Umetisha classmateKwa malalamiko haya, minaona huu ni uzi wa mvulana ambae hajajifaham akimlalamikia msichana ambae hajajifaham.
Mwanamke anae jifaham kamwe hawezi akawa juu na hawezi akanyenyua sauti yake mbele ya mume wake.
Mwanamke anaejifaham siku zote atakua mtii na mume wake atampenda kwa dhati.
Bandiko zuri sana na ni eye opening kwa wanaume wenye akili timamu na kujua vyema aina ya jamii tuliyonayo Sasa.Wanawake walio wengi wanapenda kuabudiwa , na kama wewe ni mwanaume ambae umeshaamua kuto abudu mwanamke yoyote, jua wewe ni mwanaume makini sana.
Wanawake wengi wanahisi kwakua ni wanawake basi kila mwanaume inabidi amjali kama kiumbe cha kipekee , kumnyenyekea na kama huyo binti amejaliwa urembo kidogo hali ndio inakua mbaya Zaidi.
Hio ndio mindset iliopo kichwani hasa hasa kwa hawa watoto wa buku mbili (2000) wakifuatiwa na hawa mashangazi ya 95 to 80.
Wanawake walio wengi humu hasa hawa akina Jadda mindset zao ni kwamba mwanaume inabidi ateseke na kuhangaika sana ili kumfurahisha mwanamke .
wtf! kwamba mwanaume inatakiwa apigike kisawasawa ili wao waishi maisha bora ya anasa.
Na matumaini yao makubwa ni kuona wanaume wana waabudu wao, nahata kuwa nyenyekea pale inapo bidi. Jambo la kusikitisha ni kwamba hata ikitokea mwanaume akawa mwema kwa kiasi hicho wanacho taka bado wata muona fala na malipo yake ni dharau, cheating na kejeli za hapa na pale.
Na hapo ndio unakuja ukweli kwamba usiwe mwema kwa mwanamke kiasi hicho mana unamfanya kujuona kua yeye ni mungu mtu ambapo mwisho wake utakua wewe mtumwa na atakutumikisha kisawasawa.
Hakuna mwanaume anaeteseka kwenye mikono ya mwanamke kama mwanaume ambae ameamua kumuabudu mwanamke , kumtimizia kwa kila atakacho hitaji.
NEVER EVER BE A NICE GUY TO A WOMAN, IT ALWAYS DOESNβT END WELL FOR YOU.
BE WISE.
EARTH IS HARD
mashambulizi ni makubwa kias kwamba tumeona tujikinge uso kuzuia ngumi za usoKila uchao kataa ndoa wanajengahoja nzito
[emoji23][emoji23] Yaani kila baada ya dakika kadhaa nyuzi ni hizi hizi.Kwani kumetokea Nini?
Nyie mnapenda nini?Mnapenda kuabudiwa acheni hizo[emoji1787]
π€£π€£ sio general , hilo lingepaswa kuwa swali langu binafsi π€£Nyie mnapenda nini?
Hii ni kwa wanaume ambao hawapendwi lakini tukipenda sisi tunanyenyekea na kuvumilia Mengi.Wanawake walio wengi wanapenda kuabudiwa , na kama wewe ni mwanaume ambae umeshaamua kuto abudu mwanamke yoyote, jua wewe ni mwanaume makini sana.
Wanawake wengi wanahisi kwakua ni wanawake basi kila mwanaume inabidi amjali kama kiumbe cha kipekee , kumnyenyekea na kama huyo binti amejaliwa urembo kidogo hali ndio inakua mbaya Zaidi.
Hio ndio mindset iliopo kichwani hasa hasa kwa hawa watoto wa buku mbili (2000) wakifuatiwa na hawa mashangazi ya 95 to 80.
Wanawake walio wengi humu hasa hawa akina Jadda mindset zao ni kwamba mwanaume inabidi ateseke na kuhangaika sana ili kumfurahisha mwanamke .
wtf! kwamba mwanaume inatakiwa apigike kisawasawa ili wao waishi maisha bora ya anasa.
Na matumaini yao makubwa ni kuona wanaume wana waabudu wao, nahata kuwa nyenyekea pale inapo bidi. Jambo la kusikitisha ni kwamba hata ikitokea mwanaume akawa mwema kwa kiasi hicho wanacho taka bado wata muona fala na malipo yake ni dharau, cheating na kejeli za hapa na pale.
Na hapo ndio unakuja ukweli kwamba usiwe mwema kwa mwanamke kiasi hicho mana unamfanya kujuona kua yeye ni mungu mtu ambapo mwisho wake utakua wewe mtumwa na atakutumikisha kisawasawa.
Hakuna mwanaume anaeteseka kwenye mikono ya mwanamke kama mwanaume ambae ameamua kumuabudu mwanamke , kumtimizia kwa kila atakacho hitaji.
NEVER EVER BE A NICE GUY TO A WOMAN, IT ALWAYS DOESNβT END WELL FOR YOU.
BE WISE.
EARTH IS HARD
Kwa nini uwe na mahusiano na mwanaume ambae haumpendi kama sio utapeli?π€£π€£Hii ni kwa wanaume ambao hawapendwi lakini tukipenda sisi tunanyenyekea na kuvumilia Mengi.
Kaoneπ€£π€£ sio general , hilo lingepaswa kuwa swali langu binafsi π€£
Kwani nyie wanawake wote mnaokua nao mnakua mnawapenda?Kwa nini uwe na mahusiano na mwanaume ambae haumpendi kama sio utapeli?π€£π€£
π€£π€£π€£π€£π€£π€Jitu la miraba minne kama mimi ndio uniambie kaone kweli!??Kaone
Bado unauliza swali la binafsi π€£Kwani nyie wanawake wote mnaokua nao mnakua mnawapenda?
π Ebu tuone hiyo miraba?π€£π€£π€£π€£π€£π€Jitu la miraba minne kama mimi ndio uniambie kaone kweli!??
Kaoneπ€£π Ebu tuone hiyo miraba?
Basi na nyie msituulize maswali binafsi πBado unauliza swali la binafsi π€£
Kuna wanaume hawasikiagi, unakuta hapendwi na anajua hilo lakini bado yumo tu sasa kwa nini asiwe mtumwa.Kwa nini uwe na mahusiano na mwanaume ambae haumpendi kama sio utapeli?π€£π€£
Swali kwa nini wewe ukubali kuolewa na mwanaume usiye mpenda ? Kwani anapokua king'ang'anizi anakuteka bila wewe kujijua?Kuna wanaume hawasikiagi, unakuta hapendwi na anajua hilo lakini bado yumo tu sasa kwa nini asiwe mtumwa.
Mwingine yuko radhi awe mtumwa ila tu watu wamsifie yuko na demu mkali π π π π