kama nimekuelewa hiviNi hivi , hawapendi mtu serious wa kumganda muda mwingi atakosa Uhuru kufanya biashara zake ,,,
Wasishana wengi kwa Sasa wanafanya biashara ya ukahaba ,, so anakuwa huru kuhang up na wahuni na yeye kuwa free kwenye biashara
Trust me mabinti , wa mama tunaoishi nao mitaani unawaona wametulia utadhani wa malaika , wanafanya biashara