Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Halafu Joanah lile Jibu langu Vipi?Nisamehe mkuu 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu Joanah lile Jibu langu Vipi?Nisamehe mkuu 🤣
Sipendi kusifiwa...naonaga kama sifa=kuchorana=kujazana ujinga
Wewe ni mzuri mpaka unawakera wenzio
Nilisahau kumbe mimi wa ki
Upo sahih bt ubisy wa majukum hutulimit, ujue sie wanaume tupo open sana kwenu, kitu ambacho huwapa wepesi wa kudeal nasi.Mtu inabidi afind out kitu gani akimfanyia mwanamke wake anafeel the whole world on him,.
Lakini nikikwambia inakua haileti maana means nitakua naona umefanya kwasababu mimi nimesema na haukua willing
Ukishaweka suala la ubusy means hauna mda na Mpenzi wako na hapo ndipo wengi mnakosea na mkishaprovide kila kitu mnaanza kujiona mko sahihi while not,.Upo sahih bt ubisy wa majukum hutulimit, ujue sie wanaume tupo open sana kwenu, kitu ambacho huwapa wepesi wa kudeal nasi.
Samahani mrembo, we nzuri sana.Sipendi kusifiwa...naonaga kama sifa=kuchorana=kujazana ujinga
Nilisahau kumbe mimi wa kiume
Kiasi chake, ujue mambo mengi yanayowapa furaha wanawake sie wanaume tunayaona ya kitotoKwa mantiki hiyo mtoa mada umeshawaelewa wanawake au?
Ni Wewe hapo sio huyo
Hata ubisy wa majukum yetu kwa sehem kubwa ni kwa ajili yenu ujue.Ukishaweka suala la ubusy means hauna mda na Mpenzi wako na hapo ndipo wengi mnakosea na mkishaprovide kila kitu mnaanza kujiona mko sahihi while not,.
Hakuna ubusy kwa mtu unayempenda
Halafu mbona wanawake hatuko complicated hivyo kama mnavyohisi
Basi tutaanza kuwa open na sisi ili tusiwachosheHata ubisy wa majukum yetu kwa sehem kubwa ni kwa ajili yenu ujue.
Tunawaona complicated coz hampo open sana kwetu, jambo ambalo hutupa ugum zaidi wa kudeal nanyi.
Mkifanya hivo mtaturahishia kazi ya kuwapa furaha.Basi tutaanza kuwa open na sisi ili tusiwachoshe
Asante na kwako pia kamanda🫡Mkifanya hivo mtaturahishia kazi ya kuwapa furaha.
Uwe na uck mwema mkuu.
Asante na kwako pia kamanda
Ndio Tunapenda sana kusifiwa😝!