DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
Komwe lakoNakupenda wewe pekeyako mbona,sema unanicheleweshea tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Komwe lakoNakupenda wewe pekeyako mbona,sema unanicheleweshea tu
Naaam naam my wangu [emoji1787]Mashangazi wetu wajomba
[emoji1787][emoji1787]Na mimi ndo mjomba mwenyewe (ankali).
Koo unakuta mh anakula demu anakula na bwana wa demu,,,hatari sanaSio uhuni na sifa ulizoziweka hapo- et mtu asiye na malengo hapana , wanawake/ wasichana wao wanapenda really man yaani wanapenda mtu aliye serious nayeye yaani mtu makini asiyefatilia sana, wivu anao lakini sio wa kupitiliza ana care japo anakitu lakini anaonyesha kama ana care, amnyanyasi amtukani
Yaani kiufupi uwe really hapo warembo wengi hawapindui sio walee wanaume wa kujichubua chubua na wanakuwaga hawana kitu na wanaforce kama wana kitu ndio unakuta mtu na demu wake wanatembea na mbunge yaani kwa zamu analala na demu wake leo kesho jamaa ake anakuja mbunge analala nae tena, hatari
Hapa unategemea kuna familia mtajenga? 😀 😀 😀
Hahahah sikuhizi hakuna cha real wala sijui kuwa serious.Sio uhuni na sifa ulizoziweka hapo- et mtu asiye na malengo hapana , wanawake/ wasichana wao wanapenda really man yaani wanapenda mtu aliye serious nayeye yaani mtu makini asiyefatilia sana, wivu anao lakini sio wa kupitiliza ana care japo anakitu lakini anaonyesha kama ana care, amnyanyasi amtukani
Yaani kiufupi uwe really hapo warembo wengi hawapindui sio walee wanaume wa kujichubua chubua na wanakuwaga hawana kitu na wanaforce kama wana kitu ndio unakuta mtu na demu wake wanatembea na mbunge yaani kwa zamu analala na demu wake leo kesho jamaa ake anakuja mbunge analala nae tena, hatari
nyie nice guys hamuiwezi mikitoWaongo waongo,hawako serias na life,hawana discipline sana kihivyo!wababe,wakorofi ndio ndio wanna win sana!!
Kina sisi
Serious, discipline,maono ya MIAKA mia yaani unawaza vitukuu hadi vilembwe,wakweli sana kiasi kwamba unafanya mtu ajione mjinga na sio chochote hatu win HADI tuwe na pesa chafu ndio tunapata tena tunapewa KWA shingo upande hadi pesa ziishe then anasepa au akishatimiza malengo yake anarudi KWA mjini mwenzake asie mpa stress!!
Seen this some where in Africa AISEH!!
ChaiSalaam Wakuu, your the weapons against the kingdom of darkness.
Kuna jambo nimeligundua wanawake hawa awe pisi kali, kawaida au mapepe aisee wanaowafaidi ni wanaume wale wahuni wahuni tena wasio na mbele wala nyuma wasio na mipango ya kimaisha tena unakuta wanaishi geto tu chumba kimoja mtu 8.
Sasa hawa ndiyo wanagonga sana dada zetu. Tofauti kabisa na vijana wenye mipango na malengo huwa mara nyingi wanawake wanawakataa mpaka ajazwe mimba na muhuni ndiyo anatafuta mtu makini.
Fatilieni naamin wapo humu wanalijua hili watatoa shuhuda zao.
🤗🤗🤗🤗🤗🥰Nakupenda wewe pekeyako mbona,sema unanicheleweshea tu
hapo hakuna kuchomoka hati vimbao na picha zitenganishweKwisha habari
Saivi hamuombi hela tena?Ni kweli
Tuko Advanced zaidi, hatuvuti bange wala sigara ila uhuni upo integrated! 😀To me muhuni ni big NO.Kwanza sitakagi mazoea nao kabisa yaàni nahisigi Wana bisibisi na nyembe na visu vya kukunjua siwezi kusisimuliwa na muhuni,,,siwezii nawaogopa
sillent killers 😂Tuko Advanced zaidi, hatuvuti bange wala sigara ila uhuni upo integrated! 😀
Hata kama unaweza mood ya kumkosoa na kumpa mashaka kuhusu future humtesa sana na kukosa ham kabisa!!nyie nice guys hamuiwezi mikito
Astafulula!!!!Wahuni wana raha yake bhana
Sio unakuwa na mwanaume hadi akugonge ni mpaka mfanye maombi
Ulikua unatuchora tuwe tunapiga cockroach death kumbe mnatuona ma nice guys.🤣Kuna nini tena?
Extrovert una kitu... utafika mbaliWahuni wana kitu... Watafika mbali[emoji3][emoji3][emoji3]