KabisaaNdio, halafu avae sandals sasa tunadata.
Kucha? labda zishikilie noti
Unakichaaa nini unawezaje kuanzisha nyuzi Kama hi kweli duh akil hunaNikipita social media unakuta kama mwanaume amepost kitu then kunasehemu ya mkono, unaona baadhi ya wadada wanasema " unakucha nzuri, post mkono niuone" sasa nauliza inamaa mwanamke anaweza mpenda mwanaume sababu ya kucha za mikono? Na izo kucha nzuri zinakuaje?
Hizi hapa kwa kumsaidia mleta uziBila picha huu uzi ufutwe,
[emoji28][emoji28][emoji28] watasema hizo kama virungu vya kupigia ngoma....Hizi hapa kwa kumsaidia mleta uziView attachment 2297691
Hizi kucha ni kama zimehesabu pesa mpaka mtu sasa pesa imeisha ππHizi hapa kwa kumsaidia mleta uziView attachment 2297691
Hizo kucha za watu wenye mipango mjiniHizi kucha ni kama zimehesabu pesa mpaka mtu sasa pesa imeisha ππ
πππ[emoji28][emoji28][emoji28] watasema hizo kama virungu vya kupigia ngoma....
Nakutumia za kwangu za miguu na mikono kisha unipe mrejeshoNdiwooo, afu avae sandals sasa tunadata.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizi hapa kwa kumsaidia mleta uziView attachment 2297691
NasubiriNakutumia za kwangu za miguu na mikono kisha unipe mrejesho