Ndiyo mkuuMweee kumbe ndio mnaowataka eeeh
Sasa mbona mie bad boy lakini hamnitaki vibuti kila leo pmNdiyo mkuu
Itakuwa huna helaSasa mbona mie bad boy lakini hamnitaki vibuti kila leo pm
Kumbe bad boi nae hawe na hela๐ฒ๐ฒ๐ฒItakuwa huna hela
Embu ngoja kwanza;Salaam wakuu
your the weapons against the kingdom of darkness.
Kuna jambo nimeligundua wanawake hawa awe pisi kali, kawaida au mapepe aisee wanaowafaidi ni wanaume wale wahuni wahuni tena wasio na mbele wala nyuma wasio na mipango ya kimaisha tena unakuta wanaishi geto tu chumba kimoja mtu 8.
Sasa hawa ndiyo wanagonga sana dada zetu. Tofauti kabisa na vijana wenye mipango na malengo huwa mara nyingi wanawake wanawakataa mpaka ajazwe mimba na muhuni ndiyo anatafuta mtu makini.
Fatilieni naamin wapo humu wanalijua hili watatoa shuhuda zao.
Hajakosea,they are so sweet๐Embu ngoja kwanza;
Mshikaji wangu Bantu Lady eti ni kweli haya?
Dadaangu To yeye hili alilosema huyu Choosen85 lina ukweli wowote?
Mamdogo wangu Amehlo sema neno hapa nipate kuelewa, kwani yule uliyemsema naye ni muhuni?
Shemela Evelyn Salt embu mwaga mipwenti hapa
binti kiziwi hili umewahi kulisikia?
Ndo ivo bila mkwanja hutoboi mkuuKumbe bad boi nae hawe na hela๐ฒ๐ฒ๐ฒ
Sasa kumbe bottom line ni hela tuu
Dah na mishahara ndio imechelewa wikend ndio hii hapa yanga anacheza sasa sijui mishangazi tutaitafunaje bila helaNdo ivo bila mkwanja hutoboi mkuu
Au kusimamia kucha?Hajakosea,they are so sweet๐
Tukusajiri chama cha wahuni kabla hujajibiwa kwanza..Embu ngoja kwanza;
Mshikaji wangu Bantu Lady eti ni kweli haya?
Dadaangu To yeye hili alilosema huyu Choosen85 lina ukweli wowote?
Mamdogo wangu Amehlo sema neno hapa nipate kuelewa, kwani yule uliyemsema naye ni muhuni?
Shemela Evelyn Salt embu mwaga mipwenti hapa
binti kiziwi hili umewahi kulisikia?
NyetukaDah na mishahara ndio imechelewa wikend ndio hii hapa yanga anacheza sasa sijui mishangazi tutaitafunaje bila hela
Ukiwapata bila shekeli niite ๐ฆฎ Nime๐paleeDah na mishahara ndio imechelewa wikend ndio hii hapa yanga anacheza sasa sijui mishangazi tutaitafunaje bila hela
Hapana, niwekwe kwenye chama la wasaka mkwanja..! Si umemsikia To yeye hapo juu kasema bila mkwanja hutoboi..!!Tukusajiri chama cha wahuni kabla hujajibiwa kwanza..
No wanayajua yote....siwez kuexplain ila kwanasisimua sanaAu kusimamia kucha?
๐๐๐๐๐๐๐niseme nini mieEmbu ngoja kwanza;
Mshikaji wangu Bantu Lady eti ni kweli haya?
Dadaangu To yeye hili alilosema huyu Choosen85 lina ukweli wowote?
Mamdogo wangu Amehlo sema neno hapa nipate kuelewa, kwani yule uliyemsema naye ni muhuni?
Shemela Evelyn Salt embu mwaga mipwenti hapa
binti kiziwi hili umewahi kulisikia?
Sema chochote kuhusu alichosema muanzisha uzi๐๐๐๐๐๐๐niseme nini mie