Wanawake wanawapenda wanaume wahuni

Wanawake wanawapenda wanaume wahuni

vitendo vyenu vinawaumbua wengi mnapenda wakaka waliokatia na wenye midevudevu mnasema 'rough and gruff' 😂 na faragha mnapenda shughuli iwe na amshamsha kidogo.....
Hayo ni Mambo ya 1 8-26 we,we mdada una 30s and above unarandaranda na muhuni ili ugundue Nini?Yaani mkae geto anavingirisha bange ndio unasikia Raha au?Doooh muhuni apite kule
 
Kwa niaba ya mashangazi wenzangu nakataa hiyo kauli yako kwa nguvu zoteeee.....tunatunza nyuso zetu kwa gharama jamani Halafu muhuni mmoja aje aupasue kirahisi tu?Eti Amehlo Shunie muhuni anajua Bei ya set ya WIX kweli?
Naungana na wewe my wangu 😀😀😀

Kwanza anajua wix ni nini 😀😀
Mzee napaka verdure 165k naitoa kwa uchungu na machozi famasihara nini
 
Kwa niaba ya mashangazi wenzangu nakataa hiyo kauli yako kwa nguvu zoteeee.....tunatunza nyuso zetu kwa gharama jamani Halafu muhuni mmoja aje aupasue kirahisi tu?Eti Amehlo Shunie muhuni anajua Bei ya set ya WIX kweli?
[emoji1787] au muhuni anajua set ya cosrx snail woiii ebu watuache tunatunza uso zetu kwa gharama sana tuepukane na makunyazi mashangazi sisi
 
Hayo ni Mambo ya 1 8-26 we,we mdada una 30s and above unarandaranda na muhuni ili ugundue Nini?Yaani mkae geto anavingirisha bange ndio unasikia Raha au?Doooh muhuni apite kule
haya vipi kuhusu viben10 vinyonya lips??😂 mbona vinawezeshwa sana na mashangazi...
 
[emoji1787] au muhuni anajua set ya cosrx snail woiii ebu watuache tunatunza uso zetu kwa gharama sana tuepukane na makunyazi mashangazi sisi
🤣🤣🤣Wasilete mchezo antiwrinkles Bei zake sio poa
 
Back
Top Bottom