Wanawake wanavutiwa na kucha za wanaume?

Wanawake wanavutiwa na kucha za wanaume?

Nikipita social media unakuta kama mwanaume amepost kitu then kuna sehemu ya mkono, unaona baadhi ya wadada wanasema " unakucha nzuri, post mkono niuone" sasa nauliza inamaa mwanamke anaweza mpenda mwanaume sababu ya kucha za mikono? Na hizo kucha nzuri zinakuaje?

Update

Mmoja kanitumia hivi

View attachment 2298672
Kucha nzuri bila pesa tu upendwe? Mmmmmh?
 
Woooow anakucha na vidole vzr[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]mkipata namba yake nipen[emoji39][emoji39]
 
Back
Top Bottom