Wanawake wanaweza kusmell success yako na personality traits

Wanawake wanaweza kusmell success yako na personality traits

Hawa viumbe wako so sensitive kujua ww ni mtu wa aina gani just by looking at you, or kwenye first conversation. So pisi itakuelewa based on vitu vidogo ambavyo usingeweza kuvijua vina effect kubwa kwenye mtongozo.

Kingine semen retention wakuu, ili uwavutie punguzeni puli. Attractive nature ya mwanaume pia inaambatana na semen retention. Lastly kama ww ni kapuku stop chasing women utapoteza mda na nguvu bure. Jitengenezee success in whatever form na utakuwa valued.
Kweli hii aisee
 
ili uwapate kuwa muongo muongo tu basi, nasisitiza 'jua tu kuongopa'
hakuna u sensitive wowote
Nakuhakikishia utawapata wasio na hadhi na wanaojiuza... mwanamke halisi hawezi tembea na mwanaume wa aina hio, na hata kama akikubali tyr anajua ww ni mtu wa aina gani, so atapata anacho kitaka then atakucheat
 
I mean elezea hio attractive nature ulioisema hapo
Anhaa, Ni hivi

Ukiwa msafi yani pure, nwili wako haujatumika katika njia ya kujamiiana kwa utaratibu usio sahihi. Yani kuzini, basi mwili wako unakuwa na attraction au Energy ambayo ina vibrate katika Frequencies ambazo ni positive.

Hivyo hupelekea kuwa na mvuto mkali hasa pale ambapo unakuwa karibu na watu wa jinsia tofauti na yako.

Unaweza jiuliza kwanini mabinti hawaishi kukuganda, kumbe ni kwasababu una attract na sio ku chase.

Kumbuka hii mda hueleweka zaidi kwa kufuata misingi ya Energy, Frequency na Vibration.
 
Anhaa, Ni hivi

Ukiwa msafi yani pure, nwili wako haujatumika katika njia ya kujamiiana kwa utaratibu usio sahihi. Yani kuzini, basi mwili wako unakuwa na attraction au Energy ambayo ina vibrate katika Frequencies ambazo ni positive.

Hivyo hupelekea kuwa na mvuto mkali hasa pale ambapo unakuwa karibu na watu wa jinsia tofauti na yako.

Unaweza jiuliza kwanini mabinti hawaishi kukuganda, kumbe ni kwasababu una attract na sio ku chase.

Kumbuka hii mda hueleweka zaidi kwa kufuata misingi ya Energy, Frequency na Vibration.
Sure it's all about the energy.
 
Anhaa, Ni hivi

Ukiwa msafi yani pure, nwili wako haujatumika katika njia ya kujamiiana kwa utaratibu usio sahihi. Yani kuzini, basi mwili wako unakuwa na attraction au Energy ambayo ina vibrate katika Frequencies ambazo ni positive.

Hivyo hupelekea kuwa na mvuto mkali hasa pale ambapo unakuwa karibu na watu wa jinsia tofauti na yako.

Unaweza jiuliza kwanini mabinti hawaishi kukuganda, kumbe ni kwasababu una attract na sio ku chase.

Kumbuka hii mda hueleweka zaidi kwa kufuata misingi ya Energy, Frequency na Vibration.
Hii huenda ni kweli
 
Zipo online nenda ka search Google. Kingine wewe mwenyewe ukipiga puli mfurulizo unajoina kabisa na kuhisi hili kuna tofauti kubwa kati ya sex na puli. Kwenye sex kuna energy exchange ila puli unadhoofisha mwili.
Yaani nime google toka zaman sana, ndio maana nikataka kupata maarifa mapya kuhusu puli ambayo yanasema puli inamadhara uliyoyataja
 
Hawa viumbe wako so sensitive kujua ww ni mtu wa aina gani just by looking at you, or kwenye first conversation. So pisi itakuelewa based on vitu vidogo ambavyo usingeweza kuvijua vina effect kubwa kwenye mtongozo.

Kingine semen retention wakuu, ili uwavutie punguzeni puli. Attractive nature ya mwanaume pia inaambatana na semen retention. Lastly kama ww ni kapuku stop chasing women utapoteza mda na nguvu bure. Jitengenezee success in whatever form na utakuwa valued.
Wewe Jidanganye Kuna watu nimakupuku lakini tunavyojua kufake mbaka watoto wazuri wanakujakustuka washachora tatoo
 
Back
Top Bottom