Wanawake wanapenda ma handsome

Wanawake wanapenda ma handsome

Hakuna mwanamke anapenda mwanaume ambaye sio handsome.Kama mnakumbuka mke wa Farao aliambiwa na wanawake wengine anawezaje kumwacha Yusufu hivi hivi bila kumlazimisha wafanye mapenzi.

Just imagine mdada anajikata mpaka na kisu akiwa anamwangalia yusufu kwa uzuri aaliokuwa nao yusufu. Akamlazimisha yusufu kamkimbia dakika ya mwisho kabisa akaamua kumgeuzia kibao kwamba yusufu alitaka kumbaka.

Kinachoshangaza mwanamke na yeye hachelewi kukupoteza hata Kama akikupenda sana hilo sote tulijue na ndo maana tumeagizwa tukae nao kwa akili.lakini pia mkae mkijua hawezi kukupenda Kama wewe sio handsome labda uwe na pesa.

Huu ndo ukweli mchungu wanaume wenye sura ngumu sana mnisamehe baba zangu. Nasikia wengine mnasema kuwa wadada wanavutiwa na wanaume wenye sura mbaya za kikauzu.

Huku Ni kujitia tu moyo, tumeona mfano wa mke wa Farao alikuwa hampendi mumewe anamuona kama mzee mzee.

Hizi simulizi za kwenye vitabu vya dini Ni za kweli kabisa zimetokea karne nyingi zamani lakini hata Sasa mambo Ni Yale Yale huwa yanajirudia tu.
ahahahahhahahahahahahahaha, tafiti rahisi tu, wewe si wajihisi ni handsome bhasi jipime kama una vision, mission unayoifanya na piah jitathmini kama upstairs zinawaka vema, emotionally well, physically strong and romantically good, ukiona uko better on those part basi utafurahia ur relation na mwenzi wako lkn ukiiona uko 60% OFF kwenye kila sekta tajwa hapo juu, Bi. dada watakula tu sura yako alafu utakuja kutupa mrejesho unajiskiaje ktk mahusiano.
 
aarg huo nao uzi,hivi huo u handsome wako utamlisha nini mwanamke,hela ndio mpango mzima
 
Kila mwanamke au mwanamke ana kitu chake anachopenda kwa mwanaume au mwanamke.
Wengine upenda.
Sauti
Kicheko.
Body Yake..
Pesa
Kwa hyo uhand some sio kigezo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaaarrrgh!! Labda Uhandsome wa mfukoni (pochi nene)...tafuta pesa mkuu acha kujifariji

Sent using Jamii Forums mobile app
Usijifariji mwanaume ukiwa na pesa lakin sura ngumu mwanamke atakuwa na wewe lakin hakupendi kabisa, na labda na yeye awe na sura ngumu hapo hamna noma ngoma draw

Lakini mwanamke akiwa mrembo halafu wewe ugly kaa ukijua anao wanaume huko nje anaoridhika kua nao na yupo na wewe sababu ya pesa tu.
 
Unatakiwa uwe na vyote Uwe Na Hela, Uwe handsome bila kusahau uwe na six packs na upige show ya maana! Ila kwa wanawake wasivyoeleweka hata kama ukiwa na vyote anaweza akakusaliti utasikia eti anasagana yani hawaeleweki Mama£


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom