Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ana magazeti mengi mno, ambayo hayana maana.Huwa anasema tuna Mu-attack yeye badala ya kujenga Hoja.
Lakini yeye utamsika mara Wanaume wa Jf nimewazarau mara sijui Ni Vivulana na wala sisi hatujawahi kusema Jadda anatu-attack badala ya kujenga Hoja.
Sasa nataka aje Tujenge Hoja. Namjua Huwa Ukishambana kwenye Hoja anakimbilia kwa Few Cases za wanaume ana generalize Wote.
Mkuu kama hadi wewe mshauri wa maswala ya biashara umeliona hili, mimi sikupingiHata uwafanyie nini hawaridhiki, ishi nao kwa kuangalia unafaidika nini kwake si kwa lingine.
na chochote unachomfanyia mfanyie sababu umetaka sio yeye kataka "ili umridhishe" maana hata ukimpa bado hatoridhika
Hivyo hakikisha unamtimizia anayotaka kama utajiskia kumfanyia hivyo tu, si vinginevyo.
Usihesabu uwepo wake kama una mtu maishani mwako, wakati wote simama kama upo peke ako,usithubutu kumuonyesha yeye ndie nguzo/kimbilio lako nyakat za matatzo/mapito/furaha.
Muweke katika nafasi asiyoijua Ndani ya maisha yako , umuhimu wake,msaada wake,faida yake maishan mwako hakikisha ni "SIRI YAKO" usije mwambia hata siku 1.
Yawezekana una mwanamke hana sifa mbaya,ana kuheshimu,anakupenda,nk sifa zote nzuri ni zake (usije thubutu mwambia akajua unamchukuliaje) wakati wote mwache aone kama unamsoma na uko nae mguu nnje mguu ndani ila wewe ndie unaejua thamani yake kwako.
Mwanamke ni Mwanamke ishi nae kwa akili nyingi si Mtu hakikisha unatengeneza watu sahihi wakuambatana nao maishani mwako MKE/MWANAMKE wako awe no. 2 or else "usiseme hukuambiwa"
HakikaKwa malalamiko haya, minaona huu ni uzi wa mvulana ambae hajajifaham akimlalamikia msichana ambae hajajifaham.
Mwanamke anae jifaham kamwe hawezi akawa juu na hawezi akanyenyua sauti yake mbele ya mume wake.
Mwanamke anaejifaham siku zote atakua mtii na mume wake atampenda kwa dhati.
Sasa kama wanaweza wanasubiria wawezeshwe na naniUnaposikia Wanawake wanadai Haki Sawa. JUA KUWA WANAMAANISHA WANATAKA WAO WAWE JUU.
Namna pekee utakayoishi na Feminist bila Migogoro ni Wewe Kukubali kuwa Chini yake. Na Yeye awe Juu yako.
Nawakumbusha campaign inayoendelea now ni @girls take over.
From Wanawake tukiwezeshwa Tunaweza.
Ilikuwa ni Kuwazubaisha Wanaume wajinga(simps) waliotufikisha Hapa. Eti Mwanamke Ni kiumbe cha kukionea Huruma Na Tumuwezeshe. Baada ya kuwezeshwa now wanatutukana kuwa Wanaume Hawana Kitu kwanza Hawana Ufanisi kama Mwanamke Mara Eti Adui wa Mwanamke ni Mwanaume Wakati Waliomba Wawezeshwe na hao hao wanaume.Sasa kama wanaweza wanasubiria wawezeshwe na nani
Simps are idiotsIlikuwa ni Kuwazubaisha Wanaume wajinga(simps) waliotufikisha Hapa. Eti Mwanamke Ni kiumbe cha kukionea Huruma Na Tumuwezeshe. Baada ya kuwezeshwa now wanatutukana kuwa Wanaume Hawana Kitu kwanza Hawana Ufanisi kama Mwanamke Mara Eti Adui wa Mwanamke ni Mwanaume Wakati Waliomba Wawezeshwe na hao hao wanaume.
WANAUME WAPUMBAVU (SIMPS) NDIO WAMETUFIKISHA HAPA.
Ha ha haNAKAZIA, Hakuna kiumbe kinachopitia Mateso kama Mwanaume alieamua kuabudu Mwanamke, ni nafuu ya ahela.
Ni mungu yupi unayemzungumzia maana kuna dini zaidi ya 1000 duniani na Kila dini ina miungu yakeMungu ndo aliandika ktk kitabu cha mwanzo sura ya tatu au nne kuwa mwanaume atamtawala mwanamke.
Mwanamke naye ni kiumbe mwenye utashi kama mwanaume, lakini analazimishwa kukubali maamuzi ya mwanaume hata yale yanayomhusu mwanamke mwenyewe, unadhani wanawake ndio hawapendi kujiamulia mambo yao wenyewe na unadhani ni kwanini mwanamke analazimishwa kukubali maamuzi ya mwanaumeNaomba Utusaidie Hizo sababu "zisizo na Kichwa wala Miguu" Tuzione Labda ni kweli uyasemayo.
Pia Utuambie Kwa kule Mke kuwa Chini ya Mume na Mume Ndio Kuwa Mwenye Sauti katika familia Kulisababisha Mateso gani kwa mwanamke ndani Familia za Mfumo huo.??
Mambo gani hayo yanayowahusu Wanawake Wenyewe,, Wanaume (babu zetu) walikuwa wanayatolea Maamuzi??Mwanamke naye ni kiumbe mwenye utashi kama mwanaume, lakini analazimishwa kukubali maamuzi ya mwanaume hata yale yanayomhusu mwanamke mwenyewe, unadhani wanawake ndio hawapendi kujiamulia mambo yao wenyewe na unadhani ni kwanini mwanamke analazimishwa kukubali maamuzi ya mwanaume
Wa bibliaNi mungu yupi unayemzungumzia maana kuna dini zaidi ya 1000 duniani na Kila dini ina miungu yake
Na kwanini tumzungumzie mungu wa wakristo tuWa biblia
Kwani idadi kubwa ya watu si wanatumia imani kubwa mbili, ya kikristo na ya kiislamu. Na ktk Qua an ipo hivyo hivyo, We jibu hojaNa kwanini tumzungumzie mungu wa wakristo tu
Kama humpendi kwanini una kula hela yake kama sio utapeli ni nini?Hii ni kwa wanaume ambao hawapendwi lakini tukipenda sisi tunanyenyekea na kuvumilia Mengi.
Sisi hatupendi tunatamani kwanza suala la kupenda linakuja kwa namna huyo manzi atakavyakuwa kwako ndio utampenda au utajua huyu ni wakupita tuKwani nyie wanawake wote mnaokua nao mnakua mnawapenda?
Ila huyo ambaye utampenda ndio hakuoiKuna wanaume hawasikiagi, unakuta hapendwi na anajua hilo lakini bado yumo tu sasa kwa nini asiwe mtumwa.
Mwingine yuko radhi awe mtumwa ila tu watu wamsifie yuko na demu mkali 😅😅😅😅
Ukiona hivyo ujue huyo mwanamke hakupendi mwanamke anayekupenda lazima akuheshimu na pia lazima aogope kukupotezaUmezungumza mawazo yangu,kila mara nahisi hili piya ni suala ambalo halizungumzwi,bahati mbaya wanaume wana kawaida ya kunyamazia mambo
Sasa idadi kubwa ya watu wa dini fulani inahusiana nini na ukweli wa maandiko ya dini husika, nani kakudanganya kwamba dini kuwa na wafuasi wengi ndio kunaifanya kuwa dini ya kweli, halafu mbona huwa mnachagua maandiko ya kucite kwanini kwenye masuala mengine kama uzinzi na uasherati huwa hatuwaoni mkicite hayo maandiko yenu enyi wanafikiKwani idadi kubwa ya watu si wanatumia imani kubwa mbili, ya kikristo na ya kiislamu. Na ktk Qua an ipo hivyo hivyo, We jibu hoja
Nyege ndio tatizo.Wanawake walio wengi wanapenda kuabudiwa , na kama wewe ni mwanaume ambae umeshaamua kuto abudu mwanamke yoyote, jua wewe ni mwanaume makini sana.
Wanawake wengi wanahisi kwakua ni wanawake basi kila mwanaume inabidi amjali kama kiumbe cha kipekee , kumnyenyekea na kama huyo binti amejaliwa urembo kidogo hali ndio inakua mbaya Zaidi.
Hio ndio mindset iliopo kichwani hasa hasa kwa hawa watoto wa buku mbili (2000) wakifuatiwa na hawa mashangazi ya 95 to 80.
Wanawake walio wengi humu hasa hawa akina Jadda mindset zao ni kwamba mwanaume inabidi ateseke na kuhangaika sana ili kumfurahisha mwanamke .
wtf! kwamba mwanaume inatakiwa apigike kisawasawa ili wao waishi maisha bora ya anasa.
Na matumaini yao makubwa ni kuona wanaume wana waabudu wao, nahata kuwa nyenyekea pale inapo bidi. Jambo la kusikitisha ni kwamba hata ikitokea mwanaume akawa mwema kwa kiasi hicho wanacho taka bado wata muona fala na malipo yake ni dharau, cheating na kejeli za hapa na pale.
Na hapo ndio unakuja ukweli kwamba usiwe mwema kwa mwanamke kiasi hicho mana unamfanya kujuona kua yeye ni mungu mtu ambapo mwisho wake utakua wewe mtumwa na atakutumikisha kisawasawa.
Hakuna mwanaume anaeteseka kwenye mikono ya mwanamke kama mwanaume ambae ameamua kumuabudu mwanamke , kumtimizia kwa kila atakacho hitaji.
NEVER EVER BE A NICE GUY TO A WOMAN, IT ALWAYS DOESN’T END WELL FOR YOU.
BE WISE.
EARTH IS HARD