Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
HahaaMi siku zote nilijua wewe bado bikira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaMi siku zote nilijua wewe bado bikira
Ngoja nikutaftie msomali wa manyara utashangaa na moyo wako utakavyompenda 😂Nifanyie mpango basi wa tall dark Depal asiwe ananinanga tena
Nifanyie hivyo best anguNgoja nikutaftie msomali wa manyara utashangaa na moyo wako utakavyompenda 😂
🤣🤣 Umbea tuMaskini mpare
Em niscreen record nimtumie
Sms sent and delivery notification imerudi.🤣🤣 Umbea tu
Mwambie pia aandae na box la lesoNgoja nikutaftie msomali wa manyara utashangaa na moyo wako utakavyompenda 😂
Na me nasema kwa mstaafuSms sent and delivery notification imerudi.
Naua wote wawili nyie, hamnibabaishiNa me nasema kwa mstaafu
Nimefadhaika sana... Nimeishiwa pozi.Hahaa
Nitafanya hivyo 🤗Nifanyie hivyo best angu
Kwa mpare nipo tu ila sio kupenda kwangu🤣🤣
Dada nawewe una mapito 🤣🤣🤣Mwambie pia aandae na box la leso
Wanaliza hao balaa
😂😂 Lini hiyo mbona sina habari?Wee jidanganye tuu kuwa mstarabu. Hana ustaraabu wowote nilimtongoza pm nilipigwa za uso mpaka nikashangaa.
😂😂 Mie sina habari eti, atakua kachanganya madesa.
😂 Labda alikosea😂😂 Mie sina habari eti, atakua kachanganya madesa.
Unajidai kujisahaulisha hapa 🤣🤣🤣🤣😂😂 Lini hiyo mbona sina habari?
Labda ulikuja na ID tofauti. Yaan nikuone PM na hii Mzabzab haki ningekua nacheka tu sijui kama ningekujibu lolote sababu akili yako naijua ishavurugwaUnajidai kujisahaulisha hapa 🤣🤣🤣🤣