaume wangapi wanafanya kazi za nyumbani na kulea watoto na ni wanawake wangapi wanatafuta pesa hebu linganisha
 
Kwanza kabisa hebu nioneshe ni posts zipi hizo ambazo huwa nawadisrespect watu mbona kama umechanganyikiwa wewe, kati ya mimi na ninyi wavulana wa humu jf ni kina nani ambao wanaongoza kwa kuwadisrespect wengine badala ya kujenga hoja, nakushauri kabla hujabwabwaja tena jaribu kupitia baadhi ya posts zangu ninazojadiliana na wanaume kuhusu hizi mada ndio utajua jinsi gani wewe na wenzio wengi humu hamjui kujenga hoja

Kuhusu wanaume wanaolalamikia suala la kuhudumia wanawake sina haja ya kukuonesha bali pitia mwenyewe posts nyingi za humu zinazohusu wanawake, halafu kwani hata hii mada hujaielewa au mbona kama unajitoa ufahamu kwani mtoa mada aliposema wanawake wanataka muwaabudu unadhani alimaanisha nini, na mfano mwingine ni wewe mwenyewe kwenye hii comment yako unasema hakuna aliyekuja kumtunza mwingine lazima mtunzane kwakuwa dunia imebadilika siyo

Hadi hapo kwa kauli yako hiyo umeshathibitisha hoja yangu kwamba wanaume mnalalamika kuhudumia wanawake sasa sijui hata ulikuwa unabisha nini, unaposema tunatakiwa kutunzana mbona pia husemi tunatakiwa kuheshimiana unataka mwanamke ndio amheshimu mwanaume hivi ninyi mnajua hata kwanini mlipewa hiyo mamlaka kweli, halafu kuhusu majukumu hebu kwa akili ya kawaida tu ukiangalia kwenye jamii nyingi ni wanaume wangapi wanafanya kazi za nyumbani na kulea watoto na ni wanawake wangapi wanatafuta pesa hebu linganisha
Kwamba
Kwanza kabisa hebu nioneshe ni posts zipi hizo ambazo huwa nawadisrespect watu mbona kama umechanganyikiwa wewe, kati ya mimi na ninyi wavulana wa humu jf ni kina nani ambao wanaongoza kwa kuwadisrespect wengine badala ya kujenga hoja, nakushauri kabla hujabwabwaja tena jaribu kupitia baadhi ya posts zangu ninazojadiliana na wanaume kuhusu hizi mada ndio utajua jinsi gani wewe na wenzio wengi humu hamjui kujenga hoja

Kuhusu wanaume wanaolalamikia suala la kuhudumia wanawake sina haja ya kukuonesha bali pitia mwenyewe posts nyingi za humu zinazohusu wanawake, halafu kwani hata hii mada hujaielewa au mbona kama unajitoa ufahamu kwani mtoa mada aliposema wanawake wanataka muwaabudu unadhani alimaanisha nini, na mfano mwingine ni wewe mwenyewe kwenye hii comment yako unasema hakuna aliyekuja kumtunza mwingine lazima mtunzane kwakuwa dunia imebadilika siyo

Hadi hapo kwa kauli yako hiyo umeshathibitisha hoja yangu kwamba wanaume mnalalamika kuhudumia wanawake sasa sijui hata ulikuwa unabisha nini, unaposema tunatakiwa kutunzana mbona pia husemi tunatakiwa kuheshimiana unataka mwanamke ndio amheshimu mwanaume hivi ninyi mnajua hata kwanini mlipewa hiyo mamlaka kweli, halafu kuhusu majukumu hebu kwa akili ya kawaida tu ukiangalia kwenye jamii nyingi ni wanaume wangapi wanafanya kazi za nyumbani na kulea watoto na ni wanawake wangapi wanatafuta pesa hebu linganisha
Kumwambia mtu usiyemjua anabwabwaja kisa mmebishana kwa hoja tayari ni sign of disrespect kama sio Baba ako au mama ako huwezi kumwambia kauli kama hiyo kwasababu unajua fika ni kumkosea heshima kumwambia mtu amechanganyikiwa hiyo ni disrespect ya pili sina haja ya kutoa evidence za mbali ni kawaida yako, wanaume wengi wanaotoa hoja zao humu unawadisrespect kwa Kuwaita wavulana since ushajua kua ukimvunjia heshima hatataka tena kujibizana na wewe, then humu hakuna Mvulana sema ni wewe ndo ushakuwa MBIBI so lazima uone kila mwanaume hajakukidhi coz umezeeka (30+ above) si mara ya kwanza watu kukuterm kuwa unapenda mabishano na kauli zako huwa unakimbilia kumshushia mtu heshima, Unaweza kumjibu mtu bila kumwambia kua amechanganyikiwa or anabwabwaja na kauli zako zingine nyingi tu since sio lazima kila mtu awe na mawazo kama yako na challenges zinaruhusiwa📌 Speaking of your points comment zako nyingi zinaonesha kuwa ni mtu mwenye Bipolar, hasira, trauma na mihemko Kwakifupi ni UNA TATIZO LA AKILI📌

Kwakuhitimisha Mwanaume yeyote anahudumia pale anapoheshimiwa na kusikilizwa, Case nyingi za wanawake wanaolalamika hawahudumiwi ukiuliza upande wa mwanaume atakuambia vitu vingi worst things ambavyo mwanamke alikuficha kwa kujilinda, sehemu nilipo na kazi ninayoifanya nimeshuhudia cases nyingi za wanaume kubambikiwa watoto, kulea watoto wasio wao wanawake kuhitaji matumizi makubwa 1M+ za matunzo ya mtoto, nimeona case nyingi za Wana ambao wanahudumia wanawake zao and still wanawake haohao wanasema hawahudumiwi, nimeona case nyingi za wanawake kucheat eventhough wanapewa kila kitu na waume zao UNAJUA NI KWANINI ni kwa sababu upande wa wanaume hausikilizwi The world is selfish for the Men ikiwa mnalalamika kwamba hamudumiwi pia semeni kua ni kwanini Wanaume sikuhizi wanalalamika kuhudumia, semeni pia madhaifu yenu, Semeni pia mnavyosingizia mimba mnavyowambakia wanaume watoto, semeni pia kwamba kuna wengi wenu mnapewa kila kitu and still hamridhiki,
Hakuna mtu anaetaka atoe hela yake then asisikilizwe
Kingine mmetaka 50/ 50, mmepewa fursa sawa na wanaume Elimu, kazi ajira uongozi na kila kitu so msilalamike kwamba hamuhudumiwi, Toa hela yako kwanza then ndo ulalamike kwamba mwanaume wako anatoa nini, The world has changed📌
 
Kwamba

Kumwambia mtu usiyemjua anabwabwaja kisa mmebishana kwa hoja tayari ni sign of disrespect kama sio Baba ako au mama ako huwezi kumwambia kauli kama hiyo kwasababu unajua fika ni kumkosea heshima kumwambia mtu amechanganyikiwa hiyo ni disrespect ya pili sina haja ya kutoa evidence za mbali ni kawaida yako, wanaume wengi wanaotoa hoja zao humu unawadisrespect kwa Kuwaita wavulana since ushajua kua ukimvunjia heshima hatataka tena kujibizana na wewe, then humu hakuna Mvulana sema ni wewe ndo ushakuwa MBIBI so lazima uone kila mwanaume hajakukidhi coz umezeeka (30+ above) si mara ya kwanza watu kukuterm kuwa unapenda mabishano na kauli zako huwa unakimbilia kumshushia mtu heshima, Unaweza kumjibu mtu bila kumwambia kua amechanganyikiwa or anabwabwaja na kauli zako zingine nyingi tu since sio lazima kila mtu awe na mawazo kama yako na challenges zinaruhusiwa📌 Speaking of your points comment zako nyingi zinaonesha kuwa ni mtu mwenye Bipolar, hasira, trauma na mihemko Kwakifupi ni UNA TATIZO LA AKILI📌

Kwakuhitimisha Mwanaume yeyote anahudumia pale anapoheshimiwa na kusikilizwa, Case nyingi za wanawake wanaolalamika hawahudumiwi ukiuliza upande wa mwanaume atakuambia vitu vingi worst things ambavyo mwanamke alikuficha kwa kujilinda, sehemu nilipo na kazi ninayoifanya nimeshuhudia cases nyingi za wanaume kubambikiwa watoto, kulea watoto wasio wao wanawake kuhitaji matumizi makubwa 1M+ za matunzo ya mtoto, nimeona case nyingi za Wana ambao wanahudumia wanawake zao and still wanawake haohao wanasema hawahudumiwi, nimeona case nyingi za wanawake kucheat eventhough wanapewa kila kitu na waume zao UNAJUA NI KWANINI ni kwa sababu upande wa wanaume hausikilizwi The world is selfish for the Men ikiwa mnalalamika kwamba hamudumiwi pia semeni kua ni kwanini Wanaume sikuhizi wanalalamika kuhudumia, semeni pia madhaifu yenu, Semeni pia mnavyosingizia mimba mnavyowambakia wanaume watoto, semeni pia kwamba kuna wengi wenu mnapewa kila kitu and still hamridhiki,
Hakuna mtu anaetaka atoe hela yake then asisikilizwe
Kingine mmetaka 50/ 50, mmepewa fursa sawa na wanaume Elimu, kazi ajira uongozi na kila kitu so msilalamike kwamba hamuhudumiwi, Toa hela yako kwanza then ndo ulalamike kwamba mwanaume wako anatoa nini, The world has changed📌
Si unaona sasa hivi kati ya mimi na wewe hapa ni nani ameleta personal attacks au hujui hata maana ya personal attacks, yani mimi kukuambia unabwabwaja na utafute mtu wa kummalizia hasira zako ndio unasema nimekudisrespect wakati ni kweli ulichoandika ni tofauti na nilichoandika, yani ni kana kwamba ulikuwa na kinyongo na dukuduku lako moyoni kuhusu wanawake sasa ulipoona tu comment yangu inatetea wanawake ukaamua unishushie mimi hadi ukatoka nje ya hoja yangu na kuanza kunilisha maneno yako

Ukweli ni kwamba umepanic ona sasa hadi unaandika usiyoyajua kuhusu mimi na ndio umezidi kuthibitisha kwamba na wewe huna tofauti na wale wanaume niliotoka kukuambia kwamba hawawezi kujadili mada kama hizi bila kuleta ad hominem attacks, hiyo ni defensive mechanism wanayotumia wakishaona wamebanwa kwa hoja na maneno wanayotumia kudhoofisha hoja za wapinzani wao ni kama hayo uliyotumia wewe, utasikia wewe ni feminist mara single mother mara malaya mara bado unakaa kwa wazazi hujui maisha ni nini na kauli nyingine kama hizo yani wanatapatapa hadi huruma masikini

Sasa kama hapo hujaelewa hoja yangu kuhusu neno "wavulana" umekimbilia kuniattack eti mimi mbibi mara sijui kila mwanaume hajanikidhi sasa unaweza ukaonesha uhusiano wa hiyo kauli yako na hoja yangu, yani umekariri kwamba neno mvulana linahusiana na umri tu hujui kwamba hata mwanaume mzima na umri wake mkubwa anaweza kuwa na akili au tabia za kivulana hivyo kuonekana kama mvulana tu na siyo mwanaume, wewe unajuaje kama nimevuka hata 30 mimi humu huwa nabishana na baba zangu kabisa na hawana hoja zozote za maana zaidi ya matusi tu na si ajabu hata wewe hapo ulipo ni mzee kuliko mimi ila una akili na tabia za kivulana kwa kushindwa kujadili hoja na kumshambulia mtoa hoja

Tukirudi kwenye hoja mimi hakuna sehemu nimesema kwamba wanawake hawana maovu ila kwenye hii mada hoja yangu ilikuwa haihusu maovu ya wanawake bali ya wanaume sasa wewe unakuja kutetea wanaume kana kwamba wao hawana hatia kabisa bali ni wahanga tu wa maovu ya wanawake, hayo yote uliyosema kwamba wanaume wanafanyiwa na wanawake sijaona hata la ajabu hapo kulinganisha na yale ambayo hata wanaume huwafanyia wanawake kwani ni wanawake wangapi wanajitoa kwa wanaume lakini bado malipo yao ni kutelekezwa na watoto, ni wanawake wangapi wanahangaika kustruggle na wanaume from scratch halafu wakija kufanikiwa hao wanaume wanawaacha au wanaanza kuhonga michepuko ambayo haijui uchungu wa hizo pesa au unadhani mwanamke kufanya ubaya ndio kunakuwa hakuna sababu nyuma yake

Sasa kama hamtaki kuhudumia wanawake kwa kigezo cha haki sawa na fursa sawa za elimu na ajira kwanini mnaendelea kutaka wanawake wawe chini yenu au hujui nini maana ya haki sawa yani mnataka majukumu sawa ila haki sawa hamtaki, unapomuambia mwanamke ajihudumie mwenyewe kisa ana hela zake ni sawa pia umemuambia ajitawale mwenyewe sababu ana hela zake maana the only reason mlipewa mamlaka juu ya mwanamke ni kutokana na wajibu mliopewa pia juu yao, hakuna mamlaka bila wajibu na huwezi kukitawala usichokihudumia kwahiyo ni either umhudumie mwanamke ili akutii au ajihudumie mwenyewe halafu kusiwe na wa kumtawala mwenzie simple as that
 
Si unaona sasa hivi kati ya mimi na wewe hapa ni nani ameleta personal attacks au hujui hata maana ya personal attacks, yani mimi kukuambia unabwabwaja na utafute mtu wa kummalizia hasira zako ndio unasema nimekudisrespect wakati ni kweli ulichoandika ni tofauti na nilichoandika, yani ni kana kwamba ulikuwa na kinyongo na dukuduku lako moyoni kuhusu wanawake sasa ulipoona tu comment yangu inatetea wanawake ukaamua unishushie mimi hadi ukatoka nje ya hoja yangu na kuanza kunilisha maneno yako

Ukweli ni kwamba umepanic ona sasa hadi unaandika usiyoyajua kuhusu mimi na ndio umezidi kuthibitisha kwamba na wewe huna tofauti na wale wanaume niliotoka kukuambia kwamba hawawezi kujadili mada kama hizi bila kuleta ad hominem attacks, hiyo ni defensive mechanism wanayotumia wakishaona wamebanwa kwa hoja na maneno wanayotumia kudhoofisha hoja za wapinzani wao ni kama hayo uliyotumia wewe, utasikia wewe ni feminist mara single mother mara malaya mara bado unakaa kwa wazazi hujui maisha ni nini na kauli nyingine kama hizo yani wanatapatapa hadi huruma masikini

Sasa kama hapo hujaelewa hoja yangu kuhusu neno "wavulana" umekimbilia kuniattack eti mimi mbibi mara sijui kila mwanaume hajanikidhi sasa unaweza ukaonesha uhusiano wa hiyo kauli yako na hoja yangu, yani umekariri kwamba neno mvulana linahusiana na umri tu hujui kwamba hata mwanaume mzima na umri wake mkubwa anaweza kuwa na akili au tabia za kivulana hivyo kuonekana kama mvulana tu na siyo mwanaume, wewe unajuaje kama nimevuka hata 30 mimi humu huwa nabishana na baba zangu kabisa na hawana hoja zozote za maana zaidi ya matusi tu na si ajabu hata wewe hapo ulipo ni mzee kuliko mimi ila una akili na tabia za kivulana kwa kushindwa kujadili hoja na kumshambulia mtoa hoja

Tukirudi kwenye hoja mimi hakuna sehemu nimesema kwamba wanawake hawana maovu ila kwenye hii mada hoja yangu ilikuwa haihusu maovu ya wanawake bali ya wanaume sasa wewe unakuja kutetea wanaume kana kwamba wao hawana hatia kabisa bali ni wahanga tu wa maovu ya wanawake, hayo yote uliyosema kwamba wanaume wanafanyiwa na wanawake sijaona hata la ajabu hapo kulinganisha na yale ambayo hata wanaume huwafanyia wanawake kwani ni wanawake wangapi wanajitoa kwa wanaume lakini bado malipo yao ni kutelekezwa na watoto, ni wanawake wangapi wanahangaika kustruggle na wanaume from scratch halafu wakija kufanikiwa hao wanaume wanawaacha au wanaanza kuhonga michepuko ambayo haijui uchungu wa hizo pesa au unadhani mwanamke kufanya ubaya ndio kunakuwa hakuna sababu nyuma yake

Sasa kama hamtaki kuhudumia wanawake kwa kigezo cha haki sawa na fursa sawa za elimu na ajira kwanini mnaendelea kutaka wanawake wawe chini yenu au hujui nini maana ya haki sawa yani mnataka majukumu sawa ila haki sawa hamtaki, unapomuambia mwanamke ajihudumie mwenyewe kisa ana hela zake ni sawa pia umemuambia ajitawale mwenyewe sababu ana hela zake maana the only reason mlipewa mamlaka juu ya mwanamke ni kutokana na wajibu mliopewa pia juu yao, hakuna mamlaka bila wajibu na huwezi kukitawala usichokihudumia kwahiyo ni either umhudumie mwanamke ili akutii au ajihudumie mwenyewe halafu kusiwe na wa kumtawala mwenzie simple as that
Nimekujibu ulichostahili na majibu yako ya hapa ni kuendelea kuprove kua ninachokisema kuhusu wewe ni ukweli, katibu hiyo Bipolar na trauma ulizonazo kwa wanaume that's why you're toxic when it comes in Men matters, bweka mitandaoni humu ila kwa ground Mumeo utamuheshimu atakukaza na hela utatafuta and that's the hard truth of women nowdays 🤣🤣 then ukiwa unawakosoa wanaume tegemea na wanaume kukosoa wanawake usitake mada za wanaume ukosoe then wanaume wakuangalie tu WTF are you,, then malalamiko ya wanaume kuwa wanawake hawana heshima sio mengi kuliko malalamiko ya wanawake kua wanaume hawataki tena kuhudumia, Wanaume tunaongea kwa vitendo tu huna heshima sitoi hela yangu, huna heshima SIOI yaani actions na maamuzi yetu yapo strictly hata uwe Rais wa nchi kama huna heshima hakuna mwanaume atakupa huduma yake yoyote kwa sababu hakuna mwanaume mpumbavu ahudumie mwanamke asiyekua na heshima kwake labda mala*ya ambae anajua huyu nitamtumia kwa haja zangu so hata asiponiheshimu nitamkaza nitamuacha na nikimtaka tena hivohivo✌🏾
Narudia Malalamiko ya wanawake kua wanaume hawawahudumii ni mengi kuliko malalamiko ya wanaume kua wanawake wengi wa sasa hamna heshima na mwisho wa siku MUDA utakuhukumu zaidi mwanamke na Nature itamuhukumu zaidi mwanaume📌
Ukitaka Kuhudumiwa kuwa na heshima lasivyo utabweka mitandaoni kuwa hauhudumiwi mpaka ufe📌 then wahi kwa Daktari ukatibu hayo matatizo ya kisaikolojia uliyonayo
 
Hivi kwanza kati ya mwanamke na mwanaume ni nani ambaye anateseka na anaumia kumuabudu na kumfurahisha mwenzie, ni nani ambaye toka enzi na enzi jamii imemlazimisha kukubali kutawaliwa na kuwa chini ya mwenzake kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu, yani ninyi mambo yote mnayotaka mfanyiwe na wanawake hamuoni kama ni mateso na maumivu kwao ila mambo wanayoyataka wanawake ndio mnaona kama wanataka mwaabudu
Itoshe kusema jadda ni feminist, to humble this fucking demon you need to be more sexist
 
Wanawake walio wengi wanapenda kuabudiwa , na kama wewe ni mwanaume ambae umeshaamua kuto abudu mwanamke yoyote, jua wewe ni mwanaume makini sana.

Wanawake wengi wanahisi kwakua ni wanawake basi kila mwanaume inabidi amjali kama kiumbe cha kipekee , kumnyenyekea na kama huyo binti amejaliwa urembo kidogo hali ndio inakua mbaya Zaidi.

Hio ndio mindset iliopo kichwani hasa hasa kwa hawa watoto wa buku mbili (2000) wakifuatiwa na hawa mashangazi ya 95 to 80.

Wanawake walio wengi humu hasa hawa akina Jadda mindset zao ni kwamba mwanaume inabidi ateseke na kuhangaika sana ili kumfurahisha mwanamke .

wtf! kwamba mwanaume inatakiwa apigike kisawasawa ili wao waishi maisha bora ya anasa.

Na matumaini yao makubwa ni kuona wanaume wana waabudu wao, nahata kuwa nyenyekea pale inapo bidi. Jambo la kusikitisha ni kwamba hata ikitokea mwanaume akawa mwema kwa kiasi hicho wanacho taka bado wata muona fala na malipo yake ni dharau, cheating na kejeli za hapa na pale.

Na hapo ndio unakuja ukweli kwamba usiwe mwema kwa mwanamke kiasi hicho mana unamfanya kujuona kua yeye ni mungu mtu ambapo mwisho wake utakua wewe mtumwa na atakutumikisha kisawasawa.

Hakuna mwanaume anaeteseka kwenye mikono ya mwanamke kama mwanaume ambae ameamua kumuabudu mwanamke , kumtimizia kwa kila atakacho hitaji.

NEVER EVER BE A NICE GUY TO A WOMAN, IT ALWAYS DOESN’T END WELL FOR YOU.
BE WISE.

EARTH IS HARD
Uongoo , nikwamba hamjali ukijali mtu basi , mnatawala watu na laki mbili inawazingua sasa je kodi ya ml 3 simtakufa mmbebwe uchi
 
Back
Top Bottom