Wanawake wanawapenda wanaume wahuni

Wanawake wanawapenda wanaume wahuni

[emoji1787] au muhuni anajua set ya cosrx snail woiii ebu watuache tunatunza uso zetu kwa gharama sana tuepukane na makunyazi mashangazi sisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear jomoneee wahuni wengine wananunua wao mbna.
 
Tembelea maeneo ya vyuoni huko kwenye warembo wengi uone kama hao wahuni wana nafasi ya kupendwa mpaka semister inaisha hutojua dem anatoka na nani mana huwa wanachukuliwa na Ndinga tu za maboss hutowajua
Kumbe hata hujui, wadada wa vyuo kwa ma sponsor wanafata hela tyuuh, ila mapenzi yako kwa masela na wahuniii.

Nikupee poleeee wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tembelea maeneo ya vyuoni huko kwenye warembo wengi uone kama hao wahuni wana nafasi ya kupendwa mpaka semister inaisha hutojua dem anatoka na nani mana huwa wanachukuliwa na Ndinga tu za maboss hutowajua
Wewe haujui uhuni unao ongelewa Hapa... Nadhani Focus yako ipo Kwa hawa masela Koko...
 
Ccm ndio inapenda mada kama hz. Kuliko mkijadili report y CAG au katiba mpya
 
Vice versa is true hata sisi wanaume wastaarabu tunapenda sana mademu wahuni wahuni... Yani mi napenda demu wenge wenge hivi yani akae kimalaya Malaya yaani mi naenjoy sana
 
Salaam Wakuu, your the weapons against the kingdom of darkness.

Kuna jambo nimeligundua wanawake hawa awe pisi kali, kawaida au mapepe aisee wanaowafaidi ni wanaume wale wahuni wahuni tena wasio na mbele wala nyuma wasio na mipango ya kimaisha tena unakuta wanaishi geto tu chumba kimoja mtu 8.

Sasa hawa ndiyo wanagonga sana dada zetu. Tofauti kabisa na vijana wenye mipango na malengo huwa mara nyingi wanawake wanawakataa mpaka ajazwe mimba na muhuni ndiyo anatafuta mtu makini.

Fatilieni naamini wapo humu wanalijua hili watatoa shuhuda zao.
Hili ni ukweli mtupu , wahuni wanapendwa Kwa kuwa sio waoga na hawaendeshwi na mwanamke, wao wanaendesha maisha Yao tofauti na vijana wenye mipango, Hawa wanaona kuwa romantic na kutoa zawadi nyingi na kuruhusu mwanamke ashike usukani wa maisha yake ndo itamfanya mwanamke ampende ila pia kuna vijana wenye mipango na ni wahuni, mfano Diamond na Elon musk.
Hapa sizungumzii uhuni wa kuvuta madawa ya kulevya ila playboys.
 
Back
Top Bottom