Wanawake wanawapenda wanaume wahuni

Wanawake wanawapenda wanaume wahuni

Sio uhuni na sifa ulizoziweka hapo- et mtu asiye na malengo hapana , wanawake/ wasichana wao wanapenda really man yaani wanapenda mtu aliye serious nayeye yaani mtu makini asiyefatilia sana, wivu anao lakini sio wa kupitiliza ana care japo anakitu lakini anaonyesha kama ana care, amnyanyasi amtukani

Yaani kiufupi uwe really hapo warembo wengi hawapindui sio walee wanaume wa kujichubua chubua na wanakuwaga hawana kitu na wanaforce kama wana kitu ndio unakuta mtu na demu wake wanatembea na mbunge yaani kwa zamu analala na demu wake leo kesho jamaa ake anakuja mbunge analala nae tena, hatari
Koo unakuta mh anakula demu anakula na bwana wa demu,,,hatari sana
 
Ha
Sio uhuni na sifa ulizoziweka hapo- et mtu asiye na malengo hapana , wanawake/ wasichana wao wanapenda really man yaani wanapenda mtu aliye serious nayeye yaani mtu makini asiyefatilia sana, wivu anao lakini sio wa kupitiliza ana care japo anakitu lakini anaonyesha kama ana care, amnyanyasi amtukani

Yaani kiufupi uwe really hapo warembo wengi hawapindui sio walee wanaume wa kujichubua chubua na wanakuwaga hawana kitu na wanaforce kama wana kitu ndio unakuta mtu na demu wake wanatembea na mbunge yaani kwa zamu analala na demu wake leo kesho jamaa ake anakuja mbunge analala nae tena, hatari
Hahahah sikuhizi hakuna cha real wala sijui kuwa serious.

Ishu ni penenge tu, unaweza kuwa real fukara ukawa unachekechwa na kila pisi tu. Labda ukawe real kwa wauza matunda na mboga za majani 🤣🤣🤣. Hela ukiwa nazo maisha ni lami tu kudadadeki.
 
Waongo waongo,hawako serias na life,hawana discipline sana kihivyo!wababe,wakorofi ndio ndio wanna win sana!!

Kina sisi

Serious, discipline,maono ya MIAKA mia yaani unawaza vitukuu hadi vilembwe,wakweli sana kiasi kwamba unafanya mtu ajione mjinga na sio chochote hatu win HADI tuwe na pesa chafu ndio tunapata tena tunapewa KWA shingo upande hadi pesa ziishe then anasepa au akishatimiza malengo yake anarudi KWA mjini mwenzake asie mpa stress!!

Seen this some where in Africa AISEH!!
nyie nice guys hamuiwezi mikito
 
Salaam Wakuu, your the weapons against the kingdom of darkness.

Kuna jambo nimeligundua wanawake hawa awe pisi kali, kawaida au mapepe aisee wanaowafaidi ni wanaume wale wahuni wahuni tena wasio na mbele wala nyuma wasio na mipango ya kimaisha tena unakuta wanaishi geto tu chumba kimoja mtu 8.

Sasa hawa ndiyo wanagonga sana dada zetu. Tofauti kabisa na vijana wenye mipango na malengo huwa mara nyingi wanawake wanawakataa mpaka ajazwe mimba na muhuni ndiyo anatafuta mtu makini.

Fatilieni naamin wapo humu wanalijua hili watatoa shuhuda zao.
Chai
 
Back
Top Bottom