Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuonaga hii tag.
Chunga sana usiwe mnene na kitambi kikubwa 😂😂😂Dah huu ufupi umenifanya nilie sana nilipo Soma huu uzi
Hiyo dark ya giza la saa ngapi 😂Rich,tall,dark and handsome that's full package
🤣🤣🤣 mnawakosea wababa wanene wafupi wa MMUMtoa mada utakua mfupi mnene[emoji4]View attachment 2547808
ApiaNnachoamini mimi,
Sio Wanawake au wanaume
Watu wote wafupi huwa hawajiamini[emoji4]
😂 ila wapare mnakuwaga na mvuto balaaWapare mnataka tuishije Sasa?
Nakusema aiseeNyie hamjui tu😂😂
Tall dark bila hela bado ni kazi bure 😂Share nasi please
Siogopi mkuu 😂😂Nitakubonda nikutoe meno 🤣🤣
Angalau wewe umeongea ka ukweli kdogo ulipoanza na rich..Rich,tall,dark and handsome that's full package
Naomba nikujibu private maana umeandika mengi ya kupotosha umma😂😂Sikuonaga hii tag.
Tall, medium dark. Not dark like usiku wa manane and mvuto uwepo. The Heaven belongs to them.
Pia Little light skin, asiwe mnene, mfupi mrefu… pia hao mbingu yao 😂😂
Binafsi I love my man
He fits me in all aspects
mambo ya urefu na ufupi achia kina Lenie
Ila muhimu mwanaume amzidi babe wake urefu. Kama mke ni ft 5.00 basi mume awe 5.3. Sio mume ft 4 af mke ft 6. Hiyo kituko mtayosababishia watu huko njiani 😂😂😂
Acha unaa😂Nakusema aisee
😂😂 siji private kwa mtuNaomba nikujibu private maana umeandika mengi ya kupotosha umma😂😂
NakusemaaaaAcha unaa😂
Jibu utalikuta huko huko😂😂 siji private kwa mtu
SitafunguaJibu utalikuta huko huko