1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Mtu akiwa na njaa hula chochote ashibe, ila asipokuwa na njaa hula anachopendaUhendsamu bila hela ni bure, ndo maana wadada wanawaacha mahendisamu wanaenda kuolewa na wazee au wenye sura ngumu kwasababu wana mihelaaaa.
ahahahahhahahahahahahahaha, tafiti rahisi tu, wewe si wajihisi ni handsome bhasi jipime kama una vision, mission unayoifanya na piah jitathmini kama upstairs zinawaka vema, emotionally well, physically strong and romantically good, ukiona uko better on those part basi utafurahia ur relation na mwenzi wako lkn ukiiona uko 60% OFF kwenye kila sekta tajwa hapo juu, Bi. dada watakula tu sura yako alafu utakuja kutupa mrejesho unajiskiaje ktk mahusiano.Hakuna mwanamke anapenda mwanaume ambaye sio handsome.Kama mnakumbuka mke wa Farao aliambiwa na wanawake wengine anawezaje kumwacha Yusufu hivi hivi bila kumlazimisha wafanye mapenzi.
Just imagine mdada anajikata mpaka na kisu akiwa anamwangalia yusufu kwa uzuri aaliokuwa nao yusufu. Akamlazimisha yusufu kamkimbia dakika ya mwisho kabisa akaamua kumgeuzia kibao kwamba yusufu alitaka kumbaka.
Kinachoshangaza mwanamke na yeye hachelewi kukupoteza hata Kama akikupenda sana hilo sote tulijue na ndo maana tumeagizwa tukae nao kwa akili.lakini pia mkae mkijua hawezi kukupenda Kama wewe sio handsome labda uwe na pesa.
Huu ndo ukweli mchungu wanaume wenye sura ngumu sana mnisamehe baba zangu. Nasikia wengine mnasema kuwa wadada wanavutiwa na wanaume wenye sura mbaya za kikauzu.
Huku Ni kujitia tu moyo, tumeona mfano wa mke wa Farao alikuwa hampendi mumewe anamuona kama mzee mzee.
Hizi simulizi za kwenye vitabu vya dini Ni za kweli kabisa zimetokea karne nyingi zamani lakini hata Sasa mambo Ni Yale Yale huwa yanajirudia tu.
Yaan hutapata shida sura kama ya babu yako ndio nazipenda mimiHahaha kwa hyo mimi mjukuu wa wasira nikitangaza nia naweza kufikiriwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah
Usijifariji mwanaume ukiwa na pesa lakin sura ngumu mwanamke atakuwa na wewe lakin hakupendi kabisa, na labda na yeye awe na sura ngumu hapo hamna noma ngoma drawAaaarrrgh!! Labda Uhandsome wa mfukoni (pochi nene)...tafuta pesa mkuu acha kujifariji
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule mzee ataishia kukosana na vijana labda ajifanye mume bwege.Kabla ya kuandika uzi huu umepata kuongea lolote na Juma Kapuya?
Wanasemaga kama mwanaume mashine umeambiwa hapa Pana nafaka za kusaga? Kama ana mashine apeleke huko hiyo mashine yake ikasagaga nafaka.
Nimekubali
Usiombe mwanaume uwe na sura ngumu,halafu una kipara,una macho makubwa,halafu mpangilio wa meno ni sifuri. Unaweza kujinyonga ukibalehe!Japo uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu. Sura ngumu mie hapana loooh.
ππππNa mke wa muosha magari anatoka na mwanaume tajiri.