Sikuonaga hii tag.
Chunga sana usiwe mnene na kitambi kikubwa πππDah huu ufupi umenifanya nilie sana nilipo Soma huu uzi
Hiyo dark ya giza la saa ngapi πRich,tall,dark and handsome that's full package
π€£π€£π€£ mnawakosea wababa wanene wafupi wa MMUMtoa mada utakua mfupi mnene[emoji4]View attachment 2547808
ApiaNnachoamini mimi,
Sio Wanawake au wanaume
Watu wote wafupi huwa hawajiamini[emoji4]
π ila wapare mnakuwaga na mvuto balaaWapare mnataka tuishije Sasa?
Nakusema aiseeNyie hamjui tuππ
Tall dark bila hela bado ni kazi bure πShare nasi please
Siogopi mkuu ππNitakubonda nikutoe meno π€£π€£
Angalau wewe umeongea ka ukweli kdogo ulipoanza na rich..Rich,tall,dark and handsome that's full package
Naomba nikujibu private maana umeandika mengi ya kupotosha ummaππSikuonaga hii tag.
Tall, medium dark. Not dark like usiku wa manane and mvuto uwepo. The Heaven belongs to them.
Pia Little light skin, asiwe mnene, mfupi mrefuβ¦ pia hao mbingu yao ππ
Binafsi I love my man
He fits me in all aspects
mambo ya urefu na ufupi achia kina Lenie
Ila muhimu mwanaume amzidi babe wake urefu. Kama mke ni ft 5.00 basi mume awe 5.3. Sio mume ft 4 af mke ft 6. Hiyo kituko mtayosababishia watu huko njiani πππ
Acha unaaπNakusema aisee
ππ siji private kwa mtuNaomba nikujibu private maana umeandika mengi ya kupotosha ummaππ
NakusemaaaaAcha unaaπ
Jibu utalikuta huko hukoππ siji private kwa mtu
SitafunguaJibu utalikuta huko huko