Wanawake wanapenda kuabudiwa

Halafu ana magazeti mengi mno, ambayo hayana maana.
 
Mkuu kama hadi wewe mshauri wa maswala ya biashara umeliona hili, mimi sikupingi
 
Hakika
 
Sasa kama wanaweza wanasubiria wawezeshwe na nani
 
Sasa kama wanaweza wanasubiria wawezeshwe na nani
Ilikuwa ni Kuwazubaisha Wanaume wajinga(simps) waliotufikisha Hapa. Eti Mwanamke Ni kiumbe cha kukionea Huruma Na Tumuwezeshe. Baada ya kuwezeshwa now wanatutukana kuwa Wanaume Hawana Kitu kwanza Hawana Ufanisi kama Mwanamke Mara Eti Adui wa Mwanamke ni Mwanaume Wakati Waliomba Wawezeshwe na hao hao wanaume.

WANAUME WAPUMBAVU (SIMPS) NDIO WAMETUFIKISHA HAPA.
 
Simps are idiots
 
Mungu ndo aliandika ktk kitabu cha mwanzo sura ya tatu au nne kuwa mwanaume atamtawala mwanamke.
Ni mungu yupi unayemzungumzia maana kuna dini zaidi ya 1000 duniani na Kila dini ina miungu yake
 
Mwanamke naye ni kiumbe mwenye utashi kama mwanaume, lakini analazimishwa kukubali maamuzi ya mwanaume hata yale yanayomhusu mwanamke mwenyewe, unadhani wanawake ndio hawapendi kujiamulia mambo yao wenyewe na unadhani ni kwanini mwanamke analazimishwa kukubali maamuzi ya mwanaume
 
Mambo gani hayo yanayowahusu Wanawake Wenyewe,, Wanaume (babu zetu) walikuwa wanayatolea Maamuzi??
 
Na kwanini tumzungumzie mungu wa wakristo tu
Kwani idadi kubwa ya watu si wanatumia imani kubwa mbili, ya kikristo na ya kiislamu. Na ktk Qua an ipo hivyo hivyo, We jibu hoja
 
Kwani nyie wanawake wote mnaokua nao mnakua mnawapenda?
Sisi hatupendi tunatamani kwanza suala la kupenda linakuja kwa namna huyo manzi atakavyakuwa kwako ndio utampenda au utajua huyu ni wakupita tu
 
Kuna wanaume hawasikiagi, unakuta hapendwi na anajua hilo lakini bado yumo tu sasa kwa nini asiwe mtumwa.

Mwingine yuko radhi awe mtumwa ila tu watu wamsifie yuko na demu mkali ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Ila huyo ambaye utampenda ndio hakuoi
 
Umezungumza mawazo yangu,kila mara nahisi hili piya ni suala ambalo halizungumzwi,bahati mbaya wanaume wana kawaida ya kunyamazia mambo
Ukiona hivyo ujue huyo mwanamke hakupendi mwanamke anayekupenda lazima akuheshimu na pia lazima aogope kukupoteza
 
Kwani idadi kubwa ya watu si wanatumia imani kubwa mbili, ya kikristo na ya kiislamu. Na ktk Qua an ipo hivyo hivyo, We jibu hoja
Sasa idadi kubwa ya watu wa dini fulani inahusiana nini na ukweli wa maandiko ya dini husika, nani kakudanganya kwamba dini kuwa na wafuasi wengi ndio kunaifanya kuwa dini ya kweli, halafu mbona huwa mnachagua maandiko ya kucite kwanini kwenye masuala mengine kama uzinzi na uasherati huwa hatuwaoni mkicite hayo maandiko yenu enyi wanafiki
 
Nyege ndio tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ