Wewe ni mwanamke au mwanaume ?Kuna wale wakaka wakimya ukikaa nae anaongea kwa kituo wana pepo yao..!🤸
Nimejikita kwenye mada ndio maana nikauliza wewe ni mwanamke au mwanaume ? Kuna kitu nataka kufahamu kabla hatujaenda mbele zaidi.Tujikite kwenye mada
"Wanawake wanaweza kusmell success yako na personality traits"
Kwa nini wasi smell success zao ?Tujikite kwenye mada
"Wanawake wanaweza kusmell success yako na personality traits"
Nilikua hivyo zaman enz hizo na nilikua nikifungua kinywa ni point tupu, wife alinipendea hii tabia.Kuna wale wakaka wakimya ukikaa nae anaongea kwa kituo wana pepo yao..!🤸
Wakaka aina hii✅Nilikua hivyo zaman enz hizo na nilikua nikifungua kinywa ni point tupu, wife alinipendea hii tabia.
Siku hiz nisha vurugwa nachonga ile mbaya 😂
Usije ukalegea ukala mbususu.wanawake hawa hawa wa marejesho ya BRAC na ASA?
I will be convinced tomorrow
View attachment 3002571
HUwa wana change hawabaki hivyo 😅Wakaka aina hii✅