Imefanya vizuri huko huko CRDBSasa kama haijamshinda NMB imefanya vizuri wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imefanya vizuri huko huko CRDBSasa kama haijamshinda NMB imefanya vizuri wapi?
😂😂😂😂 yule jamaa wa CRDB mwoga sanaImefanya vizuri huko huko CRDB
Huyu Zaipuna Yuko smart mno, tunampongeza sanaUnajua haya mambo tunayaona ni madogo kwa sababu wengi wetu jatuijui LSE,
Tanzania kuanza kuuza share zake pale tayari Wazungu wameanza kuiamini Tanzania,
Hongera sana NMB hata kama Sina mia ila mmetisha
Yuko vizuri ni kweliHuyu Zaipuna Yuko smart mno, tunampongeza sana
Nani?😂😂😂😂 yule jamaa wa CRDB mwoga sana
Wakichangia huko kwenye mbogamboga, akili zinakuwa mgando ndugu, anakuwa chawa pro. Hutaamini kama ni yeyeNiliwahi kusema hapa huyu dada anakitu Cha ziada, Hii NMB tangu aingie huyu Mama mambo ni mengi mapya na faida ni kubwa sana
Rais Samia angeweza kumwingiza Serikalini kama Waziri angeisaidia sana Serikali.
Hawezi kuwa bora,,sbb serikalini kunasiasa zake zaidi,,unaona hata kimei amechemshaNiliwahi kusema hapa huyu dada anakitu Cha ziada, Hii NMB tangu aingie huyu Mama mambo ni mengi mapya na faida ni kubwa sana
Rais Samia angeweza kumwingiza Serikalini kama Waziri angeisaidia sana Serikali.
Akija CHADEMA vipi?Wakichangia huko kwenye mbogamboga, akili zinakuwa mgando ndugu, anakuwa chawa pro. Hutaamini kama ni yeye
NikweliUnajua haya mambo tunayaona ni madogo kwa sababu wengi wetu jatuijui LSE,
Tanzania kuanza kuuza share zake pale tayari Wazungu wameanza kuiamini Tanzania,
Hongera sana NMB hata kama Sina mia ila mmetisha
Unamaana serikalini hakuna walio Bora?Hawezi kuwa bora,,sbb serikalini kunasiasa zake zaidi,,unaona hata kimei amechemsha
Wanazikusanya kisha wanakopesha watumishi wa umma kwa riba kubwa kisha wanakata kwenye mishahara wanawakamua kweli kweli watumishi wa umma 🤣🤣🤣. Yaani Asilimia kubwa mikopo ya nmb wanakopesha watumishi wa umma, ambao wengi sio wazalishaji. Baada ya hapo wanajiona wajaaaaaanjaaa 🤣🤣Cha kusikitisha ni umaskini wa Tanzania kushindwa kununua hizo bonds za miaka mitatu kwa fixed rate ya 9.5%.
Otherwise MNB kwa unyonyaji wanaowafanyia watanzania wana faida kubwa sana na debt to equity ratio ni ndogo sana.
MNB kama taasisi kwa capital reserves walizonazo hata wakikaguliwa na rating agency yeyote wapo A+, mtaji wanaoomba na capital reserve waliyonayo ni hela ndogo sana.
Sasa kwanini wazungu wakatae hii bonanza ya 9.5% wakati bonds nyingi huko kwako ni 5%. Kwanini MNB wanaweza lipa fixed rate ya juu ivyo, kwa sababu hizo hela wanakuja kuwakopesha watanzania kwa riba za ja ajabu.
Hakuna cha akili yoyote
Sasa wakishakuwa na pesa kwanini wasijione wajanjaaa😂Wanazikusanya kisha wanakopesha watumishi wa umma kwa riba kubwa kisha wanakata kwenye mishahara. Asilimia kubwa mikopo ya nmb wanakopesha watumishi wa umma. Baada ya hapo wanajiona wajaaaaaanjaaa 🤣🤣
huko akienda ataenda kulainishwa aachwe kwenye karia yake tu!Niliwahi kusema hapa huyu dada anakitu Cha ziada, Hii NMB tangu aingie huyu Mama mambo ni mengi mapya na faida ni kubwa sana
Rais Samia angeweza kumwingiza Serikalini kama Waziri angeisaidia sana Serikali.
Siku akiingia tu kwenye siasa anakuwa fisadi. Siasa ni laana.Niliwahi kusema hapa huyu dada anakitu Cha ziada, Hii NMB tangu aingie huyu Mama mambo ni mengi mapya na faida ni kubwa sana
Rais Samia angeweza kumwingiza Serikalini kama Waziri angeisaidia sana Serikali.
🤣🤣Sasa wakishakuwa na pesa kwanini wasijione wajanjaaa😂
Si ndio maana wazungu wameona na wao wafaidike na hii biashara ya unyonyaji wanayofanyia watanzania.Wanazikusanya kisha wanakopesha watumishi wa umma kwa riba kubwa kisha wanakata kwenye mishahara wanawakamua kweli kweli watumishi wa umma 🤣🤣🤣. Yaani Asilimia kubwa mikopo ya nmb wanakopesha watumishi wa umma, ambao wengi sio wazalishaji. Baada ya hapo wanajiona wajaaaaaanjaaa 🤣🤣
Na pia benki za Tz zinaendeshwa kiujanjaujanja sana! Hapo atakuja kukopesha watumidhi Kwa 14% - 17%.Riba za Tanzania ni za kinyonyaji sana
Daaah😡Wakichangia huko kwenye mbogamboga, akili zinakuwa mgando ndugu, anakuwa chawa pro. Hutaamini kama ni yeye