Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Hahahaaaaaaaaa... JF kiboko!
Kabla ya kuandika uzi huu umepata kuongea lolote na Juma Kapuya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya kuandika uzi huu umepata kuongea lolote na Juma Kapuya?
Amekuchagua wew handsome unaingia nae ndani show yako mbovu lazima akate rufaa kwa mwenye sura ngumu...mwanamke ni kiumbe kingineEmbu tuacheni unafki, tu-assume mwanamke ana hela zake, anaweza kufanya independent choice alafu kuna wavulana wawili wa mkoani mwenye sura ngumu na wa Dar ambao ni mahandsome siku zote, nafikiri unajua wa Dar sikuzote anatoka kidedea. Ukiwa na sura ngumu ata kama una hela ndani ya moyo wa huyo mwanamke wako anampenda mwanaume handsome somewhere
Dadangu unaweza kuvumilia Njaa!!Mimi mwanaume awe na akili tu kifupi awe anajielewa
Hayo mengine tutavumiliana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaenda kuolewa tu lkn gegedo lazima warudi tu kwa HB asiye na kwanja.Uhendsamu bila hela ni bure, ndo maana wadada wanawaacha mahendisamu wanaenda kuolewa na wazee au wenye sura ngumu kwasababu wana mihelaaaa.
Uhendsamu bila hela ni bure, ndo maana wadada wanawaacha mahendisamu wanaenda kuolewa na wazee au wenye sura ngumu kwasababu wana mihelaaaa.
Yule binti kafata mali tu na si mapenzi kwa babu yetu. Kama ni kupenda ni babu tu kapenda kuvinjari na damu changa na mrembo pia.Kabla ya kuandika uzi huu umepata kuongea lolote na Juma Kapuya?
ndugu yangu mbona wajitia moyo tunaangalia mambo mengi maana mashine hata sokonii zipooo aseh.!😀😀😀😛
😀😀😀😀naona wanajisahaulishaWewee tunapenda pesa mnajifanya mmesahau au [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna mbaya duniani kila mtu ana upeo wa macho tofauti we unaweza ona mbaya jirani yako akamuona mzur kama malaikaMi nahisi kila mtu huwa anajiona mzuri...hata yule mweny sura mbaya ujiona mzuri,,,sasa wabaya watajijua vp
big yesNingumu kufahamu nini hasa mwanamke anapenda si wakuwaekea dhamana hawa
😀😀😀😀wasiopenda hela wote mikono juu maana mie napenda balaa naweza hata fia ndani ya walletNi kweli, ila pesa ina nguvu zaidi.