stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
NDIO hivyo SIO Pesa tu hata Ufukara unachoresha PiaPesa inachoresha, hata ujifiche vipi pesa itakuchoresha tu mbele za watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NDIO hivyo SIO Pesa tu hata Ufukara unachoresha PiaPesa inachoresha, hata ujifiche vipi pesa itakuchoresha tu mbele za watu.
Kweli hii aiseeHawa viumbe wako so sensitive kujua ww ni mtu wa aina gani just by looking at you, or kwenye first conversation. So pisi itakuelewa based on vitu vidogo ambavyo usingeweza kuvijua vina effect kubwa kwenye mtongozo.
Kingine semen retention wakuu, ili uwavutie punguzeni puli. Attractive nature ya mwanaume pia inaambatana na semen retention. Lastly kama ww ni kapuku stop chasing women utapoteza mda na nguvu bure. Jitengenezee success in whatever form na utakuwa valued.
I mean elezea hio attractive nature ulioisema hapoSemen retention imekuwa neno geni kwangu mkuu, kama unafahamu vyema na Mimi unifahamishe Ni kitu gani hicho
Nakuhakikishia utawapata wasio na hadhi na wanaojiuza... mwanamke halisi hawezi tembea na mwanaume wa aina hio, na hata kama akikubali tyr anajua ww ni mtu wa aina gani, so atapata anacho kitaka then atakucheatili uwapate kuwa muongo muongo tu basi, nasisitiza 'jua tu kuongopa'
hakuna u sensitive wowote
Sawa em share nami hyo reference ya research yako nipitie..Skia mkuu nyie ndo ignorants msio na maarifa, semen retention na lishe ni vitu viwili tofauti.
Pesa kama hamna hata ukiigiza ipo utajulikana huna dooh..NDIO hivyo SIO Pesa tu hata Ufukara unachoresha Pia
Haya mambo ni spiritualPesa kama hamna hata ukiigiza ipo utajulikana huna dooh..
Mwenye pesa hata akiigiza hana kitu pesa inakuwa inaongea kwa sauti sana... inakuchoresha kinoma.
Hilo wanawake wanalitambua tu chap hapa papatu papatu hapa mpunga upo.
Zipo online nenda ka search Google. Kingine wewe mwenyewe ukipiga puli mfurulizo unajoina kabisa na kuhisi hili kuna tofauti kubwa kati ya sex na puli. Kwenye sex kuna energy exchange ila puli unadhoofisha mwili.Sawa em share nami hyo reference ya research yako nipitie..
Semen Retention = Kufuga Mbegu za kiume na kutokuzimwaga kwa namna iwayo yoyote Ile yaan wewe uwe unafuga Manii TU Mwilini mwako hugongi Mwanamke wala hupigi PULLSemen retention imekuwa neno geni kwangu mkuu, kama unafahamu vyema na Mimi unifahamishe Ni kitu gani hicho
Anhaa, Ni hiviI mean elezea hio attractive nature ulioisema hapo
Asante kwa kunijuza hilo mkuu 🙏Semen Retention = Kufuga Mbegu za kiume na kutokuzimwaga kwa namna iwayo yoyote Ile yaan wewe uwe unafuga Manii TU Mwilini mwako hugongi Mwanamke wala hupigi PULL
Kwanini HAPO? Emu tolea ufafanuzi uSEX na mtu amekuzidi KILO useme hauudhoofishi Mwili wako una uhakika?Kwenye sex kuna energy exchange ila puli unadhoofisha mwili.
Sure it's all about the energy.Anhaa, Ni hivi
Ukiwa msafi yani pure, nwili wako haujatumika katika njia ya kujamiiana kwa utaratibu usio sahihi. Yani kuzini, basi mwili wako unakuwa na attraction au Energy ambayo ina vibrate katika Frequencies ambazo ni positive.
Hivyo hupelekea kuwa na mvuto mkali hasa pale ambapo unakuwa karibu na watu wa jinsia tofauti na yako.
Unaweza jiuliza kwanini mabinti hawaishi kukuganda, kumbe ni kwasababu una attract na sio ku chase.
Kumbuka hii mda hueleweka zaidi kwa kufuata misingi ya Energy, Frequency na Vibration.
Hii huenda ni kweliAnhaa, Ni hivi
Ukiwa msafi yani pure, nwili wako haujatumika katika njia ya kujamiiana kwa utaratibu usio sahihi. Yani kuzini, basi mwili wako unakuwa na attraction au Energy ambayo ina vibrate katika Frequencies ambazo ni positive.
Hivyo hupelekea kuwa na mvuto mkali hasa pale ambapo unakuwa karibu na watu wa jinsia tofauti na yako.
Unaweza jiuliza kwanini mabinti hawaishi kukuganda, kumbe ni kwasababu una attract na sio ku chase.
Kumbuka hii mda hueleweka zaidi kwa kufuata misingi ya Energy, Frequency na Vibration.
Yaani nime google toka zaman sana, ndio maana nikataka kupata maarifa mapya kuhusu puli ambayo yanasema puli inamadhara uliyoyatajaZipo online nenda ka search Google. Kingine wewe mwenyewe ukipiga puli mfurulizo unajoina kabisa na kuhisi hili kuna tofauti kubwa kati ya sex na puli. Kwenye sex kuna energy exchange ila puli unadhoofisha mwili.
Wewe Jidanganye Kuna watu nimakupuku lakini tunavyojua kufake mbaka watoto wazuri wanakujakustuka washachora tatooHawa viumbe wako so sensitive kujua ww ni mtu wa aina gani just by looking at you, or kwenye first conversation. So pisi itakuelewa based on vitu vidogo ambavyo usingeweza kuvijua vina effect kubwa kwenye mtongozo.
Kingine semen retention wakuu, ili uwavutie punguzeni puli. Attractive nature ya mwanaume pia inaambatana na semen retention. Lastly kama ww ni kapuku stop chasing women utapoteza mda na nguvu bure. Jitengenezee success in whatever form na utakuwa valued.
Vibe, Energy & Frequency haihusiani kabisa na alichoeleza, kuna wadau daily wanabadirisha new pussycat Ila hawaishiwi kugandwa na HIZO pussy ni UPEPO TU ukikulalia utaona mpaka unatongozwa na HIZO pussyKumbuka hii mda hueleweka zaidi kwa kufuata misingi ya Energy, Frequency na Vibration.